Rijali jandoni
JF-Expert Member
- Apr 5, 2018
- 1,936
- 1,972
- Thread starter
-
- #21
Kabisa, itahitaji watu waelewa na wenye nia ya kweli kwa watanzania woteThe short answer is "HUMAN CAPITAL". Full stop!
Go East or Go West, you'll find the answer is the same.
Sipingi haya yote unayo eleza humu; lakini una ifanya mada yako kuwa ngumu sana kwa kuisambaza namna unavyo fanya wewe. Yaani imeenea kila mahali; ni vigumu kwa anaye kusoma ku'focus' kwenye nini hasa kinatakiwa kipewe uzito zaidi na kwa wakati gani.Kwahiyo kwa kuhitimisha Tanzania inahitaji mapinduzi ya hizo sekta ukiweka na viwanda vya awali na vya kati kama taifa ni mida wa kuzima siasa za kichama na makundi pamoja na uchawa uweledi uje kwenye nafasi yake nauhakika miaka 25 itakuwa mingi sana kwenye swala la kubafilisha uchumi na jamii yetu kuwa bora zaidi.
Wow, well narrated, nimependa ulivyo shuka kuanzia kichwa nini la msingi na hitimisho.Sipingi haya yote unayo eleza humu; lakini una ifanya mada yako kuwa ngumu sana kwa kuisambaza namna unavyo fanya wewe. Yaani imeenea kila mahali; ni vigumu kwa anaye kusoma ku'focus' kwenye nini hasa kinatakiwa kipewe uzito zaidi na kwa wakati gani.
Kama nilivyo eleza, hhi ni moja ya mada nzito sana, ambayo kama tungekuwa makini, hii ndiyo mada ambayo ingekuwa juu zaidi katika majadiliano humu. Lakini angalia ilivyo hadi sasa.
Kuepuka na mimi nisiwe nazungumza mambo kijumla jumla; hapo juu nilisema tu kwa kifupi; kuhusu "UMUHIMU WA MTAJI WA WATU" (Human Capital).
Hakuna nchi inayo weza kuendelea kama mtaji wake huu muhimu upo shaghalabaghala kama ilivyo hapa kwetu. Na si hivyo tu, ili kuupanga vizuri mtaji huo ni lazima pawepo na sera mahsusi za kuuwezesha, yaani "UONGOZI" unao elewa unafanya nini (Uongozi Bora).
Huwezi kuwa na uongozi uso kuwa na dira yoyote ya maana juu ya nchi, halafu utegemee maendeleo ndani ya nchi hiyo
Na haya ya "Geographical Location" kama ulivyo yaweka, na mali asili zote zilizomo ndani ya nchi hii, kama ardhi, madini, utalii, n.k.; yote haya ni sehemu ya 'ARDHI', kama alivyo yaainisha Mwalimu Nyerere katika msemo wake ule mashuhuri:"Ili Tuendelee Tunahitaji Mambo makuu Matatu": Uongozi Bora; Watu, na Ardhi...
Haya yote ya Teknolojia, viwanda, n.k.; yote yanaingia katika moja wapo ya hizo nguzo tatu.
Sasa basi: hapa kwetu sasa hivi ingefaa sana viongozi wetu wakarudi kwenye misingi ya kuwawezesha vijana wetu hawa sasa hivi kupata elimu ya kisasa kabisa inayo weza kupatikana sehemu yoyote duniani, ili waweze kuwa na ujuzi wa haya ya Teknolojia tunayo ihitaji sasa hivi na mambo mengine muhimu. Elimu isipuuzwe hata kidogo.
Uongozi wetu tulio nao sasa sioni ni jinsi gani unaweza kuliinua taifa hili, hata ukiwapa miaka mia moja ijayo; Tanzania haitakuwa mbali sana na ilivyo Haiti.
Swala la Korea Kusini bado hujalipa jibu sahihi, ni hayo hayo ya kurashia tu kama ilivyo kawaida yetu.
