OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mimi nilishawaelewa mapema tuKina bashiru itafika mahali mtawaelewa sana
Kuna majibu yeyote tangible alitoa pale zaidi ya kusema tunalichukua? Mbona hakutuma waziri Ndumbaro na FA wakamwakilishe kucheza mzikiMakamu wa Rais Dr Mpango alikuwepo kumuwakilisha tatizo lako nini wewe mtunza kumbukumbu za Fedha πΌ
Kwani wafanyqkazi mnampa nini? Kwanza, anajua mnavyomchuki, hamtampigia kura, Wakati harmonize, anawakusanya mazombie vijana(vijana Ambao wanaamini kuna neema ndani ya CCM), wampigie kuraWafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu πππ
Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo
Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Pwani na Zanzibar Muziki ni sehemu ya Utamaduni muhimu nadhani bwashee Mrangi ova anakumbuka tulivyocheza Isambe tukiwa na mzee Rukhsa na Kanda Bongoman mwenyewe pale Shamba la bibiKuna majibu yeyote tangible alitoa pale zaidi ya kusema tunalichukua? Mbona hakutuma waziri Ndumbaro na FA wakamwakilishe kucheza mziki
Samia alikuwa anazindua hongo ya safari za nje kwa kundi la Samia Queens linaloundwa na wasanii wa bongo movies.Kampeni mkuu...
Kupitia wasanii wanaamini watapata kura
Ile ni album ya nyimbo za kampeni.
Shujaa Magufuli alitaka kumpa Ubunge huyo Harmonize ila Dogo akagoma ndio akapewa yule Katani aliyetokea CUF ππKwani wafanyqkazi mnampa nini? Kwanza, anajua mnavyomchuki, hamtampigia kura, Wakati harmonize, anawakusanya mazombie vijana(vijana Ambao wanaamini kuna neema ndani ya CCM), wampigie kura
Unamchukuliaje Harmonize kwanza? Ana maelfu ya watu kwenye mziki wakeWafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu πππ
Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo
Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?