Kwa takwimu hizi za sensa hapa Tanzania na duniani, agizo la Quran kuoa mpaka wanawake wanne halitekelezeki

Kwa takwimu hizi za sensa hapa Tanzania na duniani, agizo la Quran kuoa mpaka wanawake wanne halitekelezeki

Umejibu vizur

Huo upungufu umeathir wanaume kukosa wake wa kuoa?

Au hata hapa tanzania Tu,je umeshawahi sikia mkoa Fulani wanaupungufu WA wanawake WA kuoa hivyo ikawabidi kwenda mkoa X kupata wanawake?
 
Mkuu mpaka unasema haya upo kundi gani kati ya haya?
1. Unaijua Quran tu
2. Unaijua Biblia tu (halafu unatoa ‘commentary’ kuhusu Quran)
3. Unazijua Quran na Biblia


Kama upo kwenye kundi namba tatu, basi unaweza kuendelea kuleta mada za dini hizi mbili, vinginevyo jipe muda jifunze kuhusu dini zote mbili kwa utulivu, zielewe ili hata ukileta mada hapa iwe mada yenye mantiki si ya kishabiki isiyo na uthibitisho inayoonesha wazi mleta mada hajui anachokizungumza mkuu.

Kama Biblia takatifu inavyoeleza kwenye methali 15:14

The mind of the intelligent seeks knowledge, But the mouth of fools feeds on foolishness.”
Kama kawaida hamjibu kabisa hoja ila mnabadilisha mjadala.
 
It was a serious question lakini, was no game or kutafuta ubishi tuu, anyway hope wengine watanijibu
Mimi kawaida yangu sipendi kusema ,kutoa ufafanuzi wala kuzungumzia jambo ambalo sina ujuzi nao wala details za uhakika .
017036(1).jpg


Wewe bado haijafikia ujinga kiasi ambacho haustahili kujibiwa #WanaojuaWatakujibu.

Na ni kuelimika kwa mtu kunyamaza katika mambo ambayo hayajui.
 
Waislamu wenzangu wametoa sababu nzuri Sana juu ya kwanini Allah alikuwa sahihi kuruhusu au kutoa RUHUSA ya wanaume kuoa wake wanne.
Ametoa ruhusa bila kuwa na uwezo wa kuumba wanawake wengi kuliko wanaume.
Ningependa kuongezea mambo mawili matatu

Kuna hoja inasema kama Allah ameridhia hivyo kwanini hajawafanya wanawake kuridhia swala Hilo?

Kwanza wivu ni Swala la asili ambalo tumeumbwa nalo,kwahiyo Kwa mwanamke kutopenda mume kuoa mke mwingine ni Swala la wivu Tu na si vingine
Wivu uliumbwa na Allah? Kwahiyo alishindwa kuuondoa kwa wanawake?😂
Lakini linatokana na Sisi wanaume wenyewe,tumetengeneza mazingira kwamba tunao mke mwingine kama kumtia adabu mke mkubwa ima Kwa kutokuwa na nidhamu au kutokuwa msikivu,sasa yote yanawafanya automatically kuchukia uke wenza

Na lingine ni kuhamisha mapenzi yote Kwa mke mpya na ni kitu ambacho hakifai katika Dini na tumesisitizwa Sana tufanye uadilifu Kwa wake zetu,ni ukweli usio pingika kuwa huwezi kuwapenda wote Kwa asilimia Mia lkn usimfanye huyo mwingine aonekane hapendwi

Kwahiyo hayo na mengine ndio huwafanya wanawake kuchukia uke wenza.

Lakini wengi wao wanajua Dini inaruhusu hivyo na hawana Shaka nalo.
Hakuna mtu anaweza kumpenda kindoa mwanamke zaidi ya mmoja. Na huu ni uthibitisho wa wazi kwamba Allah hajawahi kuumba chochote ndio maana hata hafahamu nature ya mwanadamu.
Kuna mpuuzi mmoja wala sikutaka kumkoti alisema wanaume wameruhusiwa kuoa wake wengi eti kwasababu Tu wanaume walikufa vitani! Huyo ni mpuuzi kwasababu hajui anachokisema.
Hapo mtajuana wenyewe na mikanganyiko yenu.
Kuna sababu zifuatazo ambazo Allah ametupa RUHUSA ya kuoa wake wanne kama tulitaka;

1) kuna wanaume ambao wamejaaliwa matamanio hasa au Wana nguvu hasa za kusex,watu kama hawa mke mmoja hawezi kumhudumia,yaani yeye anahitaji Sana sex kiasi kwamba inakuwa Keri Kwa mke,so mtu kama huyu ili kuepuka zinaa ni Bora akaongeza mke ili asimkosee Allah. Wengi wenu ni mashahidi humu mara nyingi Watu wanaandiza Uzi kuwa unakuta mke Hampi mumewe unyumba Bila sababu maalum,na ndio maana Michepuko inakuwa mingi Sana
Kwahiyo Allah hakuweza kudhibiti matamanio akaamua kuruhusu wanawake wengi waolewe huku akiwa hana uwezo wa kuwaumba kwa wingi?
2) Kuna vipindi ambavyo wanawake wanapitia ambavyo huchangia kushindwa kumhudumia mumewe ktk swala zima sex,mfano kipindi cha siku zake,au kipindi cha mimba,kuna wengine wakipata mimba Tu wanapata bed rest,na wengine hawajisikii jabisa kusex, hapo mwanaume atahitaji kuwa na mke mwingine ili mambo yaende Sawa.
Mimi ni mwanaume na ninakataa hili. Hakuna mwanaume anayeshindwa kuvumilia zile siku nne mpaka tano. Mengine hayo ni masuala ya saikolojia tu ya kuwekana tayari kwa ajili ya tendo.
3) Idadi ya waoaji ni ndogo Sana ukilinganisha na wasio oa,humu ndani si kuna wapuuzi wengi wanasemaga kataa ndoa,au naongopa? Je hawa Akina dada je watasitiriwa na Akina Nani kama sio wanaume marijali .
Kwahiyo Allah alishindwa kuumba waoaji?😂
Utasikia biblia imekataza kufanya hivyo,wakati hakuna kifungu kinachosema hivyo.
Soma Mathayo 19 kuanzia mstari wa 3 utapata maelezo clear.
 
