Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Kwa nionavyo, mikoa inayoongoza kwa uvivu ni Lindi, Mtwara, Pwani na Tanga

Utapiamlo chanzo chake sio kukosekana kwa chakula bali elimu sahihi juu ya lishe bora.
Pia kataa ukubali Tanzania na Afrika mashariki inalishwa na bara.
Mbeya,Iringa,kanda ya kati Morogoro,Katavi,Tabora ndiko michele na mahindi yake husafirishwa mpaka nchi za nje na kuletwa masoko makuu.
Nyama zinazolisha Tanzania ng'ombe na Mbuzi hutokea kanda ya ziwa na kanda ya kati Mwanza,Tabora,Shinyanga,Dodoma,Singida na Morogoro.
Labda utakua hujui maana ya utapiamlo tukuelekeze.
wapumbavu nyie hamna jipya ushamba kwenda mbele
 

Attachments

  • #TagFriends #MwambieNaMwenzio.mp4
    1.3 MB
Bandari ya serikali fala wewe.
Pimia uchumi wa mtu mmoja mmoja wazaramo na wakwere masikini sana ukatae ukubali.
Pia uchumi hugawanywa kwa sekta tofauti tofauti.
Hata mazao yana gao lake la uchangiaji kiuchumi.
Bandari ni uingizaji wa manufactured goods toka nje sana sana ndio unaofanya iwe na pato kubwa.
Hivyo isifiwe serikali.
Hapa hapa Dar walimu wengi wa hisabati na sayansi ni wabara na wakaskazini.
Nenda muhimbili Kawatafute madaktari bingwa wengi ni wabara na wakaskazini kina Rwayemamu na kina Doctor Kasenge.
Ninyi mmekalia kuchezana ngoma za mdundiko na kuuza visheti na biashara za mid man.
Pita hata viwandani wabara na wakaskazini ndio wamejaa wakichapa kazi.
Sasa tujiulize ninyi mna mchango gani kama raia wa hili taifa!?
Wacheni uvivu,hata ukienda Unguja madaktari bora na wabobezi ni wahaya,wanyamwezi na wasukuma.
Halafu ninyi ndio mtufunze sisi!?
we fala hata nguo bado unavaa maronya ..Wajinga tunawaona kama manyani .. 😀 😀 😀
 
Uchumi una evolve mzee.
Usikae kwa kutegemea minazi aisee hufiki popote.
Mtu kwa kilimo cha parachichi kwa mwezi akivuna anakuingizia hadi milioni 8.
Uuzaji wa nyama umekua na faida zaidi kwa kupata soko la nje kwa wingi.
Kakate leseni ya usambazaji nyama TMB uone utavyopiga pesa.
We kaa tegemea minazi tu.
Hata ufugaji samaki watu hufuga sana sana Sangara na Sato na kambare ambao bei inakua chini kuliko samaki wa baharini.
Ila katika mikoa yenye rekodi nzuri ya ulipaji kodi Pwani haiko mbali, sijajua inakuwaje hapo? Achana na hao Lindi na Mtwara…..
 
wazazi wako tumewafundisha kiswahili na kuosha mwili, wewe dogo wa juzi hata kupiga mswaki hujui u analeta shobo za kishamba.

ona ulivyokuwa hanithi , unataja Mwanza kuna nn hapo ?mkoa mmoja tu wa mwanza ambao una washamba kama wote... kuna nn hapo Mwanza mtu wa pwania aje
Wanawake wana sura kama ukuta wa choo, kuoga matatizo...Full kinyaa kenge nyie
Kiswahili ni lugha iliyokua kwa maeneo tofauti kijana.
Kuosha mwili wazee walikua wakioga mitoni na katika maziwa usitudanganye kuwa kuoga mmeelekeza ninyi.
Mkwawa alikua akiandika kiswahili kwa kutumia alphabet za kiarabu kwa misamiati ya kibantu.
Au hujui safari ya kiswahili mpaka inakuja kukamilika kuwa lugha kamili!?
Una mengi unayajua kwa kusikia.
 
Ila katika mikoa yenye rekodi nzuri ya ulipaji kodi Pwani haiko mbali, sijajua inakuwaje hapo? Achana na hao Lindi na Mtwara…..
Mkuu Pwani hii ifuatilie kuanzia Mkoa wa Pwani hiyo Chalinze,Mlandizi,Kibaha,Mkuranga(vikindu&kisemvule),Bagamoyo walipaji kodi wakubwa ni kina nani.
Biashara kubwa na kati za waarabu,ofisi kubwa za wabara na wakaskazini kama vituo vya afya,vituo vya elimu na vituo vingine vya utoaji huduma za kati na chini.
Ukifuatilia wazawa kazi zao zile zile uvuvi na kupika visheti.
 
Shida yako Wewe unanipanga niandikaje wakati bando nimeweka mwenyewe, we kataa kubari mnaletewa chakula na bara.
Nashukuru umepata ka elimu, angalau umeweza kuandika Chakula badala ya Chakura.
Napenda wanafunzi warevu na wasikivu kama wewe. Haya nenda kapate mlo bora wa mchana ili uweze kuimarisha afya yako, usije ukadumaa kama wenzako wa kule karibu na Ludewa
 
Kiswahili ni lugha iliyokua kwa maeneo tofauti kijana.
Kuosha mwili wazee walikua wakioga mitoni na katika maziwa usitudanganye kuwa kuoga mmeelekeza ninyi.
Mkwawa alikua akiandika kiswahili kwa kutumia alphabet za kiarabu kwa misamiati ya kibantu.
Au hujui safari ya kiswahili mpaka inakuja kukamilika kuwa lugha kamili!?
Una mengi unayajua kwa kusikia.
Hamna mnachojua zaidi ya kunuka midogo , wengi meno yameoza kama mnakula kinyesi😳..Wachafu wezi wakubwa

Kule zenji ni kula bakora shenzi type!
 
Hamna mnachojua zaidi ya kunuka midogo , wengi meno yameoza kama mnakula kinyesi😳..Wachafu wezi wakubwa

Kule zenji ni kula bakora shenzi type!
Unaleta mipasho badala ya facts.
Ushaishiwa hoja mkuu we baki kujifirahisha.
 
Back
Top Bottom