Sawa mkuu, hivyo vitu ulivyo list hapo vinapatikana nchi kibao. kiduku nae ana Nuclear, pakistan,India ,south Africa n.k Utalaam wa kubuni na kuunda simu hajawai kuwa nao mpaka sasa. Hata Gari made in russia hakuna kuna vi gari vodogo vinaitwa LADA walikopeshwa na urusi
Kampuni ya Cocabs pale Nkruma str. VIgari utazani umekalia mbao ndani.
Putin mwenyewe ile gari engine Benz.
Baada ya mafuta kuwa bei mbaya putin alipiga hela sana akajisahau kutengeneza vyanzo vingine sasa dunia ina hama kutegemea mafuta. Bila maf uta na gesi warusi watakuwa taabani
Swala la muda.tu.
hakuna Engine za ndege za abiria made inRussia . Uhalisia Putin anajimwambafai wakati uchumi mdogo.
NDio maana US ana mnanga sana sababu mchangiaji pesa ndefu WHO, IMF, WORLD BANK, FAO, UNHCR ni US,
google hapo angalia mchango wa Putin. Wenzao wanatoa ni misaada, umewai sikia putin kaleta meli ya mafuta au katupunguzia bei mafuta waafrica!!
Wewe ndio wale wale wenye mentality za kutembeza Bakuli. Mtu ana kusaidia 1000 halafu anachota rasilimali zako kwa mamilioni unaona ni sifa kusaidiwa.
1. Hakuna Nchi inayochakata Nyuklia Duniani kushinda Urusi, na huwezi fananisha uwezo wa Urusi na hizo nchi ulizotaja, kama akili yako inafkiria Nyuklia ni makombora basi uwezo wako pia wa kufikiria unaishia hapo. Mfano wa mitambo ya Nyuklia ya Urusi
-Meli za Nyuklia ambazo zinatumika pia kuvunja barafu, Russia peke yake ndio ana meli hizi za Nyuklia.
en.m.wikipedia.org
-Submarine za Nyuklia, na sasa hivi wana mpango pia wa Submarine za Nyuklia za kubeba Gesi mita 360 urefu na 70 upana, ni Nchi 6 tu duniani zinazomiliki nyambizi za Nyuklia na Nchi zote hizo ukizijumuisha pamoja hazifiki idadi meli zao vs Urusi.
Long story short Urusi ndio anaongoza kuchakata Nyuklia duniani, wao peke yao wanachakata asilimia 44 na Rosatom bado ni leaders
Na kila kitu wanafanya wenyewe, sehemu KAMA Usa Nyuklia zao zinamtegemea Mjapan.
2. Engine za Usa zinatoka wapi kama sio Japan? Wote kina Boeing wanamtegemea Mjapan, ndio maana nikakuambia usione mtu yupo kimya sababu hayupo kwenye Consumer space ukajua ni boya tu, kuna watu wapo kimya kimya ila wana Run Dunia.
Russia wanatengeneza engine Nyingi tu maarufu ni RD-180 ambayo ndio inampa Kiburi Usa kwenda Anga za mbali.
RD-180 - Wikipedia
Kuna PD-14 hii hutumika ndege za Urusi
en.m.wikipedia.org
Kuna Yamz engines ambazo zinatumika magari makubwa na vifaa heavy
Engines YAMZ (YMZ) (Yaroslavl Motor Plant - Autodizel) and TMZ (Tutaevl Motor Plant). Direct sales to all countries of the world
yardizel.ru
Na light vehicles kuna Engine za Lada.
Technology hizo za Mrusi na Mchina ndio zina leta balance kwenye Dunia, Technology za bei rahisi ambayo majority wanaweza ku Afford.