Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

Tanesco kwann msingeset mita zenu ziwe na uwezo wa kutambua matumizi ya umeme kwa kipindi fulani mfano Kama matumiz yake ya umeme kwa miez mitatu mfulizo n chini ya unit 75 bas mita automatic imrudishe kwenye hiyo tarif zero

Na Kama matumizi yanazid kwa unit 75 bas mita impelekee tarif ya juu zaid hii ingepunguza hyo mosongamano ya kuja huko kwenu kijazana maofisin

Inawezekana labda teknolojia yenu ipo chini lakn mnaweza kuanza taratibu had mkamaliza nchi nzima

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Mita zao zimesetiwa kukupandisha automatic pale tu unapozidisha Units na kukupeleka kundi la watumiaji wakubwa, lakini kukushusha pale unapokuwa na matumizi madogo haipo automatic.

Wao wanakwambia ni lazima uende ofisini ujaze form then utawaachia wao watashugulikia. Subiri sasa washugulikie[emoji1787][emoji1787]
 
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Wengi tu mnatuweka siko, mtaani hapa tunatumia unit 85 kwa miezi miwili au mmoja na wiki 2(minimum)..
 
Awamu ya 5 ndio imesababisha yote haya, ilikopa sana pesa
Ni kweli Mkuu, haya ndio matokeo ya serikali ya hovyo ya awamu ya 5, sasa kuna madeni mengi ambayo lazima yalipwe maana mengi yao yana riba kubwa ukichelewa kulipa, unaona wanavyotukamua kwenye huduma za simu,
 
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Nilikwenda tanesco kurasini kuulizia wakasema wamepokea waraka toka ewura kuwa Dar es Salaam watu wote wana uwezo hivyo tariff 4 iondolewe lakini tulipowasiliana na ewura wakasema hilo no pendekezo bado halijapitishwa lakini tanesco kurasini wameshikilia huo msimamo wa kuondoa tariff 4
 
Nilikwenda tanesco kurasini kuulizia wakasema wamepokea waraka toka ewura kuwa Dar es Salaam watu wote wana uwezo hivyo tariff 4 iondolewe lakini tulipowasiliana na ewura wakasema hilo no pendekezo bado halijapitishwa lakini tanesco kurasini wameshikilia huo msimamo wa kuondoa tariff 4
Tafadhali pitia maelezo yote mwanzo wa thread hii tumefafanua hili
 
Tanesco tatizo lao ni kuchelewa kuunganishia wateja umeme....kuna site hapa inahitaji nguzo..naanza kuwaza kama nitafikiwa kweli?
 
Tafadhali pitia maelezo yote mwanzo wa thread hii tumefafanua hili
Tariff ziliwekwa kutokana na kiwango cha matumizi ya mhusika ila mnachofanya tanesco ni kuforce kupata mapato makubwa halafu mabadiliko kama hayo yana taratibu zake na sio kukaa na kujiamria
 
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Nyie ni wezi, mngekuwa mna nia njema ya kutoa huduma kwa wateja mngekuwa wazi na mambo yenu, mimi natumia unit 60-65 kwa mwezi bado niko tarrif 4, namba yangu ya mita ni 01313926840, wekeni utaratibu mzuri smart wa mtu kuwasiliana na makao makuu kwa ajili ya kupata huduma hii, maana tukienda kwenye ofisi zenu za kanda na mikoani huduma ni mbaya sana
 
Serikali imeamua kukwapua pesa za watu kwa njia nyingine baada ya ile ya DPP na uhujumu uchumi kusitishwa kwa muda mpaka 2026 pale mama na Kikwete watakapoitwa wote wastaafu
 
Tafadhali pitia maelezo yote mwanzo wa thread hii tumefafanua hili
Nyumba yangu, tumelipia umeme, gharama zote na kila kitu ni tangu mwezi wa nne mwishoni lakini mpaka leo hamjaja kuweka umeme na tuliambiwa ni ndani ya mwezi mmoja tu.

Mnazungusha zungusha tu
 
Nyumba yangu, tumelipia umeme, gharama zote na kila kitu ni tangu mwezi wa nne mwishoni lakini mpaka leo hamjaja kuweka umeme na tuliambiwa ni ndani ya mwezi mmoja tu.

Mnazungusha zungusha tu
Ndugu mpendwa Mteja wetu

Tafadhali tusaidia taarifa kamili ili tuweze kufanyia kazi taarifa zako

Jina

Eneo

Wilaya

Namba ya simu

Tatizo

Toka lini

Ahsante sana

TANESCO Huduma kwa Wateja, JM
 
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Mh Tanesco samahani sana, mita namba 24216933469 ina sifa zote za kuwekwa kwenye hiyo inayoitwa tarrif zero.Mbona hamuiweki?
 
Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,

Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.

Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.

Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".

Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.

Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Hii nchi haiwezi kujengwa kwa kutegemea pesa za misaada ya wazungu, ni lazima watanzania tujitoe kwa jasho na damu kuijenga nchi yetu.
 
Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,

Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.

Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.

Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".

Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.

Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Na hakuna meter separation. Maana meter separation inaongeza wateja lakini haiongezi mapato.
 
Back
Top Bottom