Kwa Samia, Harmonize ni muhimu kuliko Wafanyakazi na Mei Mosi!

Kwa Samia, Harmonize ni muhimu kuliko Wafanyakazi na Mei Mosi!

Eti rais wa nchi anaenda kwenye show ya msanii na kutoka midnight, mbona hapo hakutuma mwakilishi kama anavyofanya kwenye mambo mengine?!
Kwani Rais hana ruhusa kusuuza moyo wake?
Yeye ni binadamu kama wewe tu tofauti ni mgawanyo wa kazi tu
 
Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu 😀😀😀

Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo

Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Umepita mule mule kwenye mawazo yangu.
 
Wafanyakazi hao hao wamechanga pesa wamchukulie fom.
Wasanii hata habari za fomu hawana.
 
Kule ndipo mahala pa kampeni, wanasiasa kila waonapo wawili watatu wamekusanyika wanajua kuna kura, hadi misibani wanafanya kampeni, ye asikute ki group cha watu anajua hapa kura zipo.
Bila mabadiliko ya katiba sioni ccm inakuwaje wanaogopa mambo ya uchaguzi au sioni hata haja ya kuanza kampeini maana wao wanapora tu kura
 
Kwani wafanyqkazi mnampa nini? Kwanza, anajua mnavyomchuki, hamtampigia kura, Wakati harmonize, anawakusanya mazombie vijana(vijana Ambao wanaamini kuna neema ndani ya CCM), wampigie kura
Nawachukia sana mazombie hasa wale machinga ambao wanakuwa wepesi kudanganywa
 
Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu 😀😀😀

Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo

Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Tatizo sio watumishi wa umma!

Tatizo ni dola!inayowaweka viongozi madarakani!

Unataka mfanyakazi afanye nini!!?Aandamane Ili apigwe risasi za moto!!?

Kuhusu kikotoo ni tatizo la system ya utawala,fedha za mifuko ya wafanyakazi kutumiia kisiasa ku fund shughuli za kisiasa na miradi isiyozalisha ni uzembe unaowanyima mafao kwa wakati wafanyakazi miaka nenda rudi!refer marehem Ramadhani Dau na nccf!

Kuna ombwe katika Dola ya Tanzania,kuna watu hawafikiri sawasawa ndani ya Dola,wanashabikia uchama badala ya mstakabali was taifa lijalo!

Wanasiasa wezi ,wabadhirifu wanachekewa na kulindwa na dola Hilo ndio tatizo!!

Hakuna jamii inayopiga KAZI kama wafanyakazi was umma nchi hii,sisi ndio tunawapa wanasiasa platform ya Nini waseme kwa kuwapa data Kila mwaka!lakini CCM chama changu badala ya kuwa chama cha wafanyakazi na wakulima kimekua chama cha wanasiasa mafisadi wanaolindwa na Dola!

Kifupi Dola imefanya compromise na wanasiasa Ili wawaibie wananchi halafu Leo unawashutumu wafanyakazi eti no wazembe wakati wao ndio walipakodi wakuu nchini!!!?


Katika awamu yangu Mimi kila mwanasiasa atalipa Kodi nikiwemo,wanasiasa mafisadi watafungwa na kulima mchicha kama wafungwa was kawaida!!

Wala jamhuri haitihujumiwa Tena katika nyakati zile!!
 
Hizo ni harakati za kupumbaza watu, pia ni maandalizi ya kampeni na kuhalalisha wizi wa kura.
 
Wafanyakazi wote mtulize akili zenu sasa kuelekea 2025. Mkituliza akili mtatambua kwamba kwa Rais Samia Mwanamziki Hamonaiza ni muhimu sana kuliko nyie na shida zenu. Ndio maana Rais alituma watu kuja kuwasikiliza. Tena kwa dharau zaidi ikaonekana mtumbuizwe na Wadudu 😀😀😀

Ndio maana hata katika mikutano yake yote hajawai kudokeza wala kufafanua hoja zenu. Fikiria Rais anakuwa na mipango na wasanii kuambatana naye nje ya nchi, yaani imekuwa kipaumbele chake, lakini sio kusema chochote kuhusu kikokotoo

Mnataka mfanyiwe nini ili muelewe kwamba mmepuuzwa?
Kwani wafa yakazi wanatoa kodi zaidi ya kufirisi serikali tu? Hata marekani elon musk anakuwa valued sana
 
Acha uchonganishi wako hapa wewe. Kwani nani ambaye hafahamu kuwa siku ya Mei Mosi Mheshimiwa Rais wetu alikuwa nje ya Nchi kuiwakilisha nchi yetu. Laini pia umeona na kushuhudia kule Marekani Marais wakihudhuria matukio kama hayo? Unafahamu mchango wa wasanii katika jamii? Unakuwa msanii anaweza kutumika katika kutangaza utalii na kuwashawishi watalii kuja hapa Nchini?

Embu angalia msanii kama JAY-Z anasikilizwa nawatu zaidi ya millioni 39 kwa mwezi ,hapo bado sijazungumzia wafuasi wake katika mitandao ya kijamii ambao wapo mamilioni kwa mamilioni Duniani kwote. Je unafikiri unafikiri ushawishi wake unaweza kulingana hata na waziri mwandamizi wa wizara gani hapa nchini akiamua kulipa msukumo Jambo fulani?

Shida yenu CHADEMA akili zenu akili zenu ni fupi sana na mnawaza karibu sana.
Ndugu mwashambwa Jay Z A.k.a hana mitandao ya kijamii... Anasikiliziwa hukohuko kwenye ma-spotify, Apple Music, Samsung Music na platform zinginezo. Mungu wake kamkataza mitandao 😂

Rekebisha hapo, umedanganya uma.
 
Ndio anatosha sana tu kwasababu ameonyesha matunda ya kiuongozi ndani ya muda mfupi sana.kwa kuleta maendeleo na kupaisha uchumi wetu. Mapato kwa mwezi kwa sasa ni zaidi ya Trilioni mbili kwa Mwezi,shule zimejengwa kila sehemu ambapo sasa wanafunzi wote wanaofaulu kidato cha kwanza wanaripoti kwa wakati mmoja. Tofauti na zamani ambapo wengine waliripoti awamu ya pili na hivyo kuchelewa kimasomo ukilinganisha na wenzao walioripoti jamnuary.

Ameongeza bajeti ya kilimo kutoka Billion mia mbili mpaka Trilioni moja na point mwaka huu.ameo gexa mikoa ambayo ilikuwa haijaungaishwa katika grid ya Taifa kama vile kigoma na Katavi amejenga na kuweka mawe ya msingi ya ujenzi wa barabara kwa kuwango cha lami ,ametoa maelfu ya ajira kwa vijana hapa nchini japo hajamaliza vijana wote waliopo mitaani lakini ameonyesha juhudi kubwa la kuwapunguzia vijana waliopo mitaani bila ajira.
Kiongozi hapimwi hivyo maana unateleza tu kama unamuelezea Bakhresa au Mo.
 
Back
Top Bottom