Kabisa ni swala la muda ila inatakiwa tuwe ndani yake smart911
Ardhi tunawauzia Waarabu, aiseee Tanzania ina laaana niamini tafadhaliKwa namna hii nadhani tunaweza peleka taifa letu mbele zaidi ila inahitaji watu wenye upendo wa kweli kwa nchi yetu. Tukumbuke tunaweza tukala kila kitu na kuiporoka Tanzania na hata kuona watu wake hawastahili mazuri ama wana stahili lakini sio kwa kiwango kikubwa, ila usije ukasahau hii ardhi ndio itakayo kupokea siku ikikuhitaji utajisikiaje umefanya mambo ambayo hukuweza kuondoka nayo wakati yalikuwa kwenye uwezo wako tuipende Tanzania tuipende afrika naelewa ni ngumu kwa sera zote kufanyika kutokana na vikwazo vingi vitakavyoweza kuinuka lakini tujitahidi hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunaweza kimbilia ulaya kula na kukaa ila kama ulitokea kwenye uso wa Tanzania basi kumbuka kuna siku utataka ukurudishe ardhini kwake utakumbukwa kwa lipi juubya taifa lako?
Mada nzuri Sana hii, kwa kuongeza at least kwa upande Wangu, hasa hapo kwenye Human capital, nashauri shule zetu zibadilishwe kabisa (total reform) kutoka kwenye ufaulu Hadi kwenye skills development!Sipingi haya yote unayo eleza humu; lakini una ifanya mada yako kuwa ngumu sana kwa kuisambaza namna unavyo fanya wewe. Yaani imeenea kila mahali; ni vigumu kwa anaye kusoma ku'focus' kwenye nini hasa kinatakiwa kipewe uzito zaidi na kwa wakati gani.
Kama nilivyo eleza, hhi ni moja ya mada nzito sana, ambayo kama tungekuwa makini, hii ndiyo mada ambayo ingekuwa juu zaidi katika majadiliano humu. Lakini angalia ilivyo hadi sasa.
Kuepuka na mimi nisiwe nazungumza mambo kijumla jumla; hapo juu nilisema tu kwa kifupi; kuhusu "UMUHIMU WA MTAJI WA WATU" (Human Capital).
Hakuna nchi inayo weza kuendelea kama mtaji wake huu muhimu upo shaghalabaghala kama ilivyo hapa kwetu. Na si hivyo tu, ili kuupanga vizuri mtaji huo ni lazima pawepo na sera mahsusi za kuuwezesha, yaani "UONGOZI" unao elewa unafanya nini (Uongozi Bora).
Huwezi kuwa na uongozi uso kuwa na dira yoyote ya maana juu ya nchi, halafu utegemee maendeleo ndani ya nchi hiyo
Na haya ya "Geographical Location" kama ulivyo yaweka, na mali asili zote zilizomo ndani ya nchi hii, kama ardhi, madini, utalii, n.k.; yote haya ni sehemu ya 'ARDHI', kama alivyo yaainisha Mwalimu Nyerere katika msemo wake ule mashuhuri:"Ili Tuendelee Tunahitaji Mambo makuu Matatu": Uongozi Bora; Watu, na Ardhi...
Haya yote ya Teknolojia, viwanda, n.k.; yote yanaingia katika moja wapo ya hizo nguzo tatu.
Sasa basi: hapa kwetu sasa hivi ingefaa sana viongozi wetu wakarudi kwenye misingi ya kuwawezesha vijana wetu hawa sasa hivi kupata elimu ya kisasa kabisa inayo weza kupatikana sehemu yoyote duniani, ili waweze kuwa na ujuzi wa haya ya Teknolojia tunayo ihitaji sasa hivi na mambo mengine muhimu. Elimu isipuuzwe hata kidogo.
Uongozi wetu tulio nao sasa sioni ni jinsi gani unaweza kuliinua taifa hili, hata ukiwapa miaka mia moja ijayo; Tanzania haitakuwa mbali sana na ilivyo Haiti.
Swala la Korea Kusini bado hujalipa jibu sahihi, ni hayo hayo ya kurashia tu kama ilivyo kawaida yetu.
