Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

Kwa tamko la leo la Rais Samia, 'legacy' ya yule jamaa imezikwa rasmi

Sababu za Lema na Lisu kujibanza kwa wazungu zinadhidi kumalizwa, mikutano ya siasa imeruhusiwa, madai yote ya Lisu yamelipwa, kesi yenye kila aina ya ushahidi ya gaidi wa kuuwa viongozi wa serikali imefutwa.
Ngoja tuone kiki mpya watakayokuja nao .

Umejiunga juzi hapa jukwaani ili kuja kucopy na kupaste huu utoto kila uzi?
 
Yaani upinzani wa bongo ni hovyo sana, sasa mikutano kuruhusiwa ndio watawaambia nini wananchi kwa maneno ya kupangiwa?? halafu ulivyo wa hovyo hawajagundua kua Katiba mpya haiji leo wala kesho maana wameambiwa hadi hapo hali ya nchi kiuchumi na hali halisi itakapokua sawa...changa la macho hilo.
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Legacy is something that stays permanently! Magufuli Legacy HAIWEZI KUFA NA HAITAKUFA! Kama unabisha ebu angalia crip ya Ujazaji Maji Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power Station!
 
Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.

Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
MAMA SAMIA ANAENDA KUWEKA LEGACY YAKE YA KUTUPATIA KATIBA MPYA BAADA YA ILE YA NYERERE YA KUTUPATIA UHURU
jamiiforums_1672747466499245.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Sababu za Lema na Lisu kujibanza kwa wazungu zinadhidi kumalizwa, mikutano ya siasa imeruhusiwa, madai yote ya Lisu yamelipwa, kesi yenye kila aina ya ushahidi ya gaidi wa kuuwa viongozi wa serikali imefutwa.
Ngoja tuone kiki mpya watakayokuja nao .
 
Kwanza huyo unaesema legacy yake imepigwa ukiangalia kwa jicho la tatu ndie alikua anauinua upinzani. Lakini kwa sasa kwa utawala huu wa Hangaya Upinzani kwishney, wameangukia pua,
Aliuinua upinzani kivipi? Huyu si ndiyo kawaweka bungeni wale covid-19???

Legacy ziiiiiii!!!!!!!!!
 
  • Amefanya vyema anastahili pongezi, je nini maoni ya CCM conservative?
  • Itakuwa vyema zaidi ikiwa kama zile sheria kandamizi za fastafasta zitapitiwa upya.
 
Back
Top Bottom