Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Watu wana stori mbaya mbaya kuhusu kanda hizo

Sometimes unakuta mtu hata hakujui ila anashabikia tu


Wakati nipo A level nilikuwa nawasikia wanafunzi wanaotoka kanda ya kaskazini wakisema kusini kubaya


Baada ya kusafiri kwenda Mwamza, Katavi nilikuwa nacheka sana kwa kuona maneno mabaya njiani kiasi nilikuwa najiuliza mtu anapata ujasiri gani wa kuicheka Mtwara?


Kuna stori nyingi za kusadikika kuhusu kanda hizo ila kikubwa kwa kuwa kuna waislamu wengi

Na watu wanauchukia UISLAMU

Ndio maana kuna mikoa ya hovyo na maombaomba kibao ila mtoa mada hajataka kuiweka kwenye list
 
Watu wana stori mbaya mbaya kuhusu kanda hizo

Sometimes unakuta mtu hata hakujui ila anashabikia tu


Wakati nipo A level nilikuwa nawasikia wanafunzi wanaotoka kanda ya kaskazini wakisema kusini kubaya


Baada ya kusafiri kwenda Mwamza, Katavi nilikuwa nacheka sana kwa kuona maneno mabaya njiani kiasi nilikuwa najiuliza mtu anapata ujasiri gani wa kuicheka Mtwara?


Kuna stori nyingi za kusadikika kuhusu kanda hizo ila kikubwa kwa kuwa kuna waislamu wengi

Na watu wanauchukia UISLAMU

Ndio maana kuna mikoa ya hovyo na maombaomba kibao ila mtoa mada hajataka kuiweka kwenye list
Na hicho ulicho taja "waislum wengi" apo ni[emoji818][emoji818][emoji818]
Wanawake wa kislum awapigi kazi wao waletewe mpaka kuemea si jukumu lao vipi wanaweza kushindana na kanda nyingine?.[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Nyie wachafu mnaokunywa maziwa bila ya kuchemsha kamuangalie Nyanda kabundi ...
Kaangalie kuafya mpaka UKIMWI mnaongoza...watu mnakula ugali mmekuwa ngo'ombe ..Eti jaribu kuangalia afya kuanzia ngozi then mjifnanishe na nyie washamba weusi kama giza.
Mbona nyie ni wachafu na mpo na mi-VVU na hatusemi!? Kunywa maziwa mabichi unashangaa!! Ww unae kunywa maziwa yaliyooza utanambia nn!?

Halafu mkichichubua nyie inatosha sisi hatuogop kuitwa weusi, midume mizima unakuta inatumia mikorogo khaa kwendraa
 
Watu wana stori mbaya mbaya kuhusu kanda hizo

Sometimes unakuta mtu hata hakujui ila anashabikia tu


Wakati nipo A level nilikuwa nawasikia wanafunzi wanaotoka kanda ya kaskazini wakisema kusini kubaya


Baada ya kusafiri kwenda Mwamza, Katavi nilikuwa nacheka sana kwa kuona maneno mabaya njiani kiasi nilikuwa najiuliza mtu anapata ujasiri gani wa kuicheka Mtwara?


Kuna stori nyingi za kusadikika kuhusu kanda hizo ila kikubwa kwa kuwa kuna waislamu wengi

Na watu wanauchukia UISLAMU

Ndio maana kuna mikoa ya hovyo na maombaomba kibao ila mtoa mada hajataka kuiweka kwenye list
Ww nae umeandka kwa hisia zako tu mzee, na wala haujawah kutembea kama unavosema.

Kufananisha mtwara na Mwanza tu nmeona ww n muongo na unaenda na hisia tu
 
wewe mjinga nn naongelea mahindi au dona ? Kile chakula cha lishe walicholeta juzi hapa ni dona ? Mtu ulipata udumavu bado unaendelea kumezesha upumbavu vizazi vyako.

Unga wa dona kwa ajili ya mifugo hata Nigeria wanatumia ugali mweusi sio ujinga wenu...Utapiamlo kila kona huko kwenu
Una panic kiwepesi sana,,
Hapa ni mdahalo wa hoja mkuu...haina Haja lugha ya kebehi...
 
Mbona nyie ni wachafu na mpo na mi-VVU na hatusemi!? Kunywa maziwa mabichi unashangaa!! Ww unae kunywa maziwa yaliyooza utanambia nn!?

Halafu mkichichubua nyie inatosha sisi hatuogop kuitwa weusi, midume mizima unakuta inatumia mikorogo khaa kwendraa
Ukimwi ndio kwao huko kwenu washenzi kabisa , tunajua wengi huko kwenu ni manyani.
 
Pwani ukiweza tu kununua msuli tayari umefanikiwa wafanye kazi ya nini sasa
 
Nadhani mtwara inaongoza Tanzania kwa uvivu! Ni sehemu pekee ambako saa moja asubuhi unakuta wanaume wanacheza bao au wapo kwenye vijiwe vya kahawa.

Ni sehemu pekee maisha ya wenyeji wanashindia mlo mmoja na wanaona ni sawa. Ni sehemu pekee ambako hata ukitoa kibarua mwenyeji ukisha mlipa elfu 3 harudi kazini hadi aitumie iishe . Ni sehemu pekee ambao vikongwe ndio wanaenda shambani vijana wanazurura mtaani

. Ni sehemu pekee ambako mtu akilima robo heka anahadithia nina shamba kubwa. Ni sehemu pekee ambako wafanya biashara wenyeji wameridhika wanafungua maduka saa nne asubuhi. Ni sehemu pekee ukienda duka la mwenyeji na elfu kumi ukitaka kununu kitu cha elfu 4 unaambiwa sina chenji na unaondoka na hela yako vinginevyo ukatafute mwenyewe chenji.

