Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

Ukitaka kujua kuwa JPM alikuwa Rais kweli, Kiongozi kweli, Mtu kweli, tafuta jiwe, lipake rangi kisha andika jina la JPM katika jiwe hilo.

Mlete huyo mama yako asimame pamoja na jiwe hilo halafu Watanzania wapigie kura.

Ndipo utakaposhangaa jiwe hilo linapata ushindi wa zaidi ya 85% kumshinda Bibie.
Hahaha! Angekuwa na umaarufu huo asingeiba uchaguzi. Miaka yote CCM huwa wanaiba kura, yeye akaiba uchaguzi.
 
Watanzania ni shida sana. Yaani mama karuhusu mikutano ya hadhara, ambayo ilizuiliwa kinyume na Katiba ya Nchi, lakini watu wanaona kama Hisani fulani hivi.

Kwa maoni yangu, hapa hakuna chochote kilichoongezwa.
Mbona ilikuwa haifanyiki! Punguza wivu na chuki! Rais Samia kafanya jambo kubwa.
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukatili, lugha kali na kuwadhalilisha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Comment uchwara kabisa hii.Unavyotaka wewe iwe ndio unataka watu wote waamini hivyo,haitakuwa.Marehemu Magufuli atabaki kuwa kipenzi cha wanyonge Tanzania,hata akiwa kaburini
 
Hakuna kitu kama Sukuma Gang,that is an illusion implanted in you by Magufuli's enemies.
Wapo. Wapo Sana.

Halafu kumbe unajua kuwa Magufuli ana maadui? Unadhani kwann ana maadui?

.........Alikuwa dikteta yule
 
SSH ni mpango wa Mungu. Hakika baada ya yule Shetani wa Chato ambaye alikuwa anatugawa kiitikadi na kikabila, akiua na kutudanganya, tumepata kiongozi mwenye upendo, mcha Mungu na anayeipenda nchi yetu kwa dhati. Tanzania Iko salama sana mikononi mwa Samia. Hakuna mtu anatekwa wala kunyang'anywa fedha zake. Hakuna maiti zinatupwa baharini wala mtu anafukuza wafanyakazi kwa sababu za kipuuzi. Raia wanatembea kwa uhuru bila woga wa kutekwa au kuuliwa, wafanyabiashara hawana wasiwasi na fedha zao Benki. Vyombo vya dola vinafuata sheria.
2022 matukio ya uhalifu yalikuwa mengi sana na yanaendelea, waliibuka panyaroad hali iliyofanya polisi kukamata hovyo raia na kuuwa sana tu raia na hadi sasa bado polisi imekuwa kama mchezo kwao kukamata vijana na kuwagea kesi za wizi.
Bila kusahau huo mwaka watu wamekuwa wakiuwana hovyo hovyo na matukio mengi ya ubakaji ni mambo ambayo yanaendelea hadi sasa.
 
Kuna CCM ya jiwe (sukuma gang) na ccm ya Samia. Jiwe pamoja na wafuasi wake wamedhalilishwa. Sijui wataficha wapi uso wao.
Kitu kikubwa kilichobaki ni kuwafanya raia kumuelewa Samia, hadi wanawake wenzake ambao ndio wapiga kura wengi hawamuelewi kama kungekuwa na uchaguzi kwa maana ya uchaguzi Tanzania basi Samia asongetoboa huo uchaguzi ujao.
 
Wapo. Wapo Sana.

Halafu kumbe unajua kuwa Magufuli ana maadui? Unadhani kwann ana maadui?

.........Alikuwa dikteta yule
No,alikuwa Paka aliyetaka kuangamiza mipanya yote inayokula mahindi ghalani,kwa bahati mbaya mipanya ikatengeneza gang ikamuangamiza.
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukatili, lugha kali na kuwadhalilisha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
mzembe wa kufikiri,nchi inayotegemea mikopo na misaada unategemea nini zaidi ya kufuata masharti hata kama ni mazito
 
Sababu za Lema na Lisu kujibanza kwa wazungu zinadhidi kumalizwa, mikutano ya siasa imeruhusiwa, madai yote ya Lisu yamelipwa, kesi yenye kila aina ya ushahidi ya gaidi wa kuuwa viongozi wa serikali imefutwa.
Ngoja tuone kiki mpya watakayokuja nao .
Kwani wale kunguni waliomwaga damu wamekamatwa?
 
Mbuzi wanahanja kutuhadaa. Mbuzi Ni Mbuzi tu hata iweje.
 
Kitu kikubwa kilichobaki ni kuwafanya raia kumuelewa Samia, hadi wanawake wenzake ambao ndio wapiga kura wengi hawamuelewi kama kungekuwa na uchaguzi kwa maana ya uchaguzi Tanzania basi Samia asongetoboa huo uchaguzi ujao.
Rais Samia Suluhu anakubalika kila kona mzee ingia mtaani utaona watu wanavyomkubali mama then sio mtaani tu hata mitandaoni ukifatilia utagungua watu wameanza kumuelewa mama hasa kwa hilo tamko la jana matumaini yameongezeka
 
Yaani upinzani wa bongo ni hovyo sana, sasa mikutano kuruhusiwa ndio watawaambia nini wananchi kwa maneno ya kupangiwa?? halafu ulivyo wa hovyo hawajagundua kua Katiba mpya haiji leo wala kesho maana wameambiwa hadi hapo hali ya nchi kiuchumi na hali halisi itakapokua sawa...changa la macho hilo.
Mlivyo mabwege utafikiri hiyo katiba mpya itawaletea chakula mezani. Shida hata katiba iliyopo huijui umebaki kukariri wimbo.
 
Acha kupotosha! Hakuna vifaranga vilivyochimwa airport.

Vifaranga vilizuiliwa lkn havikupewa matunzo matokeo yake vikafa vyote

Tofauti kabisa na wakati wa jiwe. Vifaranga vilikamatwa vikivuka mpka wa Namanga toka Kenya kuja Tanzania , jiwe akavitia moto vikiwa hai. That man was heartless!!!
Kweli ukiwa chawa akili zote zinakuwa umekopeshwa kwa iyo kufa kwa kuchomwa na kunyimwa chakula kuko tofauti
 
Ivi vilinyimwa chakula wakati vimekufa eee
Vioishikiliwa pale airport ili aliyevileta atimize matakwa ya kisheria. Lkn kwa bahati mbaya taratibu za kuvilea vifaranga hazikufuatwa ipasavyo ndiyo maana vikafa.

Lakini shetani jiwe, kwa makisudi kabisa akiviiwashia Moto vifaranga ambavyo ni hai. That monster was horribly heartless.
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukatili, lugha kali na kuwadhalilisha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Sexless nadhani utakua chawa hadi kama shoga.
 
Back
Top Bottom