Kama iko hivi basi ni swala la kutulia nadhani, kinacho kosekana hapa waliopewa dhamana wana shindwa kaa chini na wenye maarifa ya hivyo vitu na kuangalia namna mambo yalivyo kwa kina na umbaliArdhi tunawauzia Waarabu, aiseee Tanzania ina laaana niamini tafadhali
Jiandae kuchukua form ya ubunge, uko vizurHabari za jioni wana jamii leo nimekaa na kuwaza kuhusu nchi yetu ya Tanzania kwa kina na kwa upana sikuwa na budi bali kuandika haya mambo kwa sisi watanzania wote
Tanzania ni nchi ambayo imekaa vizuri kijiografia yaani tumezungukwa na nchi nane tunaweza sema tisa tukiweka na visiwa vya Comoros. Strategically Tanzania ni nchi nzuri kiuwekezaji na kiuchumi kwa namna ya kuzungukwa na nchi karibia tisa.
Tukija swala la pili Tanzania ni lango kuelekea kusini mwa afrika nchi kama maalawi,zambia na hata congo, hapa tunaweza jumuisha Burudi na hata Rwanda kwa namna fulani.
Tukiongezea kwenye idadi ya watu kwa ukanda huu wa kusini mwa afrika ni kati ya nchi yenye idadi kubwa ya watu pamoja na wanyama.
Tanzania ukiachana na idadi ya watu, ina eneo la mraba mkubwa sana zaidi ya nchi zilizo pakana nazo ukiachana na Congo upande wa magharibi.
Kwa namna hiyo kama taifa inawezekanaje bado tukawa na hali ya wasiwasi wa kichumi na ya kufikirisha na ukiongeza kwa rasilimali ni nchi naweza sema pekee duniani imezungukwa na maji katika kila pande kaskazini mashariki ,magharibi pamoja na kusini.
Kwa namna ya kawaida tunaweza sema ni nchi ya asali na maziwa ambayo kila binadamu pamoja na kiongozi huenda ana imezea mate japo sisi bado tuna wasiwasi wa namna tutakavyo amka kesho yake, hii ni kwa majority japo natambua wapo wasio na wasi wasi juu ya kesho yao, kwenye swala la kiuchumi.
View attachment 3083681
Kama taifa, viongozi wake Ndugu Raisi, Makamu, Spika, Mawaziri, Wabunge, pamoja na viongozi wote kwanini tusiwe na sera za muda mrefu (miaka 10 - 20) au mfupi (miaka 2 mpaka 5) za kiuchumi kwa taifa kwenye mambo tofauti?. Juhudi za viongozi wote mlijitahidi kwenye kuitangaza nchi hasa kwenye utalii na mengine mengi lakini kuna mambo tunaweza yasahau madogo ama hata makubwa ambayo yanahitaji jicho makini na la tofauti ili kuendeleza taifa letu la Tanzania na kuweka ahuweni na imani kwa wana wa Tanzania hasa swala la uchumi :-
1. Itungwe sera ya kuwekeza kwenye miundo mbinu ya nchi kuanzia barabara, maji, umeme majengo ya shule na biashara.
Kama taifa na viongozi wake wanaweza kuweka sera ya miaka mitatu sababu tumesha jitangaza vya kutosha na kuwekeza hela kwenye utalii na mambo mengine. Je tunaweza jaribu haya:-
(i) Tujitahidi kuanza sera ya maji kwenye kila kijiji fedha zitakazo pangwa kwa ajili ya matangazo basi tuanze la maji na upatikanaji wake, kutokana na matumizi yake kuwa muhimu kwenye shughuli za kila siku. Hii tuipe hata sera ya miaka miwili itategemea na serikali itapanga bajeti kiasi gani kwa sababu kasi ya mradi nadhani huwa inategemea fungu lililowekwa pamoja na ufanisi wa watendaji wa huo mradi lakini muda utakuwa muhimu zaidi kwenye haya mambo.
(ii) Iwepo sera ya kusambaza umeme kila kijiji kila mtaa hii imeshafanyika huenda sehemu kubwa ya nchi inabidi tuupeleke kote ila hapa inatakiwa uwepo uangalifu na nyumba inayo fungiwa umeme ili kukwepa gharama za uharibifu pale ambapo majanga yatatokea hata madogo kama upepo na ukaharibu nyumba isio imara, kwasababu tunaelewa hali zetu watanzania vidole vyote havilingani na ndivyo hivyo kwenye swala la ujenzi pia kila nyumba itajengwa kwa ubora kutokana na kipato cha mtu. Hii sera ya umeme inaweza kuja baada ya maji kwa sababu uwekezaji wa bomba za maji huwa zina husisha uchimbaji wa mitaro mikubwa.
