MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Wote ni Mabingwa na Hodari wa kutopenda Kula Ndizi na Sambusa hiyohiyo kila Siku tu na hupendelea zaidi kubadilisha Menu (Menyu) za Kibaiolojia (Kisayansi).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utasubiri Sana,Wote ni Mabingwa na Hodari wa kutopenda Kula Ndizi na Sambusa hiyo hiyo kila Siku tu na hupendelea zaidi kubadilisha Menu ( Menyu ) za Kibaiolojia ( Kisayansi )
Yaani mpaka Wewe umealikwa? Harusi ishakuwa na Nuksi hiyo tayari. Pole zao....!!!!Mzee baba tulioalikwa acha tule ubwabwa, baada ya hapa wao watajijua wenyewe...
Sina uhakika kama hilo Tumbo la 'Naandaa Ndiyo' ni la 'Bili ya Nanasi' Ndugu.Kwa akili ya kawaida na kufuatilia mila na desturi za kabila atokalo Nandi, Hiyo ndoa imefungwa kwa *** ili kuhakikisha mtoto anazaliwa ndani ya ndoa, maana makabila mengine yanashika mila na desturi kama pete na kidole.... Mengine kapuni. Mfano kama mtoto angezaliwa nje ya ndoa ingekuwa kasheshe kutambulika kwenye ukoo seeeee. Wale wachaga wanajua kinaga ubaga hiyo
Ndio maana Nandy amenunua hiyo 😄Kwa akili ya kawaida na kufuatilia mila na desturi za kabila atokalo Nandi, Hiyo ndoa imefungwa kwa *** ili kuhakikisha mtoto anazaliwa ndani ya ndoa, maana makabila mengine yanashika mila na desturi kama pete na kidole.... Mengine kapuni. Mfano kama mtoto angezaliwa nje ya ndoa ingekuwa kasheshe kutambulika kwenye ukoo seeeee. Wale wachaga wanajua kinaga ubaga hiyo
Ndo maan nandy amenunua hyo 😄Kwa akili ya kawaida na kufuatilia mila na desturi za kabila atokalo Nandi, Hiyo ndoa imefungwa kwa *** ili kuhakikisha mtoto anazaliwa ndani ya ndoa, maana makabila mengine yanashika mila na desturi kama pete na kidole.... Mengine kapuni. Mfano kama mtoto angezaliwa nje ya ndoa ingekuwa kasheshe kutambulika kwenye ukoo seeeee. Wale wachaga wanajua kinaga ubaga hiyo