Takemetochurch
Member
- Dec 29, 2024
- 83
- 140
- Thread starter
-
- #101
Exactly, kilikuwa kitu cha kwanz kutambua harak. Honestly, nilishusha pumzi hili limekuja before ndoa.Shukuru wamekuonyesha rangi zao halisi mapema
Hasira za kukataliwa zielekeze kwenye kupambana
Siku ukijipata usiache kwenda kuwasalimia wauone ukuu wa mungu
Sana, ni bora limekuja mapema. Shukranbora wamekutendea haya mapema, jitahidi kumsahau utapona maumivu ya mapenzi baada ya muda tu.
Asante na asante tenaWewe ni late 20s (28 or 29yrs). Bado una muda, jipange, tafuta. Jifunze kujijali wewe kwanza, enjoy your own company kama huna uchumi mzuri. Hao wanawake utakutana nao automatically mambo yako yakiwa mazuri.
Mim kam mzazi wa baade (no kids now), ningependa binti yangu awe na furaha. Achague yule anayedhan anamfaa kwke.Sasa nani anataka maskini kwake? Sema qalitakiwa kuwekeza binti Yao mapema asilete maskini Kwa Wazazi wake vinginevyo asepe huko na huyo fukara wake 😆😆
Kuoa binti maskini is okey ila kuolewa na mwanaume maskini ni mtihani.
Mwisho hata ungekuwa wewe ndio Wazazi ungekubali?
Acha nizisake, asnte sanaTafuta hela ukizipata mrudie au tafuta mwingine, 20s bado hujachelewa labda ukifika 35 hapo ndo inatakiwa ushtuke
Nazitafuta, asnte sanaTafuta hela kwanza ndo uoe
Hahahaha natak real deal man, kuvizia si mambo zangu. 😀Njoo wana wakupe ndinga wanapozubaa familia unapiga ujawepesi, akili zitatulia tu
Tafuta pesa muda huo binti anahangaika kutafuta mwenye makalio na kende (mbele na nyuma). Ukifanikiwa kujipata, binti atakuwa single maza ama amechakaa sasa yeye ndio atakuwa hana mbele wala nyuma.Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
Basi tafuta saizi zako huko kwa akina Halima ndala ndefuHahahaha natak real deal man, kuvizia si mambo zangu. 😀
Ni mjasiriamali mdogoMimi Kuna age Fulani kwenye Maisha MAPENZI YAKAINGILIA KATI..
Ndio kwanza nimemaliza first degree sina mbele Wala nyuma..
NIKAENDA KUMTAMBULISHA MCHUMBA KWA MZEE..alipo ondoka mzee akanishangaa sina hata masters nakimbilia kuoa..eti na haraka na maisha 🤣🤣😂😂
Kusema UKWELI sikupata ushirikiano mzuri kwa wazazi nikampoteza yule mwanamke nilie mpenda Sanaa..
Unajua zile ngoja,kesho,baadae wanawake wengi huchoka kuzingojelea...ni story ndeefu...
"" LOVE IS JUST LIKE A WAR EASY TO START DIFFICULT TO END""
Maisha yakaenda Kasi tukasikiliza wazee now tuna familia zenye furaha TU.
Mambo mengine hutokea for DEVINE PURPOSES.
Kabisa, shukran sanHiyo nguvu ya kuwekeza kumpenda mtu, wekeza kutafuta pesa
Mbona bado kijana mdogo sana we chukulia kama huyo mpenzi wako ni daladala umetelemka kesho utapanda nyingine.Mimi ni ME late 20s, nimekuwa kwa mahusiano na binti wa kaskazini kwa miaka 3 kasoro.
To cut long story short,
Nampenda sana na nilihope angekuwa wangu wa maisha, niliwekeza my time/everything nilichokuwa nacho kwa huyu binti, nikiamini amenielew kwa hali na mali. Nikiwa na tumaini tutafika wote kw kilele cha mafanikio.
