Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

CCM walijua kwamba uchaguzi wa 2025 hata wangemsimamisha nani, wasingetoboa hivyo wakaona wayaingize mkenge haya manyumbu nayo yameingia kichwa kichwa, sasa watu watashangaa hata hayo ma mikutano yao hawatapa wafuasi maana wameshashtukiwa nao ni walamba asali tu.
 
Watanzania ni shida sana. Yaani mama karuhusu mikutano ya hadhara, ambayo ilizuiliwa kinyume na Katiba ya Nchi, lakini watu wanaona kama Hisani fulani hivi.

Kwa maoni yangu, hapa hakuna chochote kilichoongezwa.
Hii chuki kwa Magufuli inaathiri sana watu kuliko matendo mabaya ya Magufuli, yani kama hili suala watu hulifurahia kisa tu ni jambo lenye kwenda kinyume na Magufuli yani hilo tu basi.

Hawaoni kwamba hili jambo halikuwa la hisani.
 
Mama kashasema akizingua akosolewe,ndivyo hivyo akifanya Jambo la kiungwana asifiwe

Sent from my HUAWEI NXT-L29 using JamiiForums mobile app
Angeweka list ambayo anaruhusu kukosolewa na ambayo hayaruhusiwi, hadi sasa tunajua jambo moja tu la kuhusu mikopo ndio ambalo haruhusu kukosolewa.
 
Na hizo SGR,JNHP,ATCL,Masoko,Stendi kubwa kubwa,kutimua vyeti fake kama wewe na mengineyo ndio legacy yake!

Mama Legacy yake ni Bibi Tozo na Nyasafari [emoji22]!

Tatizo ni kwamba legacy ya Jembe JPM haifutiki kamwe!

Hata wewe muandishi unalielewa hilo na ndio maana mko kijiweni mpaka saa hii.
kamfufue uzikwe wewe. hatitali lehacy za kuuwa na kupiga watu risasi hapa nchini
asante mungu kwa ukuu wako
 
kamfufue uzikwe wewe. hatitali lehacy za kuuwa na kupiga watu risasi hapa nchini
asante mungu kwa ukuu wako
Kupigwa risasi Lissu basi imekuwa bonge la issue, Enzi ya Mkapa waislamu walichezea shaba kama kuku. Huko Zanzibar washauliwa sana hadi wengine wakapakimbia.
 
Acha kupotosha! Hakuna vifaranga vilivyochimwa airport.

Vifaranga vilizuiliwa lkn havikupewa matunzo matokeo yake vikafa vyote

Tofauti kabisa na wakati wa jiwe. Vifaranga vilikamatwa vikivuka mpka wa Namanga toka Kenya kuja Tanzania , jiwe akavitia moto vikiwa hai. That man was heartless!!!
Hao ambao hawakupewa chakula nao vipi those guys were smart ama?
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Huu ni utoko mwingine tena
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Mkitaka kuizika legacy ya Magufuli acheni kuanzisha threads nyingi kila uchao hapo ndio taamini mmeizika.
Sasa kama thread zake zinatawala jukwaa maana yake mnahema hovyo kuimaliza imeshindikana kenge nyie
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Watanzania tumefarijika sana maana tulipoteza uhuru kwa miaka 6 lakini Rais Samia Suluhu ameingia madarakani baada ya siku 655 za utawala wake ameweza kurejesha democrasia iliyokuwa imepotea pia leo amefanikiwa kutuweka pamoja jambo jema sana hili
 
Watanzania ni shida sana. Yaani mama karuhusu mikutano ya hadhara, ambayo ilizuiliwa kinyume na Katiba ya Nchi, lakini watu wanaona kama Hisani fulani hivi.

Kwa maoni yangu, hapa hakuna chochote kilichoongezwa.
Kibaya zaidi hakuna hata maelezo kutoka kwa watawala kuashiria hata kwa mbali kuwa marufuku ile ilikuwa batili kikatiba na cha kibabe! Mikutano hiyo haijarejeshwa kwa sababu ni haki ya kikatiba bali ni hisani na kwa lengo la maridhiano!
 
Legacy is something that stays permanently! Magufuli Legacy HAIWEZI KUFA NA HAITAKUFA! Kama unabisha ebu angalia crip ya Ujazaji Maji Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power Station!
Intellectually barren, temperamentally unfit for office. Most enduring legacy is that of brutality,
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Nchi hii imewai kuwa na Marais 2 tu, Nyerere na Magufuri, wengine hawa ni wapita njia tu!
Huyu mama ni kipi amefanya kuvunja rekodi ya magufuri
 
Hakika.

Kwa hasira waliyonayo hao sukuma gang, za kuizika rasmi legacy ya Mwendazake, watakuwa wamekereketwa Ile mbaya kabisa
Chawa + walamba asali, hamnazo, huyu mama mwepesi kama unyoya, shukru magu alifuta upinzani, mikiki mikiki ya mbowe na lisu enzi zake, msijitoe fahamu kisa mnalamba asali
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Hilo jeneza linatakiwa kupigwa mateke pale uwanja wa Taifa
 
Back
Top Bottom