Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

Kwa sasa, mita nyingi za Luku zinaondolewa Tariff Zero

Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,

Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.

Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.

Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".

Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.

Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Enzi za vya bure zimeisha 😂😂
 
Na bado kwanza serikali angalieni na mafundi mbalimbali yaani juzi tuu hapa fundi kanikamua 1,000,000 eti kujenga msingi na nyumba usawa wa Renta huku hajalipa kodi yoyote

Hamuoni mnapoteza mapato ,wapenzi leseni za kazi hao,kwa sasa hawalipi kodi ila utasikia nao wanalilia eti bei ya miamala iko juu,pumbavu sana
 
Mimi mwezi huu nilinunua umeme mara mbili kwa bahati mbaya. Maana niliponunua ule wa units 75 kwa TZS. 9150 system ya bank ilionesha ime-fail hivyo ikabidi nihamie m-pesa.

Kulipa ile ya m-pesa ikaniletea units kidogo, kumbe system ya bank ilikuwa imekata kimya kimya!

Hivyo nasubiri mwezi ujao nione kama watakuwa wameniondoa kwenye hiyo ya TZS. 9150 kwa units 75.
Watakuondoaje wakati hujatumia ila umeweka
 
Na bado kwanza serikali angalieni na mafundi mbalimbali yaani juzi tuu hapa fundi kanikamua 1,000,000 eti kujenga msingi na nyumba usawa wa Renta huku hajalipa kodi yoyote

Hamuoni mnapoteza mapato ,wapenzi leseni za kazi hao,kwa sasa hawalipi kodi ila utasikia nao wanalilia eti bei ya miamala iko juu,pumbavu sana
Mzee unachomaa
 
Tanesco mimi wamenitesa sana miaka yote hii tang 2016 nauziwa 2.9 unit kwa 1000.. alaf matumiz yangu ni madogo mnooooo yan ni madogo sana... Sjawahi kuona nikiuziw umeme kwa bei ya 8 unit kw buku aseh noma sana
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
 
Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,

Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.

Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.

Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".

Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.

Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Weka akilini kuwa kati ya mashirika ambayo hayakitoa hesabu ili zikaguliwe na CAG ni tanesco. Hiki ni kijiwe cha lile genge linaloishi kianasa kwa jasho la walala hoi.
Tanesco wanatafuta namna ya ku cover wizi wa watawala kupitia shirika.
Katiba mpya ndio mwarubaini.
 
Hii wiki imekua Ni vilio kwa watu kila mahali,

Wengi wameondolewa tarrif zero, na Hakuna maelezo ya kueleweka.

Tumezoea ukizidisha matumizi ya unit 70 kwa mwezi, automatically system inakuondoa tariff zero (umeme wa 1,000= unit 8.4)
Kwa sasa unaondolewa tu kwa lazima hata Kama ujazidisha.

Mtu Hana tv Wala redio, anatumia balbu 2 tu na simu kaondolewa tarrif zero. Akitaka kununua umeme UNAGOMA afu anaambiwa "unatakiwa upate key change".

Sijajua ndo ukusanyaji mpya wa mapato ya serikali kwa kulazimisha watu wengi watumie tarrif 4 (umeme wa 1000= unit 2.9) au Kuna kitu kingine pembeni kinaendelea TUFAHAMISHWE.

Kwa maana tangu huu mwezi uanze, vijana wa Tanesco wamekua wakipita nyumba Hadi nyumba mara kwa mara, wakidai wanakusanya takwimu za mita za luku.
Maendeleo hayana chama
 
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Ila hujajibu hoja inayojadiluwa.
 
Mimi mwezi huu nilinunua umeme mara mbili kwa bahati mbaya. Maana niliponunua ule wa units 75 kwa TZS. 9150 system ya bank ilionesha ime-fail hivyo ikabidi nihamie m-pesa.

Kulipa ile ya m-pesa ikaniletea units kidogo, kumbe system ya bank ilikuwa imekata kimya kimya!

Hivyo nasubiri mwezi ujao nione kama watakuwa wameniondoa kwenye hiyo ya TZS. 9150 kwa units 75.
Ukiona umenunua mara mbili mbili namna hiyo kimya kimya ujue umesevu, kuwa na amani.

Huwaga hairembi wala haikatai hiyo kitu, ukijichanganya tu, haina mjadala, utakuta inatema roller zima la karatasi ya risiti kukuelekeza kwenda kubadili system na inakuwa imeshatoka hiyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Shukrani nyingi kwenu kwa kuliweka hili sawa.

Matango pori yalishaanza kutuletea hofu
 
Wa mjini ambao hawazidi unit 75 kwa nini hawashuki automatically??

Tunanunua umeme bei ghali sana aisee, yaani unit 70 tunanunua kwa shilingi elfu 25, hali mbaya!
Mimi Toka april 22 hadi Leo nimenunua unit 40. Kwa bei ya 15,000

Wakati ningetumia 4000-5000
 
Ndugu wapendwa wateja wetu!

Wateja wetu wote wanawekwa kwenye makundi ya matumizi yanayoendana na matumizi yao kwa kuzingatia wastani wa matumizi na eneo alilopo.

Ifahamike kuwa hakuna mteja wa matumizi ya nyumbani anayeweza kuwekwa kwenye kundi la matumizi ya viwanda.
Nadhani ifike sehemu muweke wazi haya mambo. Jana nlipotaka kununua umeme ukagoma had nlivyoenda kwa wakala mkuu akasema watu wa mijini wanaondolewa kwenye hyo tariff zero.kweli jana nlinunua umeme nkapata unit chache....na sinawahi vuka matumizi ya kiwango walichoweka
 
Mimi mwezi huu nilinunua umeme mara mbili kwa bahati mbaya. Maana niliponunua ule wa units 75 kwa TZS. 9150 system ya bank ilionesha ime-fail hivyo ikabidi nihamie m-pesa.

Kulipa ile ya m-pesa ikaniletea units kidogo, kumbe system ya bank ilikuwa imekata kimya kimya!

Hivyo nasubiri mwezi ujao nione kama watakuwa wameniondoa kwenye hiyo ya TZS. 9150 kwa units 75.
Ukifanya hivyo kwa miezi mitatu nafikiri watakuondoa
 
Tafadhali weka namba yako ya mita tukujibu kwa taarifa kamili
nyinyi waheshimiwa wa Tanesco hamko sahihi mimi nina mita tangu niwekewe umeme haijawahi kuzidi unit 75 lakini sijawahi kupata hiyo tariff 0 sijui inakuwaje naambatanisha na mita namba 43001626902
 
nyinyi waheshimiwa wa Tanesco hamko sahihi mimi nina mita tangu niwekewe umeme haijawahi kuzidi unit 75 lakini sijawahi kupata hiyo tariff 0 sijui inakuwaje naambatanisha na mita namba 43001626902
Jamani, muwe mnasoma post zote zilizotangulia, kabla ya kuongeza yako! Imefafanuliwa hapa, hakuna kitu hicho kiitwacho TARIFF O!
 
Back
Top Bottom