Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu za Lema na Lisu kujibanza kwa wazungu zinadhidi kumalizwa, mikutano ya siasa imeruhusiwa, madai yote ya Lisu yamelipwa, kesi yenye kila aina ya ushahidi ya gaidi wa kuuwa viongozi wa serikali imefutwa.
Ngoja tuone kiki mpya watakayokuja nao .
mods wanamlea sana huyu Etwege/ElitwegeUmejiunga juzi hapa jukwaani ili kuja kucopy na kupaste huu utoto kila uzi?
Legacy is something that stays permanently! Magufuli Legacy HAIWEZI KUFA NA HAITAKUFA! Kama unabisha ebu angalia crip ya Ujazaji Maji Mwalimu Nyerere Hydroelectric Power Station!Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.
Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
MAMA SAMIA ANAENDA KUWEKA LEGACY YAKE YA KUTUPATIA KATIBA MPYA BAADA YA ILE YA NYERERE YA KUTUPATIA UHURURais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.
Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
watakuambia walikuta order toka 2020 ya kuchoma vifaranga vya juziNaona mnajitekenya na kucheka wenyewe, vipi kuhusu vifaranga waliotelekezwa Airport. Legacy ya bibi tozo inasemaje kwa upande huo.
Alishindwa JK, Magufuli sa100 ataweza!?MAMA SAMIA ANAENDA KUWEKA LEGACY YAKE YA KUTUPATIA KATIBA MPYA BAADA YA ILE YA NYERERE YA KUTUPATIA UHURU View attachment 2467901
Naona machawa wanapita kimya kimya 🤣🤣🤣watakuambia walikuta order toka 2020 ya kuchoma vifaranga vya juzi
Machawa leo wanafuraha wametambulishwa rasmi kama kitengo cha lumumba nadhani hata malipo yataongezekaNaona machawa wanapita kimya kimya 🤣🤣🤣
Wamefura hatari. Wanabwabwaja kama mataahira muda huu.Hakika.
Kwa hasira waliyonayo hao sukuma gang, za kuizika rasmi legacy ya Mwendazake, watakuwa wamekereketwa Ile mbaya kabisa
Sababu za Lema na Lisu kujibanza kwa wazungu zinadhidi kumalizwa, mikutano ya siasa imeruhusiwa, madai yote ya Lisu yamelipwa, kesi yenye kila aina ya ushahidi ya gaidi wa kuuwa viongozi wa serikali imefutwa.
Ngoja tuone kiki mpya watakayokuja nao .
Legacy bye byeNaona mnajitekenya na kucheka wenyewe, vipi kuhusu vifaranga waliotelekezwa Airport. Legacy ya bibi tozo inasemaje kwa upande huo.
Aliuinua upinzani kivipi? Huyu si ndiyo kawaweka bungeni wale covid-19???Kwanza huyo unaesema legacy yake imepigwa ukiangalia kwa jicho la tatu ndie alikua anauinua upinzani. Lakini kwa sasa kwa utawala huu wa Hangaya Upinzani kwishney, wameangukia pua,
Jiwe na mabaki ya mawazo yake yote yametupilwa mbali na mama leo hiiKwani kimetokea nini
Kwa jinsi Mungu Ni wa ajabu,yule unaempuuza ndio ataweza Sasa ,just wait 👇Alishindwa JK, Magufuli sa100 ataweza!?
Hahaha sunk cost fallacy naona kasahaulikaMachawa leo wanafuraha wametambulishwa rasmi kama kitengo cha lumumba nadhani hata malipo yataongezeka
tutegemee nyuzi nyingi zaidi.