(iii) Kwenye sera ya tatu ni ujenzi wa barabara tujitahidi kila eneo ambalo linatumika kama chanzo kikubwa cha mapato basi barabara iweze kupita hapo ya kiwango bora cha lami, tujitahidi kupeleka hizi barabara mashambani, karibia na migodi, na hata mipakani mwa mbuga za wanyama bila kusahau vijijini kwa wakulima hii itasaidia usafirishaji wa hizi rasilimali zote pamoja na watu kufika kwenye maeneo hayo kwa usalama, uharaka na bila shida yoyote na hata mboga mboga pamoja nafaka zita safirishwa kwa muda mfupi kuliko sasa.
Kwa sababu kwenye uchumi wowote ili ukuwe tunatakiwa tujitahidi kupunguza muda wa usafirishaji wa rasilimali ama utengenezaji wa vitu kwa namna hiyo tutaifanya Tanzania kuwa nchi ambayo iko makini na haraka kwenye sekta na swala la uchukuzi.
(iv) Ya nne itashangaza lakini itasaidia tuwekeze kwenye ujenzi wa shule vyuo vikubwa hospitali za hadhi ya juu kwenye kutibu magonjwa na hata kuwekeza kwenye tafiti za kidunia sababu hakuna nchi ilio endelea kwa kushabikia mpira miziki na mengine kwa kiwango kinachozidi utafiti yaani researches, nchi zinazo endelea ni kutokana na sera nzuri za kwenye utafiti either science, uchumi na siasa tusome duniani nchi nyingine zina fanya nini na sisi tunaweza changia nini hii itaweza vutia wana zuoni wengi kuja Tanzania na kusoma mfano tunaona nchi ya afrika kusini ukiachana na miundombinu ila watu wengi wanatamani pia kwenda kusoma huko ukienda ulaya na Asia ndio usiseme, kila mwana wa Afrika anapatamani.
@ Kwenye sera ya ujenzi wa shule yaani vyuo vikubwa tujitahidi kila mkoa uwe na chuo chenye hadhi kama ya chuo kikuu dar es salaam ama zaidi hii itachangia pia uinuaji wa uchumi kwenye mikoa iliokuwa haionekani na pia itafanya wanafunzi wanaomaliza mikoa husika kusoma vyuo vikuu na vikubwa kwa kila mkoa ambao atakuwepo na wengine wanaweza pia kuomba nafasi ya kusoma kwenye hivyo vyuo lakini la muhimu hapa itaamsha shughuli za kiuchumi kwa kila mkoa wa Tanganyika na Zanzibar.
(b) Na kwenye hospitali kufanyike vivyo hivyo kwa sasa tunaweza anza na mikoa yenye idadi nyingi ya watu na ipo angalau vizuri kiuchumi kuendeleza hospitali zao mkoa ziwe kama muhimbili au kujenga hospitali kubwa za hadhi ya muhimbili au zaidi zenye vifaa na wataalamu wazuri ili kusaidia jamii za eneo husika kwenye nyanja tofauti. Hii itafanya nchi kuto endelea upande mmoja tuu tutajijuta kila mkoa wa Tanzania kuna fursa kutokana na upatikanaji wa vitu muhimu
(c) Kujijenga imara na kiteknolojia zaidi kwenye swala la ulinzi cha kwanza imani irudushwe kwa wananchi juu ya vyombo vyetu vya usalama, pili inawezekana kila mkoa kukawa na mfumo wa vinasa picha yaani kamera za matukio ambazo zita unganishwa na vituo vidofompaka vikubwa vya kila kata wilaya, mkoa na hata nchi kwa namna hii nawahakikishia kama suala la watu kwenda Serengeti, Zanzibar Udizungwa Kilimanjaro wata miminika mpaka tuweke sheria kali kama baadhi ya nchi kama China
Sababu tutakuwa tuko vizuri sehemu zote muhimu hili la ulinzi naimani wenye nafasi wanaweza liboresha zaidi na tuka aminika sababu hili ni kati ya changamoto kwa nchi zetu za afrika Tanzania tukitatua basi tutakuwa na ugeni usiokuwa na idadi kati ya 6Million hata 10Million kwa mwaka na itashangaza.