Unapata faida gani kuleta takwimu za uongo wewe mvaa rozari ....
Hizo data zako za kuokota Makanyagio Ni fake .
Hio ni makanyagio ya Iringa karibu na mkwawa?😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Muulize nurse au doctor anayehusika na kuzalisha (mkunga) atakupa takwimu kwamba wanazaliwa wengi ni Wanaume Zaid ya wanawake utajiona ulivyokua mjinga
Hiyo nesi WA mchongo mkuu

Siku zote wanawake huwa wengi,ebu fuatilia hizi sherehe za krismas,mwaka mpya,Eid na uone idadi ya wanao zaliwa
Nimekutajia hayo kwakuwa ndio mara hutoa data zao
 
Ametoa ruhusa bila kuwa na uwezo wa kuumba wanawake wengi kuliko wanaume.

Wivu uliumbwa na Allah? Kwahiyo alishindwa kuuondoa kwa wanawake?😂

Hakuna mtu anaweza kumpenda kindoa mwanamke zaidi ya mmoja. Na huu ni uthibitisho wa wazi kwamba Allah hajawahi kuumba chochote ndio maana hata hafahamu nature ya mwanadamu.

Hapo mtajuana wenyewe na mikanganyiko yenu.

Kwahiyo Allah hakuweza kudhibiti matamanio akaamua kuruhusu wanawake wengi waolewe huku akiwa hana uwezo wa kuwaumba kwa wingi?

Mimi ni mwanaume na ninakataa hili. Hakuna mwanaume anayeshindwa kuvumilia zile siku nne mpaka tano. Mengine hayo ni masuala ya saikolojia tu ya kuwekana tayari kwa ajili ya tendo.

Kwahiyo Allah alishindwa kuumba waoaji?😂

Soma Mathayo 19 kuanzia mstari wa 3 utapata maelezo clear.

Umeongea upumbavu tu!

Niambie je kuna watu walikosa wake wa kuoa kisa waislamu wanao wake wanne?
 
Idadi ya wanaume kwa takwimu za mwaka 2021 hapa duniani zimewazidi wanawake kwa milioni 60+ hivyo hayo makundi maalumu umeyataja hapo yanaweza kujazwa na watu hao.

Kwahiyo bado haijawa clear kwanini Allah ameshindwa kuumba angalau wanawake wengi zaidi ya wanaume ili ruhusa yake iweze kutekelezwa.
Bado hujaelewa hiyo concept,kwanza sio lazima Kwa kila mwanaume,pia Bado hiyo Ruhusa unatakiwa uzingatie Haina time limit Kwa maana Hadi pale Dunia itakapotamatika,hivyo Kwa Leo pamoja na Wanawake kuwa wachache Bado tupo sisi marijali tunamke zaidi ya 1 na wakati huo hayupo mwanaume aliyekosa MKE eti Kwa sababu sisi marijali tumeoa 2 au 3 au 4.Bado ninahakika Quran verses Haina upinzani ktk hili.Ukirudi nyuma kama Quran isingesema je sisi marijali si tungekuwa tumeonewa kunyimwa mbumbusa zaidi ya 1 Kwa mujibu wa maandiko?
 
Umejibu vizur

Huo upungufu umeathir wanaume kukosa wake wa kuoa?

Au hata hapa tanzania Tu,je umeshawahi sikia mkoa Fulani wanaupungufu WA wanawake WA kuoa hivyo ikawabidi kwenda mkoa X kupata wanawake?
Waislam wamelipuuza agizo la quran baada ya kugundua Allah ameshindwa kuumba wanawake wengi kuliko wanaume.
 
Bado hujaelewa hiyo concept,kwanza sio lazima Kwa kila mwanaume,pia Bado hiyo Ruhusa unatakiwa uzingatie Haina time limit Kwa maana Hadi pale Dunia itakapotamatika,hivyo Kwa Leo pamoja na Wanawake kuwa wachache Bado tupo sisi marijali tunamke zaidi ya 1 na wakati huo hayupo mwanaume aliyekosa MKE eti Kwa sababu sisi marijali tumeoa 2 au 3 au 4.Bado ninahakika Quran verses Haina upinzani ktk hili.Ukirudi nyuma kama Quran isingesema je sisi marijali si tungekuwa tumeonewa kunyimwa mbumbusa zaidi ya 1 Kwa mujibu wa maandiko?
Agizo la quran kuoa wake wengi limetupiliwa mbali kwasababu Allah hajaweza kuumba wanawake wengi kuliko wanaume.
 
Back
Top Bottom