UHURU JR JF-