Uchaguzi 2020 Kwa press hii, Polepole anakivuruga chama, atafutwe mtu mwingine wa kufanya press

Uchaguzi 2020 Kwa press hii, Polepole anakivuruga chama, atafutwe mtu mwingine wa kufanya press

Umeshaelezwa kwa kirefu ni kwanini uwanja wa Chato ni muhimu kwa uwanja wa Mwanza, hakuna aliyesema viwanja vya Shinyanga na Musoma sio muhimu kumbuka kuwa viwanja vyote vya ndege vinakarabatiwa kwa ujumla.

Hayo ya mume mwenza kupewa tenda ni story ulizosikia kwa watu ambazo huwezi kuuweka wazi ushahidi.

Mkuu yanafanyika mengi sana ya kimaendeleo uwanja wa Chato ni sehemu ndogo sana.
Kama viwanja vya karibu vinaweza kufanya kazi ambayo inatakiwa kufanywa na uwanja wa ndege wa Chato kuna umuhimu gani kutumia mabilioni ya walipa kodi kujenga uwanja kijijini kwa Rais?

Ameshutumiwa Rais kumpa tenda hiyo mume mwenza, kama ya vitambulisho amejibu, ya majimbo amejibu ya kujenga uwanja nyumbani kwake amejibu, kwa nini hii hakanushi kama haina ukweli? Hujioni una mapungufu kichwani mwako kulazimisha nyeupe ionekane nyeusi?

Msemaji mkuu wa serikali hawezi kujibu, Polepole hawezi kujibu, ila wewe unalazimisha kututia ujinga, huna kazi ya kufanya zaidi ya kutetea yasiyoteteka?
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama...
Pole pole kawaumbua mnakodolea macho tu. Soma Hansard wacha kufoka bila data.
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama.

Hoja ya uwanja wa Chato haijibiki hata Kama utakodi magwiji wa siasa Duniani, tukubali tulikosea.

Hoja ya ununuzi wa ndege za biashara haina majibu, tukubali tulikosea. Ndege ni kitu chema ila tulikosea kuingia kwenye usiri wakati tunachonunua siyo ndege za jeshi, ni za biashara. Lazima tukubali kuwa usiri uliowekwa utaliua shirika maana akija Rais mwingine hatokubali kuendelea na huo usiri bali ataamua kuweka wazi usiri uliopo au kuachana na biashara hii kama awamu ya tano ilivyoachana na miradi iliyokosewa na awamu ya nne.

Mradi wa reli ni janga kubwa pia hasa pale ambapo kuna sintofahamu kuhusu chanzo cha fedha na upatikanaji wa wakandarasi.

Kinachoiumiza awamu ya tano siyo uthubutu wa kutenda, kinachoiumiza awamu ya tano ni USIRI KATIKA MATUMIZI YA FEDHA ZA WANANCHI.

Wanachosimamia upinzani ni dhana ya mali ya umma ambapo kimsingi kabisa mali ya umma hupangwa na kuliwa na umma. Mipango hiyo hupangwa kupitia Bunge na hukaguliwa kupitia CAG na pale inapoibuka ubadhirifu maamuzi hutolewa na mahakama.

Polepole USIRI WA MATUMIZI YA UMMA HAUNA PROPAGANDA UNAHITAJI FACT
Hoja za Miradi ya Awamu ya Tano hasa ya Stiegler's Gorge, madege ya Magufuli, Uwanja wa Chato, SGR pamoja na kuwa ni hoja za siku nyingi, zimejitokeza sana pia kwenye kampeni za wagombea wa Urais lakini zimekuwa hazijibiwi. Miradi hiyo ingawa wananchi wanaita ni ya Magufuli lakini ukweli ni ya Serikali kwa sababu ni fedha za Umma ndo zinatumika kutekeleza na ndo inatakiwa ijibu hoja siyo Chama Tawala ambacho nacho kinawajibika kuhoji. Rais ni mgombea kwa nini hajibu hoja na tuhuma za wagombea wenzake na kuruhusu Polepole wa Chama ndo ajibu? Wananchi pamoja wagombea wamekuwa wakipendekeza kuwe na midahalo kati ya wagombea wa Urais lakini mgombea wa CCM amekuwa haonyeshi nia ya kushiriki na Chama chake kupinga kabisa pendekezo. Midahalo ingekuwa fursa nzuri kwa Rais na mgombea wa CCM kujibu hoja na tuhuma za wagombea wenzake na za wananchi badala ya kumwachia Polepole ambaye nje ya CCM haaminiki wala kupendwa kwa sababu ya upotoshwaji wake kwa kila kitu. Muda wa kurekabisha tabia ya ukimya kwa kila hoja unazidi kuyoyoma na bila kuwahi matokeo yatakuwa hasi kwa sababu watu ambao ndo wenye uamuzi watatafsiri kivyao. Ukimya una nguvu kuliko radi!
 
