Uchaguzi 2020 Kwa press hii, Polepole anakivuruga chama, atafutwe mtu mwingine wa kufanya press

Uchaguzi 2020 Kwa press hii, Polepole anakivuruga chama, atafutwe mtu mwingine wa kufanya press

Polepole kakejeli sana wagombea was upinzani, tena live.sipati picha kama nao wakija live wakikejeli wenzao hivo
 
Hivi CCM imekosa watu wa kufanya uenezi? Mtu hakijui chama, hajakulia ndani ya chama iweje leo apewe kazi ya kukitetea na kukijenga? Sasa huku ni kujenga?

Mkuu Polepole haitumikii ccm bali anamtumikia Magufuli, ndio maana kila kitu anasema rais amefadhaishwa sana na hoja fulani. Mfano sera ya majimbo anasema imemkwaza sana rais, inakuwa kama mambo ya nchi hii yanafanyika ili kukidhi utashi wa Magufuli!
 
Hawa ndio walikuwa wanamuaminisha kiongozi mkuu wa malaika kwamba amefanya wonders hahitaji kampeni Ila anunue wapinzani,azuie siasa za upinzani eti ndio kuleta maendeleo.Sasahivi jiwe haamini macho yake
 
Moyo wa Polepole, Dk Bashiru ,profesa kabudi,kitila nk wengi wao wana vinasaba vya upinzani.
Njaa na kukutwa majalalani vimewafanya wajitoe akili.

Ccm inakufa kifo cha Mande ndembe ndembe
Kuna Mgombea Urais anaongea na wananchi, kuna Mgombea Urais anawafokea wananchi"

Sijui mtazamo wako....!
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
Najua H.Polepole huwa anaongea yale ambayo upinzani hawataki waambiwe.Wanataka wakidanganya waambiwe kuwa ni wakweli na wasifiwe.Polepole hayupo hivyo.

Anawajua fika kuwa mmekata tamaa na mnatumia kila mbinu ili CCM nao wakate tamaa.Hapo naona hamjajipanga sawasawa.Kusema la ukweli wapinzani safari hii ni wapayukaji tuu hamtaweza hata kwa robo kufikia nguvu ya Lowasa 2015.

Pale mnapoona maji yanapanda shingoni si mfanye kama Membe?
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
Wewe una fact zipi?

Au huko nyuma ulikuwa unapata wapi uwazi huo?

Tuonyeshe huko nyuma uwazi unao ujua na hivi sasa unadhani ni wapi wamekosea.

Au wapi wamedanganya kwa manunuzi?
 
Najua H.Polepole huwa anaongea yale ambayo upinzani hawataki waambiwe.Wanataka wakidanganya waambiwe kuwa ni wakweli na wasifiwe.Polepole hayupo hivyo.Anawajua fika kuwa mmekata tamaa na mnatumia kila mbinu ili CCM nao wakate tamaa.Hapo naona hamjajipanga sawasawa.Kusema la ukweli wapinzani safari hii ni wapayukaji tuu hamtaweza hata kwa robo kufikia nguvu ya Lowasa 1995.Pale mnapoona maji yanapanda shingoni si mfanye kama Membe ?

Nimecheka kwa nguvu, eti nguvu ya Lowass ya 2015, hiyo nguvu ya Lowassa ilikuja kwa kusema elimu elimu elimu? Kama Lowassa alikuwa na nguvu akiwa ni miezi miwili, je alionyesha nguvu gani akiwa na miaka miwili?
 
Polepole sio CCM hajawahi kuwa CCM na hatakaa awe CCM Yuko hapo alipo kwa ajira na maslahi, hana historia na chama, hana uchungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwaje akapewa nafasi nyeti km hiyo ktk chama? Kweli alikosekana kada aliyepikwa na kuiva sawasawa kwa nafasi hiyo?

Kuna baadhi ya Watanzania wana kadi za vyama vya siasa 2 hadi 3. Kila kadi ina umuhimu wake pale akihitajika kuionyesha.
 
Ndege ni kitu chema ila tulikosea kuingia kwenye usiri wakati tunachonunua siyo ndege za jeshi, ni za biashara. Lazima tukubali kuwa usiri uliowekwa utaliua shirika maana akija Rais mwingine
Siri upi mkuu, zile Hansard za Bunge hukuziona?
 
