RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 41
Acheni uzushi hamsikii mnayoambiwa na rais: hakuna ubaguzi. na kama sera za serikali zisingekinzana na maendeleo ya wachagga na kucounter juhudi zao baada ya uhuru wangekuwa mbali hii ni excerpt toka The Times magazine issue ya 1958 inaonesha hali ya wachagga wakati huo.
"Look What We Can Do!"Author: /time Magazine | Title: A Letter From The Publisher, Aug. 25, 1958 | 8/25/1958 |-See Source
ON the lower slopes of the Mount Kilimanjaro that Hemingway celebrated lives a tribe almost unique in Africa-Christian, prosperous (with a $6.000,000-to-$8,000.000 annual coffee crop), and ruled by a British-educated chief known as King Tom. the Seat of God to the-Chagga-tribesmen who live upon its lower slopes.Chagga-legend has it that the great god Ruwa liberated mankind by smashing a vessel in which the first humans were imprisoned and scattering them over the mountainside. Actually, the 360,000 people of-Chagga-land are a mixture of many tribes who for some five centuries have dwelt among Kilimanjaro'
The-Chagga-saga began in 1932 when, with the permission of the British, African coffee ... the largest purely native commercial enterprise in colonial Africa, has boosted the-Chagga-from a tribe barely subsisting to a well-fed people with cash in their pockets. Each year, through their union, the-Chagga-market a $6,000,000 to $8,000,000 coffee crop ... biweekly newspaper, run their own schools and hospitals.
Most important: the-Chagga-are their own masters. In their land, the whites work for the blacks-and both accomplish a lot. The KNCU's five-story headquarters in the town of Moshi is in itself a symbol of the-Chagga's progress. Built around a flowering courtyard of bougainvillaea and poinsettia, it not only houses offices and auction rooms, but also one of Tanganyika's few public libraries. Soon KNCU hopes to build a $15,000 community center for plays, concerts, art and agricultural exhibits.
Kama hawa mabwana wamewekeza katika elimu na kujikita ktk business namna pekee ya kuwachallenge ni kukazana na uwekezaji ktk elimu na biashara. ona mkinga alipo sasa kibiashara hapo napo utasema kuna upendeleo
Geeky thanks well said na umekuja na data since enzi hizo, uliza si tukienda kila mwaka (mwisho wa mwaka ) nyumbani tunataniwa eeh mnaenda kuhesabiwa kumbe yale ndo maendeleo tunaenda kwa audit je mwaka mzima umefanya nini? compared na wenzako wa size yako? challenges zinaanza na kutumia akili kwa hali ya juu