Na wale waandishi waliopata nafasi ya kuuliza maswali, aisee niliona aibu kwa aina ya maswali yao.. inawezekana hawakujiandaa..
 
Mimi nilitegemea katika press yake aje na majibu ya vitambulisho vya ujasiriamali ni mpango wa nani, waliomba wajasiriamali hivyo visivyo na picha wala jina, au waliomba wana ccm. Nilitegemea aje na majibu kwa nn magufuri haja ajiri sekta za kilimo, mifugo, maendeleo ya jamii, uvuvi, sheria n.k. kwa miaka 5,
Baadala yake amejambajamba tu katika press yake pale kwamba magufuri anapendwa na wanyonge ,kuna wanyonge nchi hii wakati nchi imepata Uhuru miaka 59 iliyopita. Pole pole anasumbuliwa na njaa . uwezo mdogo wa kujenga hoja
 
Kama viwanja vya karibu vinaweza kufanya kazi ambayo inatakiwa kufanywa na uwanja wa ndege wa Chato kuna umuhimu gani kutumia mabilioni ya walipa kodi kujenga uwanja kijijini kwa Rais?

Ameshutumiwa Rais kumpa tenda hiyo mume mwenza, kama ya vitambulisho amejibu, ya majimbo amejibu ya kujenga uwanja nyumbani kwake amejibu, kwa nini hii hakanushi kama haina ukweli? Hujioni una mapungufu kichwani mwako kulazimisha nyeupe ionekane nyeusi?

Msemaji mkuu wa serikali hawezi kujibu, Polepole hawezi kujibu, ila wewe unalazimisha kututia ujinga, huna kazi ya kufanya zaidi ya kutetea yasiyoteteka?
Msuya alipeleka umeme Mwanga miaka hiyo ya 1980 mwanzoni na hakuna aliyelalamika.

Mrema alipeleka lami kijijini kwake akiwa waziri ww mambo ya ndani na hakuna aliyelalamika.

Magufuli kapeleka uwanja wa ndege wa kimkakati tayari ni nongwa!!.

Magu kafanya mengi sana ya maana kwa nchi nzima uwanja wa ndege wa Chato ni kitu kidogo sana ingawa kwa wenye kutazama mbali wanajua faida zake.

Weka ushahidi wa ndugu ya Magu kupewa tenda Hizo sio unajitetea kwa matusi ya kipuuzi.
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama.

Hoja ya uwanja wa Chato haijibiki hata Kama utakodi magwiji wa siasa Duniani, tukubali tulikosea.

Hoja ya ununuzi wa ndege za biashara haina majibu, tukubali tulikosea. Ndege ni kitu chema ila tulikosea kuingia kwenye usiri wakati tunachonunua siyo ndege za jeshi, ni za biashara. Lazima tukubali kuwa usiri uliowekwa utaliua shirika maana akija Rais mwingine hatokubali kuendelea na huo usiri bali ataamua kuweka wazi usiri uliopo au kuachana na biashara hii kama awamu ya tano ilivyoachana na miradi iliyokosewa na awamu ya nne.

Mradi wa reli ni janga kubwa pia hasa pale ambapo kuna sintofahamu kuhusu chanzo cha fedha na upatikanaji wa wakandarasi.

Kinachoiumiza awamu ya tano siyo uthubutu wa kutenda, kinachoiumiza awamu ya tano ni USIRI KATIKA MATUMIZI YA FEDHA ZA WANANCHI.

Wanachosimamia upinzani ni dhana ya mali ya umma ambapo kimsingi kabisa mali ya umma hupangwa na kuliwa na umma. Mipango hiyo hupangwa kupitia Bunge na hukaguliwa kupitia CAG na pale inapoibuka ubadhirifu maamuzi hutolewa na mahakama.