Tuleteeni bank transactions kutuonesha kila ndege mlinunua shilingi ngapi???? Sio kutuambia bunge lilitenga kiasi fulani. Bunge linaweza tenga bilioni 400 kununua ndege 6 ila nyie mkanunua ndege sita kwa bilioni 180

Tuonesheni Pia mmelipa shilingi ngapi kwa kampuni ya kujenga bwawa la rufiji. Bank transactions za hayo malipo zipo wapi????

Alichofanya polepole leo ni comedy sio kujibu 😂😂😂
Sijui hizo unazoita Bank transactions ni vitu gani?
Lini uliletewa hizo transactions za kujenga barabara ya Dodoma-Mwanza? Lini uliletewa hizo transactions za ujenzi wa bwawa la Mtera? Terminal 3 ya uwanja wa ndege Dar uliletewa hizo transactions? Tusigeuze nchi kuwa ya wajinga kwa sababu tu kabila fulani lina hisia ya kuwa juu kuliko wengine na sasa linahisi linaonewa. Kama huna hayo yote, just shut up!
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
AHAAA 🤣🤣🤣 CHAKUBANGA 🤣🤣🤣😁😁
 
Politics za TZ ni kama filamu isiyo na ukomo na mbaya zaidi haina hata scripts...

Kwa kifupi ndio sehemu imejaavilaza na wachumia tumbo kuliko kada nyingine yoyote...

Ndio maana ni kawaida kuona wanasiasa wakibadilisha misimamo yao kirahisi tu na pasipo soni yoyote...

Mathalani, "Lowasa ni fisadi" ghafla mtu huyo huyo anageuza kauli "Lowasa ni mtaji" ama "Katiba iliyopo ni kwa maslahi ya chama kimoja" ghafla mtu yuleyule anakwambia "Katiba haina shida ila yahitaji kuzibwa viraka tu".
 
Nimecheka kwa nguvu, eti nguvu ya Lowass ya 2015, hiyo nguvu ya Lowassa ilikuja kwa kusema elimu elimu elimu? Kama Lowassa alikuwa na nguvu akiwa ni miezi miwili, je alionyesha nguvu gani akiwa na miaka miwili?
Ha haaa.Elimu ! Elimu ! Elimu.Ndugu yangu vile vilikuwa ni vionjo tu vya uchaguzi na haikuwa na maana kwamba atatupa kule afya na sekta zingine,la hasha.

Ni kama vile punguani Lissu anavyojinasibu kwamba ataondoa kodi,kusitisha miradi yote mikubwa na ya maana inayondelea nchini pamoja na kuufukia uwanja wa ndege wa Chato.Hivyo ni vionjo tu.

Anyway sisi wote ni watanzania na maisha ni lazima yaendelee baada ya tarehe 28.10.2020
 
Sijui hizo unazoita Bank transactions ni vitu gani?
Lini uliletewa hizo transactions za kujenga barabara ya Dodoma-Mwanza? Lini uliletewa hizo transactions za ujenzi wa bwawa la Mtera? Terminal 3 ya uwanja wa ndege Dar uliletewa hizo transactions? Tusigeuze nchi kuwa ya wajinga kwa sababu tu kabila fulani lina hisia ya kuwa juu kuliko wengine na sasa linahisi linaonewa. Kama huna hayo yote, just shut up!
Mambo ya makabila yametoka wapi? Mbona unaweweseka
Kwa taarifa yako hata mie mama yangu ni msukuma ila sikubaliani na magufuli Kama anaongoza vizuri na Kama yeye ni kiongozi mzuri!

Kinachosababisha tuhoji ni kwa sababu wanadai wamelipa cash na kwa tunaojua hakuna sehemu zenye upigaji kama kwenye manunuzi ya serikali
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
CCM narudia tena Uwanja wa Chato usichukue sehemu za kampeni yenu. Wekeni sera mezani na sio kutetea kilichofanyika kwa sababu tayari vimeonekana. Watanzania wanataka kujua wanaelekea wapi baada ya ndege, airports, mabarabara, SGR za uchumi wa kati na ma fly overs.....
 
Back
Top Bottom