Killing machine
JF-Expert Member
- Jul 24, 2022
- 2,052
- 2,995
- Thread starter
-
- #161
Kwa barmaid sikushauri/sikuungi mkono. Utajuta
Hapo kwenye usarama juu ya maambukizi naku hakikishia mkuu mtoto wa kanisani si sarama kuliko bar maidHao wote uliowataja wametumika Sana. Na kwenye simu zao zimejaa namba za wateja wao. Ni vigumu mhudumu wa hoteli au bar kukataa dau ulilolitangaza kimasihara. Hata kama masharti ya kazi ni magumu kiasi gani atatafuta muundombinu mbabadala hadi alikwapue dau hilo yeye mwenyewe in person. Wapo kwenye risk kubwa ya maambukizi
Jipe Moyo TU na huyo wako
Chukulia kama mdogo wako/Dada ako wa kike kakutana na hayo utamshauri shemeji yako asimuowe?Picha linaanza kabebwa Mwanza kaletwa Mbeya kwa kudanganywa kuwa kuna kazi nzuri,anafika kazi hakuna anaanza kudangishwa,huyo hajitambui,ukioa huyo kwa hiari yako kabisa utakuwa umechagua upande wa vita wa Ukraine.
Mkuu,The fact is Mwanamke BOra wa kuoa ni uyo uliyemuoa au utakayemuoa.Haijalishi kama ni wa church,msikitini au Bar.Kwa sisi ambao tuna wake TISa tumeshao mabar medi,wanakwaya,watoto wa nyumbani,Career women,Madada Poa,etc.SO Tunakwambia wewe endelea kujipa MOYO na Huyo wako wala usifikiri kuna ambaye ni BORA zaidi ya Mwingine.Mwanmke ni mwanamke tu.Akishaitwa Mke Ujue anabadilika na wewe unabadilikaChukulia kama mdogo wako/Dada ako wa kike kakutana na hayo utamshauri shemeji yako asimuowe?
Kweli kabisa, uko sahihi hapa. Wanawake washindao makanisani huku wakilia na kuimba nyimbo za mapambio kila uchwao na hawa washindao misikitini kwa kuswali swala 5 kwa siku na kuwa na lafudhi ya kimajini (Kiarab) ni mafuska kupindukia, wanaficha tabia zao za asili kupitia dini na uvaaji wao wa kininja kumbe ni wanafiki tu wasiofaa hata kuolewa.Baada ya vilio vingi kuhusu mabinti zetu kuwatenda vibaya vijana wetu
baadhi kufunga harusi Leo na baada ya wiki ndani hakukaliki Kama sio kukutana mahakamani kupeana taraka
Katika mizunguko yangu nimekuja kugundua Kuna hazina ya mabinti wema nje ya makanisa,misikiti,majumbani,vyuoni na mashuleni
Na mabinti wenyewe ni Hawa wafuatao
1) Bar maid
Hawa niwanawake ambao hupitia changamoto nyingi kwenye maisha yao
Mishahara yao wakati mwingine huwa matumizi ya miili yao au kuuzwa na waajiri wao
Wengi hujikuta katika mazingila hayo kwa kuto kupenda au kushawishiwa na marafiki
Au madarali wa Wana wake na huja kushtuka Wana fanyishwa kazi hizo na hawana jinsi ya kujitoa hapo kufuatana mazingila magumu wanayo wekewa na wamiliki wao
Binti wa mwanza anaweza kuambiwa kwamba Kuna kazi mbeya ya kuuza hotel akatumiwa nauli na huyo aliye mtaftia hiyo kazi na akafika mbeya
Cha ajabu anafika mbeya anajikuta anavalishwa nguo za bar akikataa hata kula na Ana weza kufukuzwa na asijue pa kwenda kwa kutishwa kufanyiwa chochote hivyo hujikuta Hana jinsi
Wana wake Hawa Hukutana na wanaume wa kila aina na huishi nao kufutana na Tabia zao na huachana nao sarama
Niwanawake ambao wengi wao wanakuwa wamesha pitia kila aina ya starehe kwahiyo sio wageni wa starehe Bali wao huwa wageni wa kumpata mtu au watu wanaonwapend kweli
Na pia Wana nidhamu ya Hari ya juu niwa skivu wavumilivu na watiifu kwa wateja zao ambao ni wanaume kwa kiasi kikubwa
Basi Kama uta bahatika.kumpata bar maid ambaye anashida na ndoa naludia tena mwenye shida na ndoa
basi nenda nae hospital pimeni afya mwowe huji kujutia kwenye maisha yako
2) Wahudumu wa hotelini
Hawa niwana wake wenye nizamu huamka hasubuhi na mapema kuwa andalia wateja wao mazingira mazuri
Wana rugha Safi na sarama niwa kalimu na wasikivu pia wanajua kuya fanya Mambo makubwa kuwa madogo
Kama uta bahatika kukutana nae mwenye shida na ndoa baada ya kufuata taratibu sahihi weka ndani utakuja unishukuru
3) Wahudumu/wasaidizi migahawani
Hawa niwana wake ambao hulipwa mpaka 2000 kwa siku Kama sio 5000
Hawa niwana wake ambao huwaomba Dada ndugu na marafiki walioko mjini connections za kazi
Baadae huitwa nahao watu lakini baada ya kufika mjini hujikuta wanaona ni Bora maisha ya vijijini waliko toka kuliko maisha ya kazi zao
Wanapitia maisha magumu Sana wakati.mwingine huuzwa na waajiri wao/maboss zao kwa wanaume/wateja zao kitu ambacho sio ridhaa yao
Kama uta bahatika kumpata mwenye shida ya kuolewa katika kundi hili fuata taratibu zote za msingi weka ndani dunia utaiona paradiso
Mwisho nikuombe ndugu mwana jf kwamba ukimkuta mtoto wakike bar,migahawani, hotelini,au popote pale unapo ona au kudhani Pana tweza utu wake
Elewa yupo pale sio kwa sababu anapenda kuwa pale Ila nikwasababu amekosa mtu/maraika wa kumtoa pale alipo
Na mtu/maraika huyo sio mtu mwingine unaweza kuwa niwewe mwenyewe uliye mkuta hapo alipo
Hivyo Basi.