Kwa namna hii nadhani tunaweza peleka taifa letu mbele zaidi ila inahitaji watu wenye upendo wa kweli kwa nchi yetu. Tukumbuke tunaweza tukala kila kitu na kuiporoka Tanzania na hata kuona watu wake hawastahili mazuri ama wana stahili lakini sio kwa kiwango kikubwa, ila usije ukasahau hii ardhi ndio itakayo kupokea siku ikikuhitaji utajisikiaje umefanya mambo ambayo hukuweza kuondoka nayo wakati yalikuwa kwenye uwezo wako tuipende Tanzania tuipende afrika naelewa ni ngumu kwa sera zote kufanyika kutokana na vikwazo vingi vitakavyoweza kuinuka lakini tujitahidi hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunaweza kimbilia ulaya kula na kukaa ila kama ulitokea kwenye uso wa Tanzania basi kumbuka kuna siku utataka ukurudishe ardhini kwake utakumbukwa kwa lipi juubya taifa lako?
Mada nzuri Sana hii, kwa kuongeza at least kwa upande Wangu, hasa hapo kwenye Human capital, nashauri shule zetu zibadilishwe kabisa (total reform) kutoka kwenye ufaulu Hadi kwenye skills development!
Wakati nasoma primary, I think darasa la TATU au la nne, tayari nilikua na tuta la spinach, mchicha n.k. Kaka Zangu walikua na mabanda ya sungura, Kaka Yangu mmojawapo alikuja kutengeneza Banda zuri Sana la Kuku!
Tulikua na mafundi -technicians wazuri Sana WA kidato cha nne..... Leo hamna kitu
Ni kweli kabisa tatizo nimeandika kwa mtindo ambao una hitaji mtu anae penda kusoma na awe na back up ya nini kinacho endelea na matamanio ya wapi tunapohitaji kuwepo.Mada nzuri Sana hii, kwa kuongeza at least kwa upande Wangu, hasa hapo kwenye Human capital, nashauri shule zetu zibadilishwe kabisa (total reform) kutoka kwenye ufaulu Hadi kwenye skills development!
Wakati nasoma primary, I think darasa la TATU au la nne, tayari nilikua na tuta la spinach, mchicha n.k. Kaka Zangu walikua na mabanda ya sungura, Kaka Yangu mmojawapo alikuja kutengeneza Banda zuri Sana la Kuku!
Tulikua na mafundi -technicians wazuri Sana WA kidato cha nne..... Leo hamna kitu
Tuondoe madaraka kutoka kwa MTU, kiongozi asiwe na final say kwenye mustakabali wa maisha ya watu na Wajukuu zetu. Mfano wa Ngorongoro, yaliyotokea Ngorongoro "yamemalizwa" kwa salam kutoka kwa MTU mmoja "aliyetuma" wawakilishi wake.Lakini hapa inabidi iwepo dira ya muda mrefu kwa taifa ili yasijirudie
Sawa buana Rijali JandoniNi kweli kabisa tatizo nimeandika kwa mtindo ambao una hitaji mtu anae penda kusoma na awe na back up ya nini kinacho endelea na matamanio ya wapi tunapohitaji kuwepo.
Pamoja na uwezo wa kuhoji na kujenga hoja ambayo inaweza kuwa na suluhisho.