Polepole USIRI WA MATUMIZI YA UMMA HAUNA PROPAGANDA UNAHITAJI FACT


mbna katoa maelezo vizuri tu yanaeleweka! tusubiri tu hio trhe 23, tuskie izo siri za lissu na mawasiliano aliokua anafanya na mabeberu! kua mpole
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama.

Hoja ya uwanja wa Chato haijibiki hata Kama utakodi magwiji wa siasa Duniani, tukubali tulikosea.

Hoja ya ununuzi wa ndege za biashara haina majibu, tukubali tulikosea. Ndege ni kitu chema ila tulikosea kuingia kwenye usiri wakati tunachonunua siyo ndege za jeshi, ni za biashara. Lazima tukubali kuwa usiri uliowekwa utaliua shirika maana akija Rais mwingine hatokubali kuendelea na huo usiri bali ataamua kuweka wazi usiri uliopo au kuachana na biashara hii kama awamu ya tano ilivyoachana na miradi iliyokosewa na awamu ya nne.

Mradi wa reli ni janga kubwa pia hasa pale ambapo kuna sintofahamu kuhusu chanzo cha fedha na upatikanaji wa wakandarasi.

Kinachoiumiza awamu ya tano siyo uthubutu wa kutenda, kinachoiumiza awamu ya tano ni USIRI KATIKA MATUMIZI YA FEDHA ZA WANANCHI.

Wanachosimamia upinzani ni dhana ya mali ya umma ambapo kimsingi kabisa mali ya umma hupangwa na kuliwa na umma. Mipango hiyo hupangwa kupitia Bunge na hukaguliwa kupitia CAG na pale inapoibuka ubadhirifu maamuzi hutolewa na mahakama.

Polepole USIRI WA MATUMIZI YA UMMA HAUNA PROPAGANDA UNAHITAJI FACT
Waaaacha waowaaaneeee ×2

Sent from my BLL-L22 using JamiiForums mobile app
 
Msuya alipeleka umeme Mwanga miaka hiyo ya 1980 mwanzoni na hakuna aliyelalamika.

Mrema alipeleka lami kijijini kwake akiwa waziri ww mambo ya ndani na hakuna aliyelalamika.

Magufuli kapeleka uwanja wa ndege wa kimkakati tayari ni nongwa!!.

Magu kafanya mengi sana ya maana kwa nchi nzima uwanja wa ndege wa Chato ni kitu kidogo sana ingawa kwa wenye kutazama mbali wanajua faida zake.

Weka ushahidi wa ndugu ya Magu kupewa tenda Hizo sio unajitetea kwa matusi ya kipuuzi.
Kwa hiyo unaiga mabaya badala ya kuiga mazuri? Makosa ya Msuya na Mrema kwa akili yako ndogo unataka kuyatumia kuhalalisha upuuzi huu? Hujioni ulivyo mpungufu? Ukiambiwa wewe ni KILAZA utasema unatukanwa wakati ndivyo ulivyo!

Kamuulize Magu Mayanga construction ni ya nani na kwa nini hawataki kutolea ufafanuzi hili.

Mkakati wa kama dikteta Mobutu wa kujenga uwanja wa ndege kijijini kwake unawavutia WAPUMBAVU!

Mambo mengi makubwa yepi yanayozidi mabaya yake? Kipi cha mno kwa wenye akili finyu kimewafanya mshindwe kufikiria tuwasaidie?
 
Uchaguzi na propaganda ukaa pamoja siku zote. Lakini propaganda zisivyopangiliwa vyema zinaweza kuwa mwiba kwa anayesimuliwa.

CCM fanyeni maamuzi magumu, kubalini kuwa Polepole amepwaya kwenye hiyo nafasi, kubalini kuwa ni kipindi Cha kutafuta wabobezi waingie kazini si kuruhusu watu kama Polepole kukitetea chama.

Hoja ya uwanja wa Chato haijibiki hata Kama utakodi magwiji wa siasa Duniani, tukubali tulikosea.

Hoja ya ununuzi wa ndege za biashara haina majibu, tukubali tulikosea. Ndege ni kitu chema ila tulikosea kuingia kwenye usiri wakati tunachonunua siyo ndege za jeshi, ni za biashara. Lazima tukubali kuwa usiri uliowekwa utaliua shirika maana akija Rais mwingine hatokubali kuendelea na huo usiri bali ataamua kuweka wazi usiri uliopo au kuachana na biashara hii kama awamu ya tano ilivyoachana na miradi iliyokosewa na awamu ya nne.

