Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Mnyama pori tumekutoa tongotongo😅😅😅MajibwaSawa Nyani la Pwani ,Nyani lijichubualo 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyama pori tumekutoa tongotongo😅😅😅MajibwaSawa Nyani la Pwani ,Nyani lijichubualo 😅
Umalaya!? 😅 nmecheka kwa dharauKama ilivyo mikoa yenu inavyoongoza kwa ushamba, umalaya na roho mbaya.
Wee Nyani lijichubualo bila sisi hadi leo ungekuwa bado ni mtumwa Slave kbsaa 😅 shutuuuh mnajkuta wajanja kumbe vinega tu yan vichwani ni weupeee peeee kulko hta weupe wenyeweeMnyama pori tumekutoa tongotongo😅😅😅Majibwa
Masokwe ya bara ,watu weusi hawajui kuoga😅wanakula uchafuWee Nyani lijichubualo bila sisi hadi leo ungekuwa bado ni mtumwa Slave kbsaa 😅 shutuuuh mnajkuta wajanja kumbe vinega tu yan vichwani ni weupeee peeee kulko hta weupe wenyewee
Had leo ungekuwa unaliwa kiboga, km wazee wenu walee 😁
Hekari za kutosha ndiyo hekari ngapi ukipima eneo la mkoa wa pwani!?..hebu chimba hapo mpaka gotini uone unakutana na nini!?View attachment 2962293View attachment 2962292
Mkuu hizo picha nilizokutumia, nilipiga nilipoenda kusafisha Shamba Wilaya ya Chalinze...Dongo lote ni zuri na tifu lililoshiba...
Jirani na mimi ni mapori ya hekari za kutosha ,hakuna kinachofanyika...
Nakuunga mkono. Katika pilika zangu nimekaa maeneo ya Lindi na Mtwara miaka 2.Nadhani mtwara inaongoza Tanzania kwa uvivu! Ni sehemu pekee ambako saa moja asubuhi unakuta wanaume wanacheza bao au wapo kwenye vijiwe vya kahawa.
Ni sehemu pekee maisha ya wenyeji wanashindia mlo mmoja na wanaona ni sawa. Ni sehemu pekee ambako hata ukitoa kibarua mwenyeji ukisha mlipa elfu 3 harudi kazini hadi aitumie iishe . Ni sehemu pekee ambao vikongwe ndio wanaenda shambani vijana wanazurura mtaani
. Ni sehemu pekee ambako mtu akilima robo heka anahadithia nina shamba kubwa. Ni sehemu pekee ambako wafanya biashara wenyeji wameridhika wanafungua maduka saa nne asubuhi. Ni sehemu pekee ukienda duka la mwenyeji na elfu kumi ukitaka kununu kitu cha elfu 4 unaambiwa sina chenji na unaondoka na hela yako vinginevyo ukatafute mwenyewe chenji.
Tunashkru wakinga kuingia mji huu vinginevyo tungenyanyasika sana na hela zetu madukani. Ila kwa penzi na chumvi ni mkoa rafiki kuliko mikoa yote. Karibu mtwara tufaidi watoto wa kimakonde kwa elfu 2 hadi kwa mkopo bila kujali ni msichana au mke wa mtu. Ila ukisha mtongoza au kumla atafanya matangazo mtaa mzima. Hawana siri
Mashamba unayoyaona mukuranga na ukanda huo wamiliki sio wandengereko bali makabila mengine wakazi wa dar.Mapori Pwani unashangaa leo?
Kigamboni juzi tu ilikuwa mapori mpaka Kibada.
Mbezi, Mabwepande, Kibamba, Mpigi Magohe, Magole huko Kitunda ndani ndani, Pugu miaka ya karibuni bado yalikuwa mapori. Sasa kama Dar bado ina mapori Pwani inasalimika vipi?
Impact ya uvivu wa Pwani inaonekana wapi? Humo unamosema mapori unaona minazi, mikorosho, miembe na michungwa ina maana watu walilima wakapanda. Hebu tufanye ziara hadi Mkuranga tuone msitu usio na mazao hayo ya kudumu.
Mkuu,Hekari za kutosha ndiyo hekari ngapi ukipima eneo la mkoa wa pwani!?..hebu chimba hapo mpaka gotini uone unakutana na nini!?
We nawe!Mashamba unayoyaona mukuranga na ukanda huo wamiliki sio wandengereko bali makabila mengine wakazi wa dar.
Mndengereko na mzaramo wao ni ngoma na kuoana tu
Popote alopita Mwarabu na dini yake...Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka Kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..
Watu wa huku wanakatisha tamaa balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama Singida au Dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa.
Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu, unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama Mbinga au Songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo, hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.
Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama Makonda, Mtaka, Chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Hii ambayo haijpangika imejengwa hovyo hovyoTazama puuzi hili hapa,kwa hiyo Tanga ya Leo ndiyo ile ya mjerumani!?
Wavivu hula mlo mmoja tena kwa kubahatisha, wachapakazi ni Milo mitatu tena ya kushiba...
Angalia hata afya zao....
Eti kulima kwa akili,hahahaLete facts mkuu.
Kama umasikini hata Dar ni masikini sana. Dar ina umasikini kwanza ambao haujaisha ndio unataka Pwani ilingane na Dar kimaendeleo?
Haya Pwani wavivu, Singida, Rukwa, Kigoma nako ni nini kimewapata?
Halafu usiongee sana, Wasukuma wanahamia kwa wingi Pwani. Wanadhani wakazi ni wavivu. Wakifika mtu mmoja analima heka nyingi akidhani ni rahisi kutunza shamba. Wanagundua ardhi na majira ya Pwani si kama kwao usukumani. Pwani inapokea mvua nyingi, palizi ni nyingi, magugu yanaota after 2 weeks hata upulize dawa gani. Ndipo wanajifunza kulima kwa akili badala ya nguvu.
Haya tuambie, watu wa Mbeya wangefanya nini Pwani?