Naamini hamtaichoka kuisoma na kutoa ufafanuzi utakao saidia Tanzania yetu
Hahahaha wakati wa MUNGU ukifika Attack, kwa upande niliopo napenda uwepo mfumo mzuri ambao unaweza thamini maslahi mapana ya Taifa, kwa namna hiyo hautokuwa na namna zaidi ya kuifanya nchi ifike mbele japo isiwe publicity ila sera ziwe nzito na za chini kwa chini lakini impact waone waliopo ndani ya nchiJiandae kuchukua form ya ubunge, uko vizur
Nadhani tatizo sio sera maana sera nzuri zipo ila shida ni vipaombele.Kipi kianze na kipi kifuate na Kwa Ukubwa gani na maamuzi ya uthubutu.Habari za jioni wana jamii leo nimekaa na kuwaza kuhusu nchi yetu ya Tanzania kwa kina na kwa upana sikuwa na budi bali kuandika haya mambo kwa sisi watanzania wote
Tanzania ni nchi ambayo imekaa vizuri kijiografia yaani tumezungukwa na nchi nane tunaweza sema tisa tukiweka na visiwa vya Comoros. Strategically Tanzania ni nchi nzuri kiuwekezaji na kiuchumi kwa namna ya kuzungukwa na nchi karibia tisa.
Tukija swala la pili Tanzania ni lango kuelekea kusini mwa afrika nchi kama maalawi,zambia na hata congo, hapa tunaweza jumuisha Burudi na hata Rwanda kwa namna fulani.
Tukiongezea kwenye idadi ya watu kwa ukanda huu wa kusini mwa afrika ni kati ya nchi yenye idadi kubwa ya watu pamoja na wanyama.
Tanzania ukiachana na idadi ya watu, ina eneo la mraba mkubwa sana zaidi ya nchi zilizo pakana nazo ukiachana na Congo upande wa magharibi.
Kwa namna hiyo kama taifa inawezekanaje bado tukawa na hali ya wasiwasi wa kichumi na ya kufikirisha na ukiongeza kwa rasilimali ni nchi naweza sema pekee duniani imezungukwa na maji katika kila pande kaskazini mashariki ,magharibi pamoja na kusini.
Kwa namna ya kawaida tunaweza sema ni nchi ya asali na maziwa ambayo kila binadamu pamoja na kiongozi huenda ana imezea mate japo sisi bado tuna wasiwasi wa namna tutakavyo amka kesho yake, hii ni kwa majority japo natambua wapo wasio na wasi wasi juu ya kesho yao, kwenye swala la kiuchumi.
View attachment 3083681
Kama taifa, viongozi wake Ndugu Raisi, Makamu, Spika, Mawaziri, Wabunge, pamoja na viongozi wote kwanini tusiwe na sera za muda mrefu (miaka 10 - 20) au mfupi (miaka 2 mpaka 5) za kiuchumi kwa taifa kwenye mambo tofauti?. Juhudi za viongozi wote mlijitahidi kwenye kuitangaza nchi hasa kwenye utalii na mengine mengi lakini kuna mambo tunaweza yasahau madogo ama hata makubwa ambayo yanahitaji jicho makini na la tofauti ili kuendeleza taifa letu la Tanzania na kuweka ahuweni na imani kwa wana wa Tanzania hasa swala la uchumi :-
1. Itungwe sera ya kuwekeza kwenye miundo mbinu ya nchi kuanzia barabara, maji, umeme majengo ya shule na biashara.
Kama taifa na viongozi wake wanaweza kuweka sera ya miaka mitatu sababu tumesha jitangaza vya kutosha na kuwekeza hela kwenye utalii na mambo mengine. Je tunaweza jaribu haya:-
(i) Tujitahidi kuanza sera ya maji kwenye kila kijiji fedha zitakazo pangwa kwa ajili ya matangazo basi tuanze la maji na upatikanaji wake, kutokana na matumizi yake kuwa muhimu kwenye shughuli za kila siku. Hii tuipe hata sera ya miaka miwili itategemea na serikali itapanga bajeti kiasi gani kwa sababu kasi ya mradi nadhani huwa inategemea fungu lililowekwa pamoja na ufanisi wa watendaji wa huo mradi lakini muda utakuwa muhimu zaidi kwenye haya mambo.