Mradi wa reli ni janga kubwa pia hasa pale ambapo kuna sintofahamu kuhusu chanzo cha fedha na upatikanaji wa wakandarasi.

Kinachoiumiza awamu ya tano siyo uthubutu wa kutenda, kinachoiumiza awamu ya tano ni USIRI KATIKA MATUMIZI YA FEDHA ZA WANANCHI.

Wanachosimamia upinzani ni dhana ya mali ya umma ambapo kimsingi kabisa mali ya umma hupangwa na kuliwa na umma. Mipango hiyo hupangwa kupitia Bunge na hukaguliwa kupitia CAG na pale inapoibuka ubadhirifu maamuzi hutolewa na mahakama.

Polepole USIRI WA MATUMIZI YA UMMA HAUNA PROPAGANDA UNAHITAJI FACT
You're right ✅ 100°
 
Kwa hiyo unaiga mabaya badala ya kuiga mazuri? Makosa ya Msuya na Mrema kwa akili yako ndogo unataka kuyatumia kuhalalisha upuuzi huu? Hujioni ulivyo mpungufu? Ukiambiwa wewe ni KILAZA utasema unatukanwa wakati ndivyo ulivyo!

Kamuulize Magu Mayanga construction ni ya nani na kwa nini hawataki kutolea ufafanuzi hili.

Mkakati wa kama dikteta Mobutu wa kujenga uwanja wa ndege kijijini kwake unawavutia WAPUMBAVU!

Mambo mengi makubwa yepi yanayozidi mabaya yake? Kipi cha mno kwa wenye akili finyu kimewafanya mshindwe kufikiria tuwasaidie?
Weka ushahidi wa vitu vyenye kueleweka kuhusu hiyo Mayanga sio unaongea umbeya tu.

Mlitaka kujua kama ujenzi wa viwanja vya ndege na upanuzi ulipitishwa bungeni, mmewekewa Hansard zilizo kwenye vitabu zenye ushahidi kamili.

Magu kafanya mengi sana bandari zote zinapanuliwa. Mradi wa Ticts umepitiwa upya na sasa serikali inapata bilioni 14 kwa mwaka.
Mianya ya wizi wa kwenye halmashauri imezibwa na pesa hazina imeongezeka.

Uwanja wa Chato ni muhimu kwa utalii wa hifadhi za kanda ya ziwa, kama kwako hazina umuhimu kwetu wengine ni muhimu sana.
 
Weka ushahidi wa vitu vyenye kueleweka kuhusu hiyo Mayanga sio unaongea umbeya tu.

Mlitaka kujua kama ujenzi wa viwanja vya ndege na upanuzi ulipitishwa bungeni, mmewekewa Hansard zilizo kwenye vitabu zenye ushahidi kamili.

Magu kafanya mengi sana bandari zote zinapanuliwa. Mradi wa Ticts umepitiwa upya na sasa serikali inapata bilioni 14 kwa mwaka.
Mianya ya wizi wa kwenye halmashauri imezibwa na pesa hazina imeongezeka.

Uwanja wa Chato ni muhimu kwa utalii wa hifadhi za kanda ya ziwa, kama kwako hazina umuhimu kwetu wengine ni muhimu sana.
Utalii upi wa Chato wewe bwege? Kiwanja hicho pekee ni mwanya mkubwa wa ufisadi, na ndio maana kajimilikisha ekari zaidi ya 25,000 sababu ni mwizi.

Yaani uwanja wa ndege wa Mwanza usifae kwa utalii ukafae wa Chato? Ukipenda CCM lazima uwe PUMBAVU!

Kabla yake waliongoza CHADEMA kwa miaka 59 wakaiingiza nchi kwenye hiyo mikataba mibovu?

Tafuta wajinga wenzako MATAGA, hapa hutagi jinga la kijani
 
Utalii upi wa Chato wewe bwege? Kiwanja hicho pekee ni mwanya mkubwa wa ufisadi, na ndio maana kajimilikisha ekari zaidi ya 25,000 sababu ni mwizi.

Yaani uwanja wa ndege wa Mwanza usifae kwa utalii ukafae wa Chato? Ukipenda CCM lazima uwe PUMBAVU!

