Uchaguzi 2020 Kwa press hii, Polepole anakivuruga chama, atafutwe mtu mwingine wa kufanya press

Uchaguzi 2020 Kwa press hii, Polepole anakivuruga chama, atafutwe mtu mwingine wa kufanya press

Lakini CCM ni chama nilichoamini kina wabobezi wa mambo kama akina #gentamycine ila sasa mmekwama akina polepole hawana uchungu na chama huo ni ukwel usiopingika wao wapo kimaslahi ukosee usikosee wao n kusifia.

Back to kipindi hiki kigumu cha kampeni polepole hawezi kujibu hoja hata siku moja ko niwape pole tu
 
Moyo wa Polepole, Dk Bashiru ,profesa kabudi,kitila nk wengi wao wana vinasaba vya upinzani.
Njaa na kukutwa majalalani vimewafanya wajitoe akili.

Ccm inakufa kifo cha Mande ndembe ndembe
Huenda hata Magufuli yupo CCM kimaslahi tu ila moyo wake upo NCCR Mageuzi, haiwezi Chama Kikongwe kama CCM kiongozwe na wahamiaji ambao hawajawahi kuwa na uchungu na hicho chama hata siku moja.
 
Moyo wa Polepole, Dk Bashiru ,profesa kabudi,kitila nk wengi wao wana vinasaba vya upinzani.
Njaa na kukutwa majalalani vimewafanya wajitoe akili.

Ccm inakufa kifo cha Mande ndembe ndembe
Huenda hata Magufuli yupo ccm kimaslahi tu ila moyo wake upo NCCR Mageuzi, haiwezi Chama Kikongwe kama CCM kiongozwe na wahamiaji ambao hawajawahi kuwa na uchungu na hicho chama hata siku moja.
 
Moyo wa Polepole, Dk Bashiru ,profesa kabudi,kitila nk wengi wao wana vinasaba vya upinzani.
Njaa na kukutwa majalalani vimewafanya wajitoe akili.

Ccm inakufa kifo cha Mande ndembe ndembe
Huenda hata Magufuli yupo ccm kimaslahi tu ila moyo wake upo NCCR Mageuzi, haiwezi Chama Kikongwe kama CCM kiongozwe na wahamiaji ambao hawajawahi kuwa na uchungu na hicho chama hata siku moja.
 
Huyu bwana zile billion alizozitumia kununua liability(waunga juhudi kutoka chadema) angezitumia kugawa zile milioni 50 basi angalau kwa ngazi ya taifa ingekuwa danganya toto ya maana sana

Sijui alikosea wapi na alilenga nini kununua watu wa dizaini ya Lijuakali akawaacha akina Lema,Lissu na Mdee
 
Pole Pole na Bashiru ni "GOBERCHEV' Wanafanya kazi ya kuizika CCM kimya kimya.

Wewe umeona wapi watu walikuwa wapinzani miaka yao yote tena kwa ushahidi na kauli, wanaaminiwa kupewa Sekretariat ya chama kinachotawala, kazi ya kwanza kufanya ilikuwa kuwaondoa wote ORIGINAL na kujenga mtandao wao na wamefanikiwa kuiteka ccm , sasa imebakia kuiuwa. JPM pia ni sehemu ya syndicate.
 
Huyu bwana magufoool zile billion alizozitumia kununua liability(waunga juhudi kutoka chadema) angezitumia kugawa zile milioni 50 basi angalau kwa ngazi ya taifa ingekuwa danganya toto ya maana sana

Sijui alikosea wapi na alilenga nini kununua watu wa dizaini ya Lijuakali akawaacha akina Lema,Lissu na Mdee

Mamluki walionunuliwa na Magufuli hakuna hata mmoja anayemsaidia kujibu hoja hasa kipindi hiki anakabiliwa na upinzani mkali .....sasa aliwanunua wa nini ??? mikakati mingine ya kizembe sana
 
Pole Pole na Bashiru ni "GOBERCHEV' Wanafanya kazi ya kuizika CCM kimya kimya.
Wewe umeona wapi watu walikuwa wapinzani miaka yao yote tena kwa ushahidi na kauli, wanaaminiwa kupewa Sekretariat ya chama kinachotawala, kazi ya kwanza kufanya ilikuwa kuwaondoa wote ORIGINAL na kujenga mtandao wao na wamefanikiwa kuiteka CCM sasa imebakia kuiuwa. JPM pia ni sehemu ya syndicate.
Ndio maana hata kwenye mabango yao unaona jina la Magufuli limepewa uzito zaidi kuliko hata jina la Chama.

Kidumu chama cha Magufuli (CCM)

REST IN PULSE chama cha Mapinduzi (ccm)
 
Na katika USIRI huo haiyumkini kuna upigaji mkubwa ambao unalindwa na mbinu ya kuiweka mfukoni mihimili mingine na kuwabana wapinzani ambao ndio kwa kiasi kikubwa wamekuwa wasemaji wa wananchi.

Nyakati zinabadilika, kuna vizazi vitakuja havitakubali, kinga za kutoshtakiwa zitafutwa na wabadhirifu wote watasukumwa na kuburuzwa kwenye vyombo vya sheria bila kujali nyadhifa.
 
Ndio maana hata kwenye mabango yao unaona jina la Magufuli limepewa uzito zaidi kuliko hata jina la Chama.

Kidumu chama cha Magufuli (CCM)

REST IN PULSE chama cha Mapinduzi (ccm)

Ngoja tu vituko vya kufukuzana mtaanza kuviona baada ya uchaguzi iwe wameshinda au wameshindwa. CCM original hawatakubali, ni kutafutana.
 
Ana usomi gani Pole pole Sasa huyo kaunga unga, Nape aliitendeaga haki hyo nafasi yake
Pole pole sio mwanasiasa kama Nape ndio maana tunamuona kapwaya.

Polepole amejikita kwenye facts.

Halafu ukiangalia ana Masters ya Development studies basi burudaaaaaniiii
 
Back
Top Bottom