Msafwa1990
Member
- May 5, 2020
- 5
- 14
Liked this... Really speaks out bout how we should perceive things nationalwise...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaakili sanaHuenda hata Magufuli yupo ccm kimaslahi tu ila moyo wake upo NCCR Mageuzi, haiwezi Chama Kikongwe kama CCM kiongozwe na wahamiaji ambao hawajawahi kuwa na uchungu na hicho chama hata siku moja.
Hata Mwikabe Waitara yuko kimya.Mamluki walionunuliwa na Magufuli hakuna hata mmoja anayemsaidia kujibu hoja hasa kipindi hiki anakabiliwa na upinzani mkali .....sasa aliwanunua wa nini ??? mikakati mingine ya kizembe sana
Maneno yako yatakua yanawachoma waliolelewa na chama kama wakina Mwigulu, Januari, Kinana nkNdio maana hata kwenye mabango yao unaona jina la Magufuli limepewa uzito zaidi kuliko hata jina la Chama.
Kidumu chama cha Magufuli (CCM)
REST IN PULSE chama cha Mapinduzi (ccm)
Kikwete aliwahi kusema ni vigumu kujua Nape ataongea nini dakika inayofuata.Ana usomi gani Pole pole Sasa huyo kaunga unga, Nape aliitendeaga haki hyo nafasi yake
... muda bado unaruhusu, CCM isione aibu japo kulamba matapishi yao na kuwarudisha watoto wa TOWN, Nape & Makamba jr., maana hamna namna Tena!
[emoji28]
[emoji109] [emoji111][emoji111][emoji111][emoji95]
Hao safari yao ndani ya Chama iliisha mwaka 2015, CCM mpya ina wenyewe, wenyewe ni Magufuli, polepole na BashiruManeno yako yatakua yanawachoma waliolelewa na chama kama wakina Mwigulu, Januari, Kinana nk
😂😂😂😂Hao safari yao ndani ya Chama iliisha mwaka 2015, CCM mpya ina wenyewe, wenyewe ni Magufuli, polepole na Bashiru
Uwanja wa ndege uliojengwa na Rais wa zamani wa Zaire kijijini kwake Ghabolite leo unatumika na wananchi wangapi?Uwanja ndiyo umeshajengwa na unatumika na watanzania na upo ndani ya Tanzania na hamuwezi kutufanya lolote.Wakiuongelea kwa kauli za ovyo tutasema vilevile ili hata wale wanaodanganywa wajue kwamba bado kuna watanzania wana chuki na mambo yanayofanyika ndani ya nchi yetu na yenye manufaa na nchi yetu .
Uwanja wa ndege uliojengwa na Rais wa zamani wa Zaire kijijini kwake Ghabolite leo unatumika na wananchi wangapi?
Na huu wa kijijini Chato unatumika na watanzania wangapi wanaokwenda kijijini Chato? Ndege zipi za kibiashara zinazoenda hapo Chato? Madikteta wanashabihiana, Mobutu, Mugabe, Magufuli. MMM...
Peleka upuuzi wako huko, hakuna economic strategy yeyote ya kupeleka uwanja wa ndege kijijini kwa Magufuli, kuna uwanja Shinyanga, Bukoba, haviwezi kufanya kazi hiyo? Wewe mataga pumbavu kawalishe matango pori wajinga wenzako.Suala linalowatesa watanzania wengi ni kukariri taarifa za watu wengine bila hata kujua wamekariri wao wanaropoka tu.
Uwanja wa Chato umejengwa strategically ili uwe ni msaada wa dharura kwa uwanja wa Mwanza ambao unakwenda kuwa ni kituo cha ndege(hub).
Huwezi kuwa na hub kama huna strategic aerodrome. Haya ni masuala ya kisomi muwe mnauliza ili mpate ufafanuzi kabla ya kufanya copying and pasting.
Mapovu hayakusaidii bwana mdogo. Tambua tu uwanja wa Chato umejengwa kimkakati na watakaokuja kufaidika na huo mkakati pengine ni wengine baada ya mimi na wewe kuwa tumeshatangulia mbele za haki.Peleka upuuzi wako huko, hakuna economic strategy yeyote ya kupeleka uwanja wa ndege kijijini kwa Magufuli, kuna uwanja Shinyanga, Bukoba, haviwezi kufanya kazi hiyo? Wewe mataga pumbavu kawalishe matango pori wajinga wenzako.
Baada ya Magufuli wa Chato kuingia ikulu ndio ikaonekana umuhimu wa airodrome Chato? Pathetic
Wewe ndio unaweza kuwa bwana mdogo kwa sababu ya cheap propaganda, hujanijibu strategy za uwanja wa Shinyanga na Bukoba to name the few haziwezi kufanya kazi za uwanja mkubwa kijijini kwa Rais?Mapovu hayakusaidii bwana mdogo. Tambua tu uwanja wa Chato umejengwa kimkakati na watakaokuja kufaidika na huo mkakati pengine ni wengine baada ya mimi na wewe kuwa tumeshatangulia mbele za haki.
Sintokuacha bila kujueleza jambo. Wewe ni ounguani sana wa akili mkuu. Kwasababu hujui madhumuni ya kuwa na ndege zetu ni nini?Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.
CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
Umeshaelezwa kwa kirefu ni kwanini uwanja wa Chato ni muhimu kwa uwanja wa Mwanza, hakuna aliyesema viwanja vya Shinyanga na Musoma sio muhimu kumbuka kuwa viwanja vyote vya ndege vinakarabatiwa kwa ujumla.Wewe ndio unaweza kuwa bwana mdogo kwa sababu ya cheap propaganda, hujanijibu strategy za uwanja wa Shinyanga na Bukoba to name the few haziwezi kufanya kazi za uwanja mkubwa kijijini kwa Rais?
Najua kwa nini tenda apewe mume mwenza? Ufisadi to the highest degree, unaweza ukawa unatetea ujinga kwa maslahi ya tumbo lako au kwa ujinga wako, bali tambua huwezi kulazimisha kuwaingizia ujinga wasiopenda ujinga.
Umeukubali kaa nao mwenyewe
CCM ikianguka hapo mwezi Nov, Humphrey Polepole atatuambia mashati yake ya kijani na njano sio ya chama Ila ni ya YangaPolepole sio CCM hajawahi kuwa CCM na hatakaa awe CCM Yuko hapo alipo kwa ajira na maslahi, hana historia na chama, hana uchungu.
Sent using Jamii Forums mobile app