Kabla yake waliongoza CHADEMA kwa miaka 59 wakaiingiza nchi kwenye hiyo mikataba mibovu?

Tafuta wajinga wenzako MATAGA, hapa hutagi jinga la kijani
Bwege ni wewe usiyeweza kuelewa maana ya uwanja wa ndege wa kimkakati unafanya kazi zipi.

Bwege ni wewe usiyejua maana ya uwanja wa ndege wa Mwanza kuwa hub ya kimataifa.

Bwege ni wewe usiyeangalia miaka kumi au ishirini ijayo hilo eneo litakuwa na maendeleo makubwa kiasi gani.

Bwege ni wewe unayeambiawa ulete ushahidi wa uhusiano wa Mayanga na rais JPM na ukashindwa kuuweka hadharani.
 
Bwege ni wewe usiyeweza kuelewa maana ya uwanja wa ndege wa kimkakati unafanya kazi zipi.

Bwege ni wewe usiyejua maana ya uwanja wa ndege wa Mwanza kuwa hub ya kimataifa.

Bwege ni wewe usiyeangalia miaka kumi au ishirini ijayo hilo eneo litakuwa na maendeleo makubwa kiasi gani.

Bwege ni wewe unayeambiawa ulete ushahidi wa uhusiano wa Mayanga na rais JPM na ukashindwa kuuweka hadharani.
Ninakubaliana na Waziri mkuu, . . Urais si mchezo, unahitaji mtu;

Makini,


Msomi,


Muelewa,


Mwenye busara,


Mwenye Utu,


Mtanzania mzalendo;


Anayetambua Urais ni Taasisi na si mtu binafsi! . . Katika Uchaguzi huu mtu huyo ni Tundu Lissu!!
 
Bwege ni wewe usiyeweza kuelewa maana ya uwanja wa ndege wa kimkakati unafanya kazi zipi.

Bwege ni wewe usiyejua maana ya uwanja wa ndege wa Mwanza kuwa hub ya kimataifa.

Bwege ni wewe usiyeangalia miaka kumi au ishirini ijayo hilo eneo litakuwa na maendeleo makubwa kiasi gani.

Bwege ni wewe unayeambia ule the ushahidi uhusiano wa Mayanga na rais JPM na ukashindwa kuuweka hadharani.
Bwege unayejaribu kutushawishi wenye akili tuwe wapumbavu kama wewe, mkakati gani kijijini kwa Rais, kama asingekuwa Rais mkakati kijijini kwake uwanja ungejengwa? Bwege mtozeni wee.

Uwanja wa ndege wa Mwanza ukiwa hub ya kimataifa kuna viwanja vya Bukoba na Shinyanga Bwege wee!

Wewe Bwege maendeleo yeyote hapo katika ukanda wa ziwa hakuna wa kuvizidi viwanja vya Mwanza, Shinyanga, Musoma, Mwadui hadi ukajenge uwanja wa ndege kijijini kwa dikteta Bwege mpumbavu!

Bwege mtozeni, Magu na team yake hawawezi kumkana Mayanga, na ushahidi nikuletee Bwege usiyejitambua kwani mimi Bwege kama wewe?
 
mbna katoa maelezo vizuri tu yanaeleweka! tusubiri tu hio trhe 23, tuskie izo siri za lissu na mawasiliano aliokua anafanya na mabeberu! kua mpole
Ninakubaliana na Waziri mkuu, . . Urais si mchezo, unahitaji mtu;

Makini,

Msomi,

Muelewa,

Mwenye busara,

Mwenye Utu,

Mtanzania mzalendo;

Anayetambua Urais ni Taasisi na si mtu binafsi! . . Katika Uchaguzi huu mtu huyo ni Tundu Lissu!!
 
Bwege ni wewe usiyeweza kuelewa maana ya uwanja wa ndege wa kimkakati unafanya kazi zipi.

Bwege ni wewe usiyejua maana ya uwanja wa ndege wa Mwanza kuwa hub ya kimataifa.

Bwege ni wewe usiyeangalia miaka kumi au ishirini ijayo hilo eneo litakuwa na maendeleo makubwa kiasi gani.

Bwege ni wewe unayeambiawa ulete ushahidi wa uhusiano wa Mayanga na rais JPM na ukashindwa kuuweka hadharani.
Halafu we Bwege tetea na kujimilikisha heka 25,000!
 
Back
Top Bottom