Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Space X sio public traded company, hatujui kama I napata Faida ama hasara, Sema ina MA sugar Daddy wa kutosha, ina raise hela ndefu ku fund hizo projects.Yah nakubliana na wewe. Hata tesla hanamchango kivile. Hivi spacex inaingizaje faida??