Usiyoyapenda kuyasikia ni haya hapa
Huko mashuleni kulikolipiwa na serikali kuna haya yafuatayo
Kuna kulipia mlinzi 10000 kwa mwaka, kuna test za kila siku sh 1000, kuna kulipia mitihani ya moko sh 12000 kila wakifanya!
Kuna pesa ya kula tsh 32000 kwa mwezi
Unayajua hayo mkuu!
Je, kuna ubule hapo?