msaidie kifedha hata Kama humtumii au huji kumtumia
msaidie kima wazo hata Kama huna mpango Wala ndoto nae
tafta mda wa kuzungumza nae ili angalau usikilize shida zake au changa Moto zake badara ya kujiangalia wewe binafsi tu
Nina Imani utajifunza mengi utaheshimu kila mwanamke aliyepo mbele yako
Maisha nifumbo/kesho nifumbo
Mwisho
Kabla huja changia kaa na mabinti tofauti tofauti wanaopatikana mazingira Kama hayo hapo juu uwaulize ilikuwaje wakafika walipo?
Nina Imani utakuja na mazito hapa.
Nashukuru mjukuu. Mie siku zote napingana na sera zozote jumuishi. Hauwezi kusema kabila fulsni wako hivi, kundi hili wako vile, wake bora wanapatikana mahali flani, au
😅😅Bado zipo?
Nashindwa kuelewa kabisa mjukuu, shida ni waoaji au waolewaji? Malalamiko kutoka Kwa wanaotarajiwa kuoa yamekua mengi sana.
Nimeona Kuna Chama kipya kimesajiliwa kinaitwa kataa ndoa, na kinavuta wafuasi balaa.
Wana vaa kininja na kwenye Mambo Yale nimaninja kweli kweli 😅😅Kweli kabisa, uko sahihi hapa. Wanawake washindao makanisani huhku wakilia na kuimna nyimbo za mapambio kila uchwao na hawa washindao misikitini kwa kuswali swala 5 kwa siku na kuwa na lafudhi ya kimajini (Kiarab) ni mafuska kupindukia, wanaficha tabia zao za asili kupitia dini na uvaaji wao wa kininja kumbe ni wanafiki tu wasiofaa hata kuolewa.
😅😅 Unawazungumzia wazee wa CHAPUTAShughuli itaanza pale mwenyekiti na katibu watakapokua na kuamua kuoa🤣🤣🤣
Babu wa hovyo kwani unamuongelea nani? Halafu mimi niko singo, usiniharibie. Mpare gani kwani unamuongelea🤣🤣🤣Kwa Wajukuu tuliopata Posa nyingi wakati wa kumuozesha ni huyo, mumewe amepata Chuma hasa kuanzia height, namba 8 iliyosimama, rangi ya Dubai bila kusahau brain with beauty🤗
Yule Mumewe Mpare pamoja na ubahili wote ule, lakini alitoa Pochi Nene kwaajili yake 😜
kimeumana😅😅😅Babu wa hovyo kwani unamuongelea nani? Halafu mimi niko singo, usiniharibie. Mpare gani kwani unamuongelea🤣🤣🤣
Hebu tulia🤣kimeumana😅😅😅
nitamshauri amuoe for his own riskChukulia kama mdogo wako/Dada ako wa kike kakutana na hayo utamshauri shemeji yako asimuowe?
Je! Utafanya hivyo huku ukiwa unajua chanzo Cha yeye kufika pale kwamba ni bad luck na umasikini ulio kithili wa wazazi wake/family?nitamshauri amuoe for his own risk
😅😅Hebu tulia🤣
Nitafanya hivyo nikiwa najua kuwa kutumikishwa kwenye kudanga hakutokani na umaskini wake bali maamuzi yakeJe! Utafanya hivyo huku ukiwa unajua chanzo Cha yeye kufika pale kwamba ni bad luck na umasikini ulio kithili wa wazazi wake/family?
Kwa maana hiyo una maana kuwa atakuwa Ana fanya hivyo kwasababu anapenda kufanya hivyo sindio?Nitafanya hivyo nikiwa najua kuwa kutumikishwa kwenye kudanga hakutokani na umaskini wake bali maamuzi yake