Tunashkru wakinga kuingia mji huu vinginevyo tungenyanyasika sana na hela zetu madukani. Ila kwa penzi na chumvi ni mkoa rafiki kuliko mikoa yote. Karibu mtwara tufaidi watoto wa kimakonde kwa elfu 2 hadi kwa mkopo bila kujali ni msichana au mke wa mtu. Ila ukisha mtongoza au kumla atafanya matangazo mtaa mzima. Hawana siri
Washapanda mikorosho..
Wanasubiri kuvuna tuu
 
Ukihonga elfu 10 wanaenda kutangaziana hapa waweza kumla mama mtu dada mtu rafiki mtu na ukoo mzima
Hii kipindi fulani ilinitokea nikalamba nyumba nzima,mama mtu,mdogo wake na wanae wa4,
Sikuwai kutongoza yaani wanajileta tu nakula mzigo.
Hata hela sikua natoa,almradi tu.
Walikua wa kigoma huko.
 
Mdahalo upi hauna hoja! jifunze hata kuoga na kupiga mswaki kwanza 😀 😀 😀 .. Sisi tunajua nyie ni bushmen kama sokwe vile na ule weusi 😀😛
Kwa michambo tu ,mpo vizuri...hapo tunawavulia kofia.
Uvivu mwingi uweka utaalam mdomoni...
 
Watu wana stori mbaya mbaya kuhusu kanda hizo

Sometimes unakuta mtu hata hakujui ila anashabikia tu


Wakati nipo A level nilikuwa nawasikia wanafunzi wanaotoka kanda ya kaskazini wakisema kusini kubaya


Baada ya kusafiri kwenda Mwamza, Katavi nilikuwa nacheka sana kwa kuona maneno mabaya njiani kiasi nilikuwa najiuliza mtu anapata ujasiri gani wa kuicheka Mtwara?


Kuna stori nyingi za kusadikika kuhusu kanda hizo ila kikubwa kwa kuwa kuna waislamu wengi

Na watu wanauchukia UISLAMU

Ndio maana kuna mikoa ya hovyo na maombaomba kibao ila mtoa mada hajataka kuiweka kwenye list
Nafkiri kwenye suala la Udini hapo halina nafasi...
  • Ruvuma Wilaya ya Tunduru ni Waislam wa kutosha.
  • Morogoro Wilaya ya Kilombero na Kilosa mbona kuna waislam
  • Dodoma, wilaya ya Kondoa na Chemba mbona Waislam ndiyo wengi
  • Singida na Tabora wengi ni waislam
  • Kigoma wilaya ya Ujiji mbona waislam ni wengi
  • Arusha mjini kuna waislam wengi tu
  • Mtwara ,wamakonde wengi ni waikristu
 
Mkuu katika nchi yangu hii, mimi nishafika Mikoa takribani 25,hapa nakupa data za kujionea kabisa...View attachment 2960178
Katika hiyo mikoa mitano ya mwisho, Pwani na Kagera mna matatizo kwakweli, kwa maana wote mna Ardhi ya kutosha na yenye rutuba masoko yapo, wasomi ila dah...

Singida,Dodoma na Tabora ni kame ,yani kame kwelikweli...ndiyo mana hata haishangazi kuwaona hapo.
Ungekua unajua jinsi wanavopima umaskini wa mkoa Wala usingeweka hii kitu, kwa kifupi tu ni Haina uhusiano na kipato Cha mtu mmoja mmoja
 
Sasa mbona watu wa pwani ndio wenye Nuru wanapendeza afya nzuri hao wanaosemwa Wana uchumi mzuri wamepigika ukimwangalia mara Moja hurudishi jicho.Hizo pesa wanapeleka wapi. Mabahiri sana watu wa bars kula vzr hawajui ndiomaaana watoto wanakimbilia pwani kula maisha
 
Nimetembea kote Tanzania hii Mpaka kigoma nimefika ila asee usijiloge mikoa ya kusini ni hatari Sana kama ni mtu unayetegemea majamaa wakuletee maendeleo..

Watu wa huku wanakatisha tamaa Balaa yaani hata ukisema uwasaidie inakula kwako ila nafuu kidogo Mtwara Dangote amekuja kuchangamsha na Tanga kidogo kuna mchanganyiko wa watu sio kama singida au dodoma unaalikwa kiroho Safi ila sio Lindi Kwa wamwera aisee huku sio poa Dunia ya Lindi hakuna kabisa ukarimu unaenda kijijini kufanya kazi sehemu mtu hakupi hata dafu na ana minazi kibao sio kama mbinga au songea Kule utafaidi sana kibaya zaidi hakuna watu wa kufuga mifugo hakuna mtu anafuga hakuna nyama nyoma na kachumbari yaani ni shida.

Na kwanini mikoa iliyo nyuma wasipewe ma RC wachapakazi kama makonda, mtaka, chalamila.. Nashangaa mikoa mzuri kama Arusha wanapelekwa viongozi wazuri wa kuliamsha.
Daahhh hio mikoa huko wachawi ni wengi kuliko Raia 🙆
 
Back
Top Bottom