Kwa tabia binafsi ninazozijua za Waliooana kwa Mbwembwe Leo, Ndoa yao ikidumu Miezi 6 tu najipeleka kwa Al-Shabaab au Boko-Haram wakanimalize

Kwa tabia binafsi ninazozijua za Waliooana kwa Mbwembwe Leo, Ndoa yao ikidumu Miezi 6 tu najipeleka kwa Al-Shabaab au Boko-Haram wakanimalize

Afrika kuna wachawi wengi sana ndiyo maana hata kutoboa kimaisha tunapambana sana.

Huyu mtu hajatoa hata mia lakini anawaombea wenzanke vibaya. Watu wamejaa chuki, kisirani na roho mbaya.

Hujawakosea lakini wanakuombea mabaya.

Ndiyo maana wengi wakifanikiwa wanajenga mjengo mkubwa, wanapiga fensi maana hawachelewi kukuwekea sumu.
 
Kwa akili ya kawaida na kufuatilia mila na desturi za kabila atokalo Nandi, Hiyo ndoa imefungwa kwa *** ili kuhakikisha mtoto anazaliwa ndani ya ndoa, maana makabila mengine yanashika mila na desturi kama pete na kidole.... Mengine kapuni. Mfano kama mtoto angezaliwa nje ya ndoa ingekuwa kasheshe kutambulika kwenye ukoo seeeee. Wale wachaga wanajua kinaga ubaga hiyo
 
Kwa akili ya kawaida na kufuatilia mila na desturi za kabila atokalo Nandi, Hiyo ndoa imefungwa kwa *** ili kuhakikisha mtoto anazaliwa ndani ya ndoa, maana makabila mengine yanashika mila na desturi kama pete na kidole.... Mengine kapuni. Mfano kama mtoto angezaliwa nje ya ndoa ingekuwa kasheshe kutambulika kwenye ukoo seeeee. Wale wachaga wanajua kinaga ubaga hiyo
Sina uhakika kama hilo Tumbo la 'Naandaa Ndiyo' ni la 'Bili ya Nanasi' Ndugu.
 
Kwa akili ya kawaida na kufuatilia mila na desturi za kabila atokalo Nandi, Hiyo ndoa imefungwa kwa *** ili kuhakikisha mtoto anazaliwa ndani ya ndoa, maana makabila mengine yanashika mila na desturi kama pete na kidole.... Mengine kapuni. Mfano kama mtoto angezaliwa nje ya ndoa ingekuwa kasheshe kutambulika kwenye ukoo seeeee. Wale wachaga wanajua kinaga ubaga hiyo
Ndio maana Nandy amenunua hiyo 😄
 
Kwa akili ya kawaida na kufuatilia mila na desturi za kabila atokalo Nandi, Hiyo ndoa imefungwa kwa *** ili kuhakikisha mtoto anazaliwa ndani ya ndoa, maana makabila mengine yanashika mila na desturi kama pete na kidole.... Mengine kapuni. Mfano kama mtoto angezaliwa nje ya ndoa ingekuwa kasheshe kutambulika kwenye ukoo seeeee. Wale wachaga wanajua kinaga ubaga hiyo
Ndo maan nandy amenunua hyo 😄
 
Back
Top Bottom