Nyie si chama dolazingekua mbaya sera za CCM, waTanzania wasingekua na matumaini nayo π
zingekua mbaya sera za CCM, waTanzania wasingekua na matumaini nayo π
tunapambana, tunarekebisha dosari na makosa, tuajisahihisha na kusonga mbele tukiwa wamoja ndani ya CCM. na Chimbuko la Imani na matumaini ya waTanzania kwa CCM msingi wake ni mila na desturi hii muhimu sana πNi kweli!ila ccm inayopambana na ubadhirofu na ufisadi ndani ya chama na sio hii ya kula kwa urefu was kamba!iliyopo inaharibu nasaba ya uongozi kitaifa!
Tumakinike!
Ndiyo mkuuImani ya waTanzania walio wengi ni kwa CCM chama imara sana na Serikali Sikivu π
CCM ni chama cha majangili tupu..hila na mabavu zinatumika dhidi ya vyama vya upinzani.
..Ccm imekata pumzi kuwatumikia wananchi.
..chama kimebakia kufanya ujanjaujanja, ulaghai, na hujuma, kubakia madarakani.
CDM mnatukana kilo MTU anayesifia au kupongeza jitihada za SerikaliUnatafuta umaarufu kwa matusi au unajitoa akili? Hii kazi mwachie lucas
CDM mnatukana kilo MTU anayesifia au kupongeza jitihada za Serikali
Ehhndio,
na CCM imejizatiti kweli kweli kuendelea kutawala na kuyafikia matumaini ya waTanzania ya maendeleo π
Wapumbavu wataona hilo kuwa sawa lakini mwenye akili hawezi kuwaamini ccm hata siku moja.Ndoto, matarajio na matamanio ya waTanzania wengi wa makundi mbalimbali kwa sasa ni katika Chama Imara Sana cha Mapinduzi CCM..
Hii ni kutokana na mipango na kimkakati yake katika kuwaongoza, kuwatumikia na kuwaletea waTanzania wote maendeleo...
Nchi imefunguka vizuri,
Biashara imefunguka, kilimo, ufugaji, uvuvi, usafirishaji na miundombinu vimeboreshwa na vimeimarika sana. Upstikanaji wa huduma muhimu kama vile maji, umeme, afya ni vya uhakika maeneo mengi nchini..
Serikali madhubiti ya CCM inasema na kutenda...
Mambo yanayoendelea ndani ya vyama vingine vya kisiasa nchini, ni aibu na hali ya kukatisha tamaa kabisa.....
Hawana hoja za tena za kuikosoa au kushauri serikali, hawaeleweki hata wanacholalamikia, hawaelewani wao kwa wao, hawaaminia wawo kwa woa n.k
Cha maana zaidi kwao kwa sasa ni, wanajijitambulisha vizuri sana kwa migawanyiko baina yao, malumbano na mipasho isiyo na tija kabisa.
Ama kwa hakika imani na matumaini ya waTanzania yamebaki kwa CCM na Serikali sikivu yake, chini ya kiongozi mahiri sana, kipenzi cha waTanzania comrade, Rais Dr.Samia Suluhu Hassan π
daima maoni na mtazamo wako ni haki na uhuru wako,..CCm imebaki kuwa genge la kutafuta madaraka, ili wapige pesa.
hiyo inabaki Imani yake, na sio tatizo hata kidogo....Wapumbavu wataona hilo kuwa sawa lakini mwenye akili hawezi kuwaamini ccm hata siku moja.
hakuna wa kukuzuia kuisema au kuilezea vibaya ccm,CCM ni chama cha majangili tupu
Gari la mbunge wa CCM leo Hai limekamatwa na wahamiaji haramuhakuna wa kukuzuia kuisema au kuilezea vibaya ccm,
hata hivyo ukweli nayana utabaki pale pale, kwamba waTanzania wengi wanaipenda, wanaiamini na kuitegemea zaidi ccm kutimiza ndoto na matarajio yo ya maendeleo