MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Nimuoe nani na hizi pombe kaka ? Mimi nishabaki wa one night standVipi kwako, hakuna msaada wowote?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimuoe nani na hizi pombe kaka ? Mimi nishabaki wa one night standVipi kwako, hakuna msaada wowote?
Jepesi kabisa labda kama ulioa ili upate mbususu ya bureHapa unaweza kudhani swali jepesi ila najua waliooa hapa wanajitafakari.
Kwanini Mkuu?R.I.P Mkuu
kwani hujui ndoa ni nini?Mtoa madam hujawah specific ulitakiwa utueleze kwanza ndoa ni nin alafu ndiouendelee
Hana msaada wowote fukuza hiyo nyau irudi kwao.....Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?
STRESS,PRESSURE,MAGONJWA YA MOYOWengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?
😂😂😂Uko wapi kwaniHana msaada wowote fukuza hiyo nyau irudi kwao.....
Acha uongoS
STRESS,PRESSURE,MAGONJWA YA MOYO
Kuniudhi na kunifanya mtumwa wake.Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?
Tendo la ndoa lina asilimia chache sana mkuu, kwa sababu zifuatazo:Kwaio kwenye ndoa tendo la ndoa huwa linachukua asilimia ngapii...wanandoa naomba mnijibu Ile nsije nkawa Na higher expectations
KhaaaTendo la ndoa lina asilimia chache sana mkuu, kwa sababu zifuatazo:
1. Ndoa imegawanyika katika vipindi tofauti tofauti, kuna vipindi vya huzuni, huwezi ukafanya tendo la ndoa ukiwa na huzuni, kuna ugonjwa, mume au mke anaumwa hamna tendo litafanyika.
2. Ukiwa kwenye ndoa akili inajiset kwenye majukumu ya hiyo ndoa, mwanaume atapambana huku, na mwanamke huku, muda wa tendo la ndoa ni mchache hapo.
3. miaka ya mwanzo hasa mwanamke akipata mtoto wa kwanza baadhi yao Automatically ile hamu ya sex huwa inapungua kwa sababu pengine mapenzi yanahamia kwa mtoto, kwa hiyo utaona zile asilimia za tendo la ndoa zinapungua.
NB: Na haya ni mazingira ya kawaida, sio kwamba mwanamke anakuwa anamnyima mwanaume tendo hapana, hapa mambo yanajiset yenyewe unakuta mwanaume haulizii tendo na mwanamke haulizii mnalala tu kama dada na kaka na mambo yanaenda tu
Mimi sipo hukoKwaio kwenye ndoa tendo la ndoa huwa linachukua asilimia ngapii...wanandoa naomba mnijibu Ile nsije nkawa Na higher expectations
Hivi ndo inavyotakiwa Kwa ndoa yenye afya Na wanandoa wenye furaha wanaopendanaMimi sipo huko
Ila naona kwangu tendo la ndoa litakuwa ni 90%
Labda kama utachepuka mkuuMimi sipo huko
Ila naona kwangu tendo la ndoa litakuwa ni 90%
Kwann kiongoziLabda kama utachepuka mkuu
Haiko hivyo practically, wew Kama mwanamke huna uwezo huoHivi ndo inavyotakiwa Kwa ndoa yenye afya Na wanandoa wenye furaha wanaopendana
Wengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?
Kula pesa zangu na kujifanya analea mtotoWengi tulikuwa tunatamani kuoa, tukiamini baada ya kuoa maisha yatakuwa full starehe na hakutakuwa na migogoro.
Wapo waliofanikiwa kwa kupata watu sahihi, mpaka wakikaribia kuzeeka sura zao zinakuwa zinafanana.
Pia wapo waliokosa watu sahihi, na kujikuta wameingia kwenye ndoa yenye changamoto; ambao ukikutana nao njiani, sura zao zimekuwa nzito na zimejaa majukumu mazito na ghadhabu za kuingia kwenye ndoa.
Na wengi tunaoteseka kwenye hizi ndoa ni wanaume, sema huwa tunavumilia ndio maana ata takwimu zinaonyesha wanaume wanakufa haraka kuliko wanawake.
Sasa tujiulize swali; Kwa sisi wanaume tulio oa, ukiacha tendo la ndoa, mke wako anakusaidia kwa lipi?
mwezi unasiku 30, huyo mwanamke ana siku 4 za period, lakini huyo mwanamke anapokaribia hiyo period atapitia maumivu ya tumbo kiuno na mgongo, kwa namna atakavyokuwa anaumwa utaona aibu kumuomba hizo siku zitoe wengi wao hudumu hapo kwa siku 3, ukizitoa kwa mwezi utashangaa zimebaki siku 23 tu, ambao mwanamke atakupa tendo. Hizo ni given utake usitake.Kwann kiongozi