Yupo eneo gani? Namba ya mita tafadhaliKuna Nyumba ya mzazi wangu Ameanza kutumia Umeme Mwaka jana
Mita 24238706220
Mudawote huo tokea kaunganishiwa Umeme hajafikisha 70 Unit yaani anamiezi 6 Unit 60 Tukijaribu kuomba Awekwe kwenye matumizi yachini Wanasema Huduma hiyo Ilisha Ondolewa
24238706220Yupo eneo gani? Namba ya mita tafadhali
Tafadhali fika ofisi za eneo lako kwa taratibu na masharti kama utaonekana unakidhi utawekwaMimi naomba kuwekwa kwenye mfumo wa matumizi madogo,unit 75 kwa mwezi
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Tunakushauri kufika kufika ofisi zetu za Urambo kwa hatua zaidi24238706220
Fanya Masahihisho Ununue Umeme Wa Tshs 1000 Upate Units 2.8 Naamini Ni Units 28Mimu tangu 2016 nauziwa unit kwa bei zaid ya 200 wakat matumiz yangu ni chin ya unit 30 kwa mwezi mf nikinunua umeme wa shiling 1000 napata unit 2.8 wakat huo jiran kwa hiyohiyo 1000 anapata zaid ya unit 7 inakuaje hapo???
Pamoja Na Kusisitiza Tufike Ofisi Zenu Huwa WanakataaTafadhali fika ofisi za eneo lako kwa taratibu na masharti kama utaonekana unakidhi utawekwa
Maelezo yangu Mmeyaelewa Nilishafika huko jibu nimoja tu huduma hiyo haipo kasasaTunakushauri kufika kufika ofisi zetu za Urambo kwa hatua zaidi
Kama unapenda low tariff nenda Zanzibar. Ila kwa bara tunalipa kwa ziada kule zenji..Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,
Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.
Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.
Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".
Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.
Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
NakaziaMaelezo yangu Mmeyaelewa Nilishafika huko jibu nimoja tu hudama hiyo haipo kasasa
Kaskazini mpaka vijiji waliondolewa tariff zero. Wakati wa Magu. Kwahiyo tuvumilieni.Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,
Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.
Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.
Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".
Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.
Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Bora awamu ya tano kuliko hii ya kingeseAwamu ya 5 ndio imesababisha yote haya, ilikopa sana pesa
Kwa hiyo kama amejenga Nyumba eneo la viwanda atawekwa tariff za viwanda?Ndugu wapendwa wateja wetu!
Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.
Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Tafadhali rejea maelezo yetu hapo juu tarifa za nyumbani ni D1 na T1 viwanda vina tarif zake yaani T2 na T3Kwa hiyo kama amejenga Nyumba eneo la viwanda atawekwa tariff za viwanda?
Ingekuwa vyema msiangalie Eneo, Muangalie Matumizi.
Mie nilitaka Wajibu tu kama hiyo mita ina Vigezo au la basiNakazia
Mimi Pia Nimekwenda Jibu Ni Hilo Hilo Unaambiwa Hakuna Huduma Hiyo
Lazima Ina Vigezo Ukienda Ofisini Unajibiwa Hakuna HudumaMie nilitaka Wajibu tu kama hiyo mita ina Vigezo au la basi
Pole sana. Mimi jamaa waliniondoa, ila wamenipa miezi mitatu ya matazamio. Ikiwa matumizi yatakuwa chini basi nitajaza fomu upya! Nasubiria!I have done the same mistake today
Nina miaka miwili tangu nijaze form ya maombi ila sijapata hiyo huduma. Matumizi yangu tangu nifunge umeme 2018 mpaka Leo sijawahi kuvuka hiyo limit.Sio kupendelewa, tunaokba kukuelimisha kuwa kuna tarif mbili za majumbani
Tarif D1 ni na watu wa vijijini, matumizi ya nyumbani na wasiozidi wastanu wa matumizi ya unit 75 kwa miezi mitatu mfulizo
Tarif T1 ni ya nyumbani pia ambayo matjmizi yake yakuwa zaidi ya unit 75 hadi 7500 kwa mwezi, kundi hili linahusisha makazi, mabango, mashina za kusaga nk
Haa HaaNina miaka miwili tangu nijaze form ya maombi ila sijapata hiyo huduma. Matumizi yangu tangu nifunge umeme 2018 mpaka Leo sijawahi kuvuka hiyo limit.
Meter.
43013519160
Bana ehh hakuna jinsiahahahaaa, tanesco wamekwambia furahia maisha Mr mrangi