love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Mbowe ndio aliinajisi chadema kwa kumpokea mtu waliyeimba kuwa ni fisadiWalau hata tawi kama limekatwa hakuna shida. Jiwe alilinqjisi hii nchi sana tu
mwisho wakampa ugombea uraisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ndio aliinajisi chadema kwa kumpokea mtu waliyeimba kuwa ni fisadiWalau hata tawi kama limekatwa hakuna shida. Jiwe alilinqjisi hii nchi sana tu
Labda kama Mbowe atawa buyu ra asali vinginevyo mtaozea lupango bureHilo jeneza linatakiwa kupigwa mateke pale uwanja wa Taifa
Wapumbavu kama ninyi mpo wengi sana ndio maana Tz kupata uhuru na maendeleo ya kweli tutasubiri sana. Hivi ushawahi jiuliza wanao watakuja kurithi uchawa wako?Sababu za Lema na Lisu kujibanza kwa wazungu zinadhidi kumalizwa, mikutano ya siasa imeruhusiwa, madai yote ya Lisu yamelipwa, kesi yenye kila aina ya ushahidi ya gaidi wa kuuwa viongozi wa serikali imefutwa.
Ngoja tuone kiki mpya watakayokuja nao .
Kuwe na siku maalum ya kwenda Chato kulipiga mawe hilo jenezaHilo jeneza linatakiwa kupigwa mateke pale uwanja wa Taifa
Ni kweli haifutiki kwani mpaka leo hii tunaisoma legacy ya Adolf Hitler kwa unyama alioufanya na kwa magu ndo hivyo hivyo hakuna tafauti.Na hizo SGR,JNHP,ATCL,Masoko,Stendi kubwa kubwa,kutimua vyeti fake kama wewe na mengineyo ndio legacy yake!
Mama Legacy yake ni Bibi Tozo na Nyasafari [emoji22]!
Tatizo ni kwamba legacy ya Jembe JPM haifutiki kamwe!
Hata wewe muandishi unalielewa hilo na ndio maana mko kijiweni mpaka saa hii.
Punguza papara.Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukaliti, lugha kali na kuwadhalilosha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.
Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Kwisha kwisha kabisa ndebe ndembe, chalii kifo cha mende🤣🤣🤣Rais Samia alikerwa Sana na ubabe, ukatili, lugha kali na kuwadhalilisha watu kwenye majukwaa. Hakupenda pia dhulma za kisiasa.
Ndiyo maana leo ameamua kuikata rasmi utepe wa haki na uungwana. Kwa tamko hili jeneza la legacy Sasa imepigiliwa misumari ya kijerumani.
Leo mtalala na viatu. Huku maridhiano kule barua kutoka ikulu na mhuri wa motoPunguza papara.
Sizitaki mbichi hizi.Hakuna Legacy iliopotea hapo ni kwamba Upinzani na CDM wameuvaa mkenge wa CCM. Kwanza huyo unaesema legacy yake imepigwa ukiangalia kwa jicho la tatu ndie alikua anauinua upinzani. Lakini kwa sasa kwa utawala huu wa Hangaya Upinzani kwishney, wameangukia pua, mikutano ya kupangiwa cha kuongea ni kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa.
Ustaraabu upi? Kwani wanasiasa walishawahi kufanya fujo nchi hii?Leo mtafurahia, kesho mtaanza kumponda.
Hongera Dr. Samia kwa uamuzi mzuri. Wanasiasa watumie hiyi mikutano kwa ustaarabu
Sasa kama mtu alizuia hata yeye angeweza kuzuia. Tunampongeza kwa kuwa na Utu.Watanzania ni shida sana. Yaani mama karuhusu mikutano ya hadhara, ambayo ilizuiliwa kinyume na Katiba ya Nchi, lakini watu wanaona kama Hisani fulani hivi.
Kwa maoni yangu, hapa hakuna chochote kilichoongezwa.
Akatupiamo na kikosi kazi cha magumashi🤣🤣🤣Ili asiwaudhi sukuma gang akatafuta janja ya kuondoa upuuzi huu kwa kutengeneza "fumbo" la maridhiano.
Watawehuka.Sukuma gang wametoka kundini na wamenuna hatari. Watafanya vikao visivyo na mwisho usiku wa leo
Uhuru gani na tunazuiliwa kukosoa kuhusu mikopo ya serikali?Watanzania tumefarijika sana maana tulipoteza uhuru kwa miaka 6 lakini Rais Samia Suluhu ameingia madarakani baada ya siku 655 za utawala wake ameweza kurejesha democrasia iliyokuwa imepotea pia leo amefanikiwa kutuweka pamoja jambo jema sana hili
Unakumbuka trilion 1.5? Jiwe na gang lake wamelisababishia taifa hasara kubwa Sana.Wala rushwa,
Leo mtafurahia, kesho mtaanza kumponda.
Hongera Dr. Samia kwa uamuzi mzuri. Wanasiasa watumie hiyi mikutano kwa ustaarabu
Na hizo SGR,JNHP,ATCL,Masoko,Stendi kubwa kubwa,kutimua vyeti fake kama wewe na mengineyo ndio legacy yake!
Mama Legacy yake ni Bibi Tozo na Nyasafari [emoji22]!
Tatizo ni kwamba legacy ya Jembe JPM haifutiki kamwe!
Hata wewe muandishi unalielewa hilo na ndio maana mko kijiweni mpaka saa hii.
AlikwambiaHskuna usitudanganye. Samia aliwekwa na akina mzee Makamba na Kikwete. Yeye alimtaka Dr. Hussein Mwinyi