Kwa Taarifa hii ya Upigaji kutoka Kwa CAG, naacha rasmi kuitetea Serikali

Kikubwa tutafute hela kwa jasho tu, hii ripoti ya CAG ambapo haifanyiwi kazi inaleta hasira sana watu mnakatwa tozo za miamala na luku halafu kuna majitu yanajimegea tu
 
Umeanza kuwa na Akili sasa
 
Ukipenda boga penda pia na ua lake. We endelea kutetea tu, maana lengo lako si ni kuikomoa Chadema na ACT? ENDELEA TU MKUU.
 
Nilitaka kushangaa,unapataje nguvu na muda wa kutetea serikali ya wahuni,hata hao vijana wa lumumba lazima wapewe buku 7 ili wajitoe akili,kama sio mwizi fisadi na muhuni kupiti serikali hii unapoteza muda wako bure.
 

Ukweli mtupu,hakuna mtu anayejielewe akatetea hii serikali.
 

Katiba mpya,ndio itaweka mifumo sahihi.
 
Hivi ulikuwa unaitetea kwenye nini?
 
Katiba Mpya Itapunguza ila haitamaliza

Amebaki lukas.
Nasubiria kuona kama hatua zitachukukiwa au itapita kama kimya kimya kama miaka yote.
 
Ukweli mtupu,hakuna mtu anayejielewe akatetea hii serikali.
Hakuna serikali ya ccm ilistahili kutetewa hata ya Baba yenu wa Taifa ,wote ni failures ila yeye tutamsitahi Kwa kuwa hakuwa mdogo wa Mali Bali mroho wa madaraka.
 
Huna ambacho unatetea humu wewe kila siku nikuwatukana Watanzania.
Umebadilisha majina kede kede humu na naona unarudi kule kule nenda mkazaliane na binamu wenzenu huko she*** taip
Hakuna serikali ya ccm ilistahili kutetewa hata ya Baba yenu wa Taifa ,wote ni failures ila yeye tutamsitahi Kwa kuwa hakuwa mdogo wa Mali Bali mroho wa madaraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…