Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Ni kama mleta mada ana hoja , ila haina ushahidi wa kutosha


Kwanini nasema hivyo
Mkoa wa lindi , pwani angalia mashamba yao wanayolima kwa ajili ya chakula ukiachana na wawekezaji Yani no more efforts unakuta ka robo ekar halafu jembe anapotumia kulima lipo kama shoka so anatumia mkono mmoja(wanalima ni kama kwa ajili ya chakula tu kuzungushia mwaka), hii ni tofauti na mikoa ya mwanza, Moro, singida na tabora(style za kulima) isipokuwa mikoa kama singida tabora ina changamoto ya mvua za kutosha na ardhi tifu tifu


Pwani wana advantage ya viwanda vingi kama alivyosema mchangiaji aliyepita , pia fursa za kimaendeleo kwa kuwa imeizunguka dar es salaam.
 
Uncilived bado mnakunya maporini , kapige mswaki kwanza 😀 😀 😀
Unajua maana ya uncivilized!?
Civilization ina uwanda mpana.
Kama ninyi mngekua civilized msingeendekeza kulawitiana huko Pemba na kurogana.
Do you really know the full meaning of civilization!?
 
Unajua maana ya uncivilized!?
Civilization ina uwanda mpana.
Kama ninyi mngekua civilized msingeendekeza kulawitiana huko Pemba na kurogana.
Do you really know the full meaning of civilization!?
Sisi tunajua bara wanatokea nyani na sokwe
 
Hakuna products za bara huku...Utapiamlo utakumaliz kenge hamna njaa huku
Unataka kusema Dar es salaam hakuna products za bara!?
We kweli fala.
Vingunguti na Pugu zinaingia ng'ombe kutoka kanda ya ziwa na kanda ya kati.
Viazi vingi huingia kutoka Iringa.
Mchele mwingi huingia kutoka Mpanda,Mbeya na Morogoro.
Embu nenda soko kuu Kariakoo kaulizie upate jibu.
Unavyozidi kuongea unazidi kuji expose jinsi ulivyo mtupu.
 
Umesema kwamba Dsm inaongoza kwa maambukizi ya HIV, una data za ku support kujua kwako ?
Nimetoa claim kuwa kwa nijuavyo.
Sikusisitiza kuwa ni Dar nilisema 'kwa nijuavyo'inamaana hizo ni clueless claims ndio maana nikamwambia lete ushahidi.
Hapo sijui umeelewa!?
Na alipoleta ushahidi sikumpinga kwasababu nilikua nina nadharia kuwa Dar inaongoza ila yeye kaleta ushahidi.
 
Unataka kusema Dar es salaam hakuna products za bara!?
We kweli fala.
Vingunguti na Pugu zinaingia ng'ombe kutoka kanda ya ziwa na kanda ya kati.
Viazi vingi huingia kutoka Iringa.
Mchele mwingi huingia kutoka Mpanda,Mbeya na Morogoro.
Embu nenda soko kuu Kariakoo kaulizie upate jibu.
Unavyozidi kuongea unazidi kuji expose jinsi ulivyo mtupu.
Mbona mmejazana hapa ? Mnakula nyie wenywew kama dona ni chakula cha punda nyie ndio mnakula..Kula ovyo ni ujinga wenu wa bara nyie ni watumwa hata kilimo mnafanya cha kitumwa.

Viazi lushoto , matunda ya kila aina bado kuna Moro ...Mmejaza hapa ndio mnamaliza dona mmekuwa mifugo😳
 
Nimetoa claim kuwa kwa nijuavyo.
Sikusisitiza kuwa ni Dar nilisema 'kwa nijuavyo'inamaana hizo ni clueless claims ndio maana nikamwambia lete ushahidi.
Hapo sijui umeelewa!?
Na alipoleta ushahidi sikumpinga kwasababu nilikua nina nadharia kuwa Dar inaongoza ila yeye kaleta ushahidi.
Shule hamna kitu elimu haikai kwa washamba dogo😀😀😀😀..Uletewe takwimu kabla ya kuchapwa makofi!?
 
Hao wasomi wote wanaendeshwa na mzee wa Pwani bwana JK from Msoga Pwani
Nani kakudanganya?
Au ushasahau mizizi ya sera za hili taifa aliunda mbara Julius Kambarage Nyerere??
Au ushasahau kama mpaka sasa asilimia 80 ya sera zake ndio zinaongoza?
We jidanganye.
 
Mbona mmejazana hapa ? Mnakula nyie wenywew kama dona ni chakula cha punda nyie ndio mnakula..Kula ovyo ni ujinga wenu wa bara nyie ni watumwa hata kilimo mnafanya cha kitumwa.

