King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mama Mama Mama Huyo Mama mama huyo mama!
Hongera Sana Dr Chief Hangaya SSH ,hakika unaupiga mwingi.
Hongera Sana Dr Chief Hangaya SSH ,hakika unaupiga mwingi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ni CCM B
Hakuna haja ya kulala na viatu hata kidogo. Huyo jamaa yako apunguze tu papara na aandike kwa ufasaha, na sio kuandika kama kilaza. Hukumuona kamanda wa anga akipiga makofi Ikulu leo?Leo mtalala na viatu. Huku maridhiano kule barua kutoka ikulu na mhuri wa moto
Na utu uzima wako,kwa nini haujui kuandika kiswahili?Sababu za Lema na Lisu kujibanza kwa wazungu zinadhidi kumalizwa, mikutano ya siasa imeruhusiwa, madai yote ya Lisu yamelipwa, kesi yenye kila aina ya ushahidi ya gaidi wa kuuwa viongozi wa serikali imefutwa.
Ngoja tuone kiki mpya watakayokuja nao .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] UNAFIKI ulizaliwa na kukulia Bongo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa unafiki tu Watanzania hakika hatuwezi kumwangusha mtu... [emoji851]
Tutazikwa Chato.Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukatili, lugha kali na kuwadhalilisha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.
Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Legacy ya JPM haiwezi kupotea katika uso wa Dunia hii.
Ile ilikuwa mashine tata. JPM alikuwa moto Nyuklia. Wala rushwa, Mabeberu, Mafisadi, wezi, wababaishaji, wazee wa michongo ya kihuni huni nk, JPM aliwanyoosha na wakanyooka kweli kweli.
RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
Ameupulisa sana kama MesiMama Mama Mama Huyo Mama mama huyo mama!
Hongera Sana Dr Chief Hangaya SSH ,hakika unaupiga mwingi.
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukatili, lugha kali na kuwadhalilisha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.
Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Hakuna legacy ya kujenga barabara wala reli maana hata wengine walijenga reli. Mama anakaribia kuweka legacy yake kama atatupatia katiba mpya. Lile roboti la chattle halijaacha legacy yoyote ya kukumbukwaLegacy ya JPM haiwezi kupotea katika uso wa Dunia hii.
Ile ilikuwa mashine tata. JPM alikuwa moto Nyuklia. Wala rushwa, Mabeberu, Mafisadi, wezi, wababaishaji, wazee wa michongo ya kihuni huni nk, JPM aliwanyoosha na wakanyooka kweli kweli.
RIP, JPM BABA YETU MPENDWA.
Huyo mama ni sehemu ya dhuluma Mbona hakukemea maovu wakati wa Magufuli au hata kujiuzulu?Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukatili, lugha kali na kuwadhalilisha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.
Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Katiba yetu mbovu sana. Inampa rais umungu mtu.Huyo mama ni sehemu ya dhuluma Mbona hakukemea maovu wakati wa Magufuli au hata kujiuzulu?
Kwenda zako wala huelewi kitu. Sasa unaona hapo chadema wamepata nini? Kile wanachotaka ccm siku zote ndio kinaendelea. Si chini ya magufuli wala si chini ya samia. Wanaendelea kuongoza nchi kwa utulivu na kushinda majaribio ya vibaraka wa mabeberu.Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukatili, lugha kali na kuwadhalilisha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.
Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Halafu Lissu bila aibu kasimama jukwaani anatuambia et kama Lowassa fisadi mbona hapelekwi mahakamani?Mbowe ndio aliinajisi chadema kwa kumpokea mtu waliyeimba kuwa ni fisadi
mwisho wakampa ugombea uraisi
Kwani dunia inamtambua kuwa Magufuli alikuwa alikuwa alifanya unyama kama Hitler?Ni kweli haifutiki kwani mpaka leo hii tunaisoma legacy ya Adolf Hitler kwa unyama alioufanya na kwa magu ndo hivyo hivyo hakuna tafauti.
Huyo Mama aliyesema ccm itashinda tu hata msipopiga kura?Huyo mama ni sehemu ya dhuluma Mbona hakukemea maovu wakati wa Magufuli au hata kujiuzulu?
Kikwete anasemaje?Tanzania inaweza kupata katiba mpya kwa mkono wa mwanamke (baada ya wanaume kushindwa).
Na wataendelea kum discusses mwamba siku zote za maisha yao.Tatizo ni kwamba legacy ya Jembe JPM haifutiki kamwe!