(ii) Iwepo sera ya kusambaza umeme kila kijiji kila mtaa hii imeshafanyika huenda sehemu kubwa ya nchi inabidi tuupeleke kote ila hapa inatakiwa uwepo uangalifu na nyumba inayo fungiwa umeme ili kukwepa gharama za uharibifu pale ambapo majanga yatatokea hata madogo kama upepo na ukaharibu nyumba isio imara, kwasababu tunaelewa hali zetu watanzania vidole vyote havilingani na ndivyo hivyo kwenye swala la ujenzi pia kila nyumba itajengwa kwa ubora kutokana na kipato cha mtu. Hii sera ya umeme inaweza kuja baada ya maji kwa sababu uwekezaji wa bomba za maji huwa zina husisha uchimbaji wa mitaro mikubwa.
(iii) Kwenye sera ya tatu ni ujenzi wa barabara tujitahidi kila eneo ambalo linatumika kama chanzo kikubwa cha mapato basi barabara iweze kupita hapo ya kiwango bora cha lami, tujitahidi kupeleka hizi barabara mashambani, karibia na migodi, na hata mipakani mwa mbuga za wanyama bila kusahau vijijini kwa wakulima hii itasaidia usafirishaji wa hizi rasilimali zote pamoja na watu kufika kwenye maeneo hayo kwa usalama, uharaka na bila shida yoyote na hata mboga mboga pamoja nafaka zita safirishwa kwa muda mfupi kuliko sasa.
Kwa sababu kwenye uchumi wowote ili ukuwe tunatakiwa tujitahidi kupunguza muda wa usafirishaji wa rasilimali ama utengenezaji wa vitu kwa namna hiyo tutaifanya Tanzania kuwa nchi ambayo iko makini na haraka kwenye sekta na swala la uchukuzi.
(iv) Ya nne itashangaza lakini itasaidia tuwekeze kwenye ujenzi wa shule vyuo vikubwa hospitali za hadhi ya juu kwenye kutibu magonjwa na hata kuwekeza kwenye tafiti za kidunia sababu hakuna nchi ilio endelea kwa kushabikia mpira miziki na mengine kwa kiwango kinachozidi utafiti yaani researches, nchi zinazo endelea ni kutokana na sera nzuri za kwenye utafiti either science, uchumi na siasa tusome duniani nchi nyingine zina fanya nini na sisi tunaweza changia nini hii itaweza vutia wana zuoni wengi kuja Tanzania na kusoma mfano tunaona nchi ya afrika kusini ukiachana na miundombinu ila watu wengi wanatamani pia kwenda kusoma huko ukienda ulaya na Asia ndio usiseme, kila mwana wa Afrika anapatamani.
@ Kwenye sera ya ujenzi wa shule yaani vyuo vikubwa tujitahidi kila mkoa uwe na chuo chenye hadhi kama ya chuo kikuu dar es salaam ama zaidi hii itachangia pia uinuaji wa uchumi kwenye mikoa iliokuwa haionekani na pia itafanya wanafunzi wanaomaliza mikoa husika kusoma vyuo vikuu na vikubwa kwa kila mkoa ambao atakuwepo na wengine wanaweza pia kuomba nafasi ya kusoma kwenye hivyo vyuo lakini la muhimu hapa itaamsha shughuli za kiuchumi kwa kila mkoa wa Tanganyika na Zanzibar.
(b) Na kwenye hospitali kufanyike vivyo hivyo kwa sasa tunaweza anza na mikoa yenye idadi nyingi ya watu na ipo angalau vizuri kiuchumi kuendeleza hospitali zao mkoa ziwe kama muhimbili au kujenga hospitali kubwa za hadhi ya muhimbili au zaidi zenye vifaa na wataalamu wazuri ili kusaidia jamii za eneo husika kwenye nyanja tofauti. Hii itafanya nchi kuto endelea upande mmoja tuu tutajijuta kila mkoa wa Tanzania kuna fursa kutokana na upatikanaji wa vitu muhimu
(c) Kujijenga imara na kiteknolojia zaidi kwenye swala la ulinzi cha kwanza imani irudushwe kwa wananchi juu ya vyombo vyetu vya usalama, pili inawezekana kila mkoa kukawa na mfumo wa vinasa picha yaani kamera za matukio ambazo zita unganishwa na vituo vidofompaka vikubwa vya kila kata wilaya, mkoa na hata nchi kwa namna hii nawahakikishia kama suala la watu kwenda Serengeti, Zanzibar Udizungwa Kilimanjaro wata miminika mpaka tuweke sheria kali kama baadhi ya nchi kama China
Sababu tutakuwa tuko vizuri sehemu zote muhimu hili la ulinzi naimani wenye nafasi wanaweza liboresha zaidi na tuka aminika sababu hili ni kati ya changamoto kwa nchi zetu za afrika Tanzania tukitatua basi tutakuwa na ugeni usiokuwa na idadi kati ya 6Million hata 10Million kwa mwaka na itashangaza.
