Kwa sasa Yanga ndiyo timu inayocheza mpira mzuri barani Afrika

Kwa sasa Yanga ndiyo timu inayocheza mpira mzuri barani Afrika

Kwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.

Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.

Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.

Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!

Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.
Kwa mpira niliouona kule Unguja na Kipanga, nilioushuhudia kule Tunis ule wa marudiano na niliouona na Yanga pale Lupaso na wa jana sio Club Africain ile nilioiona mechi zote hizo. Na ukizingatia ndio timu inayopendwa pale Tunis lazima kuna kitu wanakijua, na sio muda mrefu wataumbuana. Muda unaongea
 
Kwa mpira niliouona kule Unguja na Kipanga, nilioushuhudia kule Tunis ule wa marudiano na niliouona na Yanga pale Lupaso na wa jana sio Club Africain ile nilioiona mechi zote hizo. Na ukizingatia ndio timu inayopendwa pale Tunis lazima kuna kitu wanakijua, na sio muda mrefu wataumbuana. Muda unaongea
Hahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.

Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.

Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.

Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!

Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.
Jumatatu lete CV zako jangwani pale utanikuta ajira ushapata kijana,utakuwa kwenye upande wa kucheza na mitandao.
 
Wale wapuuzi waliokuwa wanamtukana Rrof Nabi tunawafungia miaka 3 kushabikia Yanga.
Hatutaki mashabiki maandazi ambao wanataka kocha afukuzwe kwa kutoshinda mechi chache tu.Huo upuuzi uishie kwa Makolo huko

Nabi ni kocha mwenye uchungu na timu yake, yani kuna saa unamuona akitokwa machozi ya furaha timu ikifunga.
Mkuu, wale wanaomponda kocha wengi wao ni mashabiki wa mikia fc ambao huamua kuvaa jezi za wananchi na kuamua kutukana utadhani ni wananchi kweli.

Binafsi kama kuna dhambi ambayo tutaifanya Yanga, basi ni kumfukuza Nabi.
 
CAF CONFEDERATION CUP.png
 
Kuna wakati nilidhan Yanga wako kwa Mkapa. Kwa namna walivowashika waarabu na walivokuwa huru kusakata kabumbu, na umiliki wa muda wote
 
Kwa mpira niliouona kule Unguja na Kipanga, nilioushuhudia kule Tunis ule wa marudiano na niliouona na Yanga pale Lupaso na wa jana sio Club Africain ile nilioiona mechi zote hizo. Na ukizingatia ndio timu inayopendwa pale Tunis lazima kuna kitu wanakijua, na sio muda mrefu wataumbuana. Muda unaongea
Mkuu kunywa maji, toka nje upate hewa safi na kujichanganya na washkaji kwa story mbili tatu inasaidia kuondoa makasiliko
 
Hili kombe la washindwa litawafanya utopolo wazidi kuwa machizi. Mnyama vitu kama hivi alishavizoea tena kwa timu kubwa siyo hao vibonde wa Tunisia.

Nadhani mngewafunga Wydad au Laja casablanca mngetembea na chupi zenu zenye vinyesi vichwani

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Kwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.

Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.

Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.

Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!

Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.
Umeeleza vizuri sana na unaijua yanga vizuri, ila aya mbili za mwisho ukaharibu kwa kuingiza ushabiki
 
Kwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.

Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.

Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.

Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!

Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.

Duuuh

Duuuh

We mzee
 
Kwenye suala la kumiliki mpira na kucheza kandanda safi kwa Tanzania na Afrika kwa ujumla, sioni timu ya kuwashinda wananchiwananchi. Tumaini pekee la wapinzani wanaokutana na Yanga ni kupaki basi na kucheza kaunta attack.

Mtihani wa benchi la ufundi kwa sasa ni kuja na mbinu za kuwafunua wapinzani, maana mara zote wanapaki, basi hii inapelekea kutengeneza nafasi chache sana za kufunga.

Watu wanawasema Al Hilal kwa mpira waliocheza, lakini siyo kwamba ule ndiyo mpira wao wa kila siku. Pale wanapokutana na timu wanazozimudu huwa wanamiliki mpira. Mfano mechi ya kirafiki dhidi ya Makolo na michezo yote miwili dhidi ya St. George, ila dhidi ya wananchi Ibenge hakuwa mjinga kupaki basi dakika zote 180, ni wazi alijua akiweka mpira chini hatoweza kushindana na Yanga.

Kitu pekee ambacho Pogba amemzidi Fei Toto ni uchawi tu. Kuna muda Dunia haina usawa, inasikitisha sana kuona Fred anakipiga Man UTD wakati aucho yupo Yanga. Mwangalie Aziz Ki anavyotembeza mpira, mtu unapata ile radha halisi ya soka. Nipe tofauti moja tu ya Sure Boy na Iniesta, nami nitakuonesha bucha la kitimoto kwenye kambi ya Al Qaeda!

Kuliko kupotezeana muda na nguvu hili kombe la CAF Confederation, ni bora wapewe tu wananchi.
Ujengewe mnara kabisa hapo Samora.
 
Back
Top Bottom