Viazi lushoto , matunda ya kila aina bado kuna Moro ...Mmejaza hapa ndio mnamaliza dona mmekuwa mifugo😳
Unajua faida ya unga wa dona??
HIvi hata biology umesoma mzee!?
Viazi vya Lushoto huwezi fananisha na viazi vya Iringa.
VIazi vya Iringa vinalisha mikoa mingi ikiwemo Dar es salaam.
Na uzalishaji wake wa wingi.
Nenda kafuatilie ugali wa sembe na wa dona upi una afya na virutubisho sahihi.
Kujazana wapi!?
Kwani mnatulipia ninyi kodi na kutulisha na kutuvisha!?
Mshukuru tumekuja huku tumeiendeleza hii kanda,hata Kigamboni miji inayokua inajengwa na waha wa Kigoma,wamanyema,wasukuma na wakaskazini na wahaya.
Kote Kibada,Kisota,Kisiwani,Geza na kwingineko.
Wapemba,wazaramo mmejifungia Vijibweni eneo lililojengeka hovyo.
Mshukuru sana hii miji tumeitanua sisi.
Pia Morogoro sio Pwani kichaa wewe,kanda ya kati na nyanda za juu kusini inaanzia Morogoro.
 
Shule hamna kitu elimu haikai kwa washamba dogo😀😀😀😀..Uletewe takwimu kabla ya kuchapwa makofi!?
Ukiambiwa Pwani mmekalia baikoko unabisha.
Screenshot_2024-04-12-12-58-03-16_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Ni kama mleta mada ana hoja , ila haina ushahidi wa kutosha


Kwanini nasema hivyo
Mkoa wa lindi , pwani angalia mashamba yao wanayolima kwa ajili ya chakula ukiachana na wawekezaji Yani no more efforts unakuta ka robo ekar halafu jembe anapotumia kulima lipo kama shoka so anatumia mkono mmoja(wanalima ni kama kwa ajili ya chakula tu kuzungushia mwaka), hii ni tofauti na mikoa ya mwanza, Moro, singida na tabora(style za kulima) isipokuwa mikoa kama singida tabora ina changamoto ya mvua za kutosha na ardhi tifu tifu


Pwani wana advantage ya viwanda vingi kama alivyosema mchangiaji aliyepita , pia fursa za kimaendeleo kwa kuwa imeizunguka dar es salaam.
Ila mkuu kafuatilie hivyo viwanda idadi ya wafanyakazi ni wa wapi?
Wapwani unawahesabu mkuu.
Asa nashindwa kuelewa hawa jamaa wakoje.
 
Unajua faida ya unga wa dona??
HIvi hata biology umesoma mzee!?
Viazi vya Lushoto huwezi fananisha na viazi vya Iringa.
VIazi vya Iringa vinalisha mikoa mingi ikiwemo Dar es salaam.
Na uzalishaji wake wa wingi.
Nenda kafuatilie ugali wa sembe na wa dona upi una afya na virutubisho sahihi.
Kujazana wapi!?
Kwani mnatulipia ninyi kodi na kutulisha na kutuvisha!?
Mshukuru tumekuja huku tumeiendeleza hii kanda,hata Kigamboni miji inayokua inajengwa na waha wa Kigoma,wamanyema,wasukuma na wakaskazini na wahaya.
Kote Kibada,Kisota,Kisiwani,Geza na kwingineko.
Wapemba,wazaramo mmejifungia Vijibweni eneo lililojengeka hovyo.
Mshukuru sana hii miji tumeitanua sisi.
Pia Morogoro sio Pwani kichaa wewe,kanda ya kati na nyanda za juu kusini inaanzia Morogoro.
Hakuna faida toa ushamba wake ,uchafu ule wanakula mifugo 😀 😀 😀
 
Hakuna faida toa ushamba wake ,uchafu ule wanakula mifugo 😀 😀 😀
Usikute we ni primary dropout wa Mwanzange.
Vile vitu mnavyokoboa ili muipate sembe ni virutubisho vya vitamin,energy.
Ila ninyi sidhani kama mnaelewa.
Pia Dona lina faida katika kusadia mmeng'enyo wa chakula kwa zile fibres products zinazokua zipo katika dona husika.
Pia dona end product yake ni simple sugar glucose directly hivyo husaidia kuepusha uzito kupita kiasi.
Tofauti na sembe huwa inakua complex sugar na kuchukua muda kuichakata kuwa simple sugar,ndio maana ukila sembe kwa wingi kuna hatari ya end products yake kugeuka fats na kusababisha obesity.
Soma kijana.
 
Usikute we ni primary dropout wa Mwanzange.
Vile vitu mnavyokoboa ili muipate sembe ni virutubisho vya vitamin,energy.
Ila ninyi sidhani kama mnaelewa.
Pia Dona lina faida katika kusadia mmeng'enyo wa chakula kwa zile fibres products zinazokua zipo katika dona husika.
Pia dona end product yake ni simple sugar glucose directly hivyo husaidia kuepusha uzito kupita kiasi.
Tofauti na sembe huwa inakua complex sugar na kuchukua muda kuichakata kuwa simple sugar,ndio maana ukila sembe kwa wingi kuna hatari ya end products yake kugeuka fats na kusababisha obesity.
Soma kijana.
Hakuna virutubisho na hakuna ushahidi hao wazungu wangekuwa wanakula, mbona mna utapiamlo !? Wkati nasoma mama yako bado hajapewa mimba yake 😀 😀

Hkuna virutubisho labda kwa mifugo
 
Back
Top Bottom