Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mpira niliouona kule Unguja na Kipanga, nilioushuhudia kule Tunis ule wa marudiano na niliouona na Yanga pale Lupaso na wa jana sio Club Africain ile nilioiona mechi zote hizo. Na ukizingatia ndio timu inayopendwa pale Tunis lazima kuna kitu wanakijua, na sio muda mrefu wataumbuana. Muda unaongeaKwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.
Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.
Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.
Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!
Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.
Hahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa mpira niliouona kule Unguja na Kipanga, nilioushuhudia kule Tunis ule wa marudiano na niliouona na Yanga pale Lupaso na wa jana sio Club Africain ile nilioiona mechi zote hizo. Na ukizingatia ndio timu inayopendwa pale Tunis lazima kuna kitu wanakijua, na sio muda mrefu wataumbuana. Muda unaongea
Jumatatu lete CV zako jangwani pale utanikuta ajira ushapata kijana,utakuwa kwenye upande wa kucheza na mitandao.Kwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.
Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.
Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.
Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!
Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.
Mkuu, wale wanaomponda kocha wengi wao ni mashabiki wa mikia fc ambao huamua kuvaa jezi za wananchi na kuamua kutukana utadhani ni wananchi kweli.Wale wapuuzi waliokuwa wanamtukana Rrof Nabi tunawafungia miaka 3 kushabikia Yanga.
Hatutaki mashabiki maandazi ambao wanataka kocha afukuzwe kwa kutoshinda mechi chache tu.Huo upuuzi uishie kwa Makolo huko
Nabi ni kocha mwenye uchungu na timu yake, yani kuna saa unamuona akitokwa machozi ya furaha timu ikifunga.
Unaumia ukiwa wapi?Mbambambaa mbambambaaaa
Kama ni siriaz twende inbox mkuuJumatatu lete CV zako jangwani pale utanikuta ajira ushapata kijana,utakuwa kwenye upande wa kucheza na mitandao.
Huku naangalia Azam sport HD1Unaumia ukiwa wapi?
Mkuu kunywa maji, toka nje upate hewa safi na kujichanganya na washkaji kwa story mbili tatu inasaidia kuondoa makasilikoKwa mpira niliouona kule Unguja na Kipanga, nilioushuhudia kule Tunis ule wa marudiano na niliouona na Yanga pale Lupaso na wa jana sio Club Africain ile nilioiona mechi zote hizo. Na ukizingatia ndio timu inayopendwa pale Tunis lazima kuna kitu wanakijua, na sio muda mrefu wataumbuana. Muda unaongea
Kumbe ulishtukia mchezoWalikua makolo wale wanachochea kuni tu ili moto uwake
Manara mwenyewe anakifahamu hilo na aliliita kombe la loosersMsisahau ilikuwa ni mechi ya kombe la shirikisho... siyo kombe la MABINGWA
Umeeleza vizuri sana na unaijua yanga vizuri, ila aya mbili za mwisho ukaharibu kwa kuingiza ushabikiKwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.
Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.
Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.
Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!
Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.
Kwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.
Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.
Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.
Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!
Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.
Ujengewe mnara kabisa hapo Samora.Kwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.
Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.
Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.
Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!
Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.