Hilo linapendwa maana ni ‘practical and natural’ na ndiyo maana leo hii miaka 1400 tangu ruhusa hiyo itolewe HAKUNA MAHALI WATU WAMEKOSA WAKE ATI KISA WAISLAM WAMEOA WAKE WENGI.
Sijui kama unaelewa madai haya mkuu.
Quran 4
3. Give orphans their wealth ˹when they reach maturity˺, and do not exchange your worthless possessions for their valuables, nor cheat them by mixing their wealth with your own. For this would indeed be a great sin.
4. If you fear you might fail to give orphan women their ˹due˺ rights ˹if you were to marry them˺, then marry other women of your choice—two, three, or four.
But if you are afraid you will fail to maintain justice, then ˹content yourselves with˺ one or those ˹bondwomen˺ in your possession. This way you are less likely to commit injustice.
Quran ndiyo kitabu pekee cha dini kilichoweka bayana idadi ya kuoa, na ndiyo kitabu pekee kilichoeleza kuwa mtu aoe mmoja tu.
Biblia takatifu hakuna mahali imeeleza idadi ya kuoa, hiyo inaweza tafsirika kuwa watu waoe kwa idadi yoyote waitakayo. Kitu ambacho ni ‘impractical’
Unajua kwanini mkuu?
Nchi pekee zenye wanaume wengi kuliko wanawake ni Uchina na India.
Kwa Uchina hayo ni matokeo ya ‘One child Policy’ iliyoanzishwa miaka ya 1980 iliyolenga kudhibiti ongezeko la idadi ya watu.
Familia nyingi za kichina kufuatia sera hiyo walihakikisha wanaitumia nafasi hiyo yq kuzaa mtoto mmoja pekee wanaitumia kujipatia mtoto wa kiume, na hii ni kwa sababu kuwa jamii za kichina humthamini mwanaume kuliko mwanamke kama ilivyo kwa jamii nyingi za kiafrika. Kwahiyo ujauzito ulipotungwa wazazi walienda hospitali kujua jinsia na kama ujauzito huo ukigundulika kuwa ni mtoto wa kike basi wanaitoa na kama mtoto wa kiume basi huiacha.
Na ndiyo maana leo hii kuna zaidi ya wanaume milioni 30 kuliko wanawake.
Kwa India wao hali haikuwa hivyo kabisa, tangu miaka ya 1970 jamii familia nyingi zilikuwa zikienda hospitali kujua jinsia ya watoto wao, kama ni wa kike basi mimba iliharibiwa na kama ni wa kiume mimba iliachwa.
Mwaka 2011 shirika la Uingereza la ‘The Lancet’ lilibaini kuwa kwa miaka 30 iliyopita zaidi ya
mimba milioni 12 za watoto wa kike zilitolewa.
Na serikali ya India ili kulikabili tatizo hili miaka ya 1990 ilipiga marufuku utoaji wa mimba kwa sababu ya jinsia lakini suala hilo linaendelea mpaka leo.
Leo hii ukiacha vitendo hivyo viovu vinavyofanywa Uchina na India kiasili idadi ya wanawake itaongezeka kuwa kubwa kuliko wanaume na sababu hiyo ndiyo asili na kanuni ya kimaumbile.
Mkuu idadi ya wanaume waliozidi wanawake huko india ni zaidi ya milioni 33, na Uchina ni zaidi ya milioni 30.
Ukipiga hesabu hapo utajua hiyo idadi uliyoisema hapo.
Nakushauri, fanya tafiti kidogo kabla hujaleta mada mkuu.
Unajua ‘trend’ ya population mkuu?
Tafadhali hebu soma tena.
Nasikia aibu kuona unaandika madai kama haya, yanaonesha wazi kuwa hauko ‘informed’ na hii ni mbaya kwa taswira ya Ukristo maana watu wataona Wakristo wote hawana taarifa za kutosha.
Jitahidi kufanya tafiti kidogo upate taarifa za kutosha mkuu.
Ripoti ya Umoja wa Mataifa juu ya matumizi ya dawa za kulevya
Research report
Rejea idadi ya watu wa Uchina na India nimekujibu hapo juu.
Haiwezekani vipi mkuu? Mbona wapo waislam wengi na wengine Wakristo waliooa wake zaidi ya mmoja?
Na ni wapi umesikia kuna upungufu wa wanawake ati kisa kuna Waislam na wakristo wameoa wake wengi?
Madai yako hayana uhalisia, unadhania tu.
Mkuu umefanya tafiti? Mbona mifano iko mingi.
Mambo kama haya hayahitaji hisia zako binafsi mkuu wapo wanawake wanapenda ndoa hizi.
Siyo kweli,
Siyo kweli, mkuu umesomea nini katika elimu yako?
Sasa hapo ni wapi imesemwa mtu aoe mke mmoja tu? Au ni wapi imekatazwa watu kuoa wake wengi?
Hebu msome Father Hastang uelewe uzushi huu wa ndoa moja kwenye ukristo umetokea wapi.
Mkuu hivi unaelewa?
Kwenye Biblia nzima hakuna mstari uliosema wanaume waoe mke mmoja tu. Na hakuna mstari unaosema kuoa wake wengi nk dhambi.
Hapo unakosea, huwezi itumia biblia kuwa chanzo cha kila kitu, umeonesha ujinga ulio nao.
Na Father Hasting alifanya tafiti objective sio ‘experience’
Soma upate maarifa uache uvivu.
Halafu kama husomi unapata wapi nguvu ya kuleta mada hapa?
Acha
ujinga mkuu, unaudhalilisha ukristo.
Ni kweli, lakini ni wapi Biblia imesema kuoa wake wengi dhambi?
Hebu nijibu kwanza, nipo na biblia za Tafsiri zote hapa, nasubiri.
Halafu wewe unamzidi Baba yetu Ibrahimu kwa imani? Unamzini Solomon kwa Imani? Wewe ni nani ktk ukristo uharamishe ndoa za wake wengi mkuu?
Hii ni ‘impractical’ na hujui kuhusu ‘complexity’ za ndoa wala ‘human psychology’
Hiyo siyo ‘popular opinion’ hizo ni ‘scientific facts’ sio maoni binafsi, ni majibu ya tafiti mkuu.
Nakuuliza tena ni wapi kwenye biblia imekatazwa kuoa wake wengi?
Tupe mstari
Na ndiyo maana nakushauri ufanye tafiti ujue chanzo cha ndoa moja kwenye ukristo kimetokea wapi na huwezi fanya tafiti kama husomi, maana Yesu hawezi kukupa majibu ya maswali haya ndotoni mkuu.
Soma upate kuujua ukweli.
Msome David Gitari kwenye ‘Church and Polygamy’ kina kurasa 13 tu
Kipate hapa
Kama lugha itakuwa tabu niambie nijitahidi kukifasiri mkuu.