SHIDA iko hapa, nimezaliwa kwenye umaskini (si kigezo) na mpaka sasa sijatusua kimaisha kipato kidgo.
Now, wazazi wa binti HAWANITAKI.
Wamezuia mahusiano kati yangu na binti kw kigezo sina mbele wa nyuma, sina pesa, wanaona nitaharibu maisha ya binti.
Mpenz wangu huyu, umeungana na familia, akidai haoni future na mim tena, ilihali amekuw na mm kipind chote na haikuwah kuwa ishu before.
Nimepigwa pigo la Kimaisha na Kimapenzi pia
*Nimezongwa na maumivu, fedheha. Muda huu siwez kufikiria straight
Tafadhal naombeni ushauri/maoni/suggestions.
Asanteni
Umaskin utanipeleka sehem hat kw mtutu wa bunduk nisingeenda, shukran manUmasikini ni mbaya sana kaka, pambana upate pesa acha kulia lia mwanaume. Piga hata dili haramu mafanikio yanataka watu jasiri wanao gusa sehemu tofauti tofauti, chukia umasikini upige vita kwa vitendo.
Saw manBasi tafuta saizi zako huko kwa akina Halima ndala ndefu
Kumpenda bint na mteremko kuna uhusiano gan, sijasema nilienda kuomba familia ya binti pesa.Tatizo vijana mnapenda mteremko,kapambane na mishangazi ulelewe
Wazee wako nayo miyeyusho mkuu kwahiyo masters ndo inaoa?Mimi Kuna age Fulani kwenye Maisha MAPENZI YAKAINGILIA KATI..
Ndio kwanza nimemaliza first degree sina mbele Wala nyuma..
NIKAENDA KUMTAMBULISHA MCHUMBA KWA MZEE..alipo ondoka mzee akanishangaa sina hata masters nakimbilia kuoa..eti na haraka na maisha 🤣🤣😂😂
Kusema UKWELI sikupata ushirikiano mzuri kwa wazazi nikampoteza yule mwanamke nilie mpenda Sanaa..
Unajua zile ngoja,kesho,baadae wanawake wengi huchoka kuzingojelea...ni story ndeefu...
"" LOVE IS JUST LIKE A WAR EASY TO START DIFFICULT TO END""
Maisha yakaenda Kasi tukasikiliza wazee now tuna familia zenye furaha TU.
Mambo mengine hutokea for DEVINE PURPOSES.
Hauko nje ya mada, inaonekan una high emotional tolerance. Ni nzur coz huwez kuyumbishw na ishu kam hizSijui nimeenda nje ya mada, ila binafsi sinaga mtu ambaye nampenda kiasi cha kuweza kusema kwamba akiniacha ataniumiza "kimapenzi"! Kwanza demu akinimwaga/akikaribia kunimwaga huwa nainjoi huku nikimuigizia kuumia! Yaani katika maumivu ambayo huwa sipati basi ni ya mapenzi. Yaani mtu awepo, asiwepo mimi mzani always upo sawa tu, hasa nikizingatia tabia za hawa watoto wa afumbili ndo kabisaaa!
Kama ni tatizo nishaurini niende hata kwa Mwamposa nikaombewe nami mahaba yaanze kuniua na kunigalagaza.
NB: nami nipo late 20s ila sijui hata nitaoa lini maana hata kupenda sipendi.
Ni kweli kuna mwanangu mmoja nilisoma nae Yan najua detail zake 😅Ila yeye detail zangu hazjui nasikia oya mwana kitengo siku hziPesa huwa ananuka kama harufu mbaya. Wewe hebu fikiria watu uliosoma nao waliofanikiwa sana bila shaka unajua habari zao ila makapuku huna habari nao. Namaanisha atafute ela awe na pesa kweli sio pesa ya kununua subaru xt halafu aseme kafanikiwa.
AmeeenUsiwe kinganganizi hilo sio fungu lako