Kwa namna hii nadhani tunaweza peleka taifa letu mbele zaidi ila inahitaji watu wenye upendo wa kweli kwa nchi yetu. Tukumbuke tunaweza tukala kila kitu na kuiporoka Tanzania na hata kuona watu wake hawastahili mazuri ama wana stahili lakini sio kwa kiwango kikubwa, ila usije ukasahau hii ardhi ndio itakayo kupokea siku ikikuhitaji utajisikiaje umefanya mambo ambayo hukuweza kuondoka nayo wakati yalikuwa kwenye uwezo wako tuipende Tanzania tuipende afrika naelewa ni ngumu kwa sera zote kufanyika kutokana na vikwazo vingi vitakavyoweza kuinuka lakini tujitahidi hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tunaweza kimbilia ulaya kula na kukaa ila kama ulitokea kwenye uso wa Tanzania basi kumbuka kuna siku utataka ukurudishe ardhini kwake utakumbukwa kwa lipi juubya taifa lako?
Basi hili pia ni changamoto kama lina fanyika kwa namna, nadhanj kuna sehemu inatakiwa ikaliwe chini ili nadala ya mtu mmoja kubebeshwa kila kitu inatakiwa chain nzima ijue nini cha kufanga kabla taarifa haijafika juu kwenye kichwaTuondoe madaraka kutoka kwa MTU, kiongozi asiwe na final say kwenye mustakabali wa maisha ya watu na Wajukuu zetu. Mfano wa Ngorongoro, yaliyotokea Ngorongoro "yamemalizwa" kwa salam kutoka kwa MTU mmoja "aliyetuma" wawakilishi wake.
Tanzania ni mbingu inayoishi Jehanam
Naimani wanaliona, kwa sasa nchi inahitaji dira inayo eleweka na malengo makubwa, kuna baadhi ya nchi wanakaa vikao vya kila baada ya muda kuweka malengo makubwa na madogo ya nchi, nadhani na kwetu inabidi liwepo hili.Mchango Wangu mwingine ni Ujenzi madhubuti WA miundombinu, tukiweza kuimarisha miundombinu hasa kwenye mazingira ambayo ni potential Zaidi tutakua tumepunguza gharama.
Kwa mfano, barabara ya Uvinza (Kigoma) kupitia Mpanda( Katavi) Hadi Sumbawanga (Rukwa) kama ingepewa kipaumbele basi Tanzania kwa ukanda ule ingeweza kulisha vizuri sana Nchi za Rwanda, Burundi, Zambia na Congo bila Shaka LAKINI huwezi kuamini ninavyoandika hapa Ujenzi umesimama kwakua mkandarasi hajalipwa, ule WA kibaoni nao pia unasuasua Hadi sasa hakuna kitu. Unajiuliza hivi kipaumbele cha Nchi Yao yetu ni nini hasa??
Tz tutajua kula na sikutafuta,alieonyesha njia ni jiwe pekee ndio maana uchumi ulikua kwa haraka sana , baada ya mola kumchukua nchi imerudi kule alikosema huku hatufiki,walimuita mvunja haki za binadamu kwakua upigaji ulibanwa but sasa slogani yetu ni Mkalitazame na hili
Kabisa hili la kukosa la kukosa mpangilio wa kipi kianze kipi kifuate tuhitimishe lipi na tuanze na lipi awamu ya pili ndioa tatizo.Nadhani tatizo sio sera maana sera nzuri zipo ila shida ni vipaombele.Kipi kianze na kipi kifuate na Kwa Ukubwa gani na maamuzi ya uthubutu.
Pili shida kubwa nyingine ni kukosa strategic thinking kiasi kwamba tunaenda enda tuu bila malengo yanayopimika Wala kujipima.