Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

Rais Samia Suluhu anakubalika kila kona mzee ingia mtaani utaona watu wanavyomkubali mama then sio mtaani tu hata mitandaoni ukifatilia utagungua watu wameanza kumuelewa mama hasa kwa hilo tamko la jana matumaini yameongezeka
We unaongea kishabiki mkuu ila huko mtaani hawamuelewi Samia ni mwendo wa lawama tu.
 
Safi sana mama piga kazi tumecheleweshwa mnooo kama taifa zaidi ya miaka 7
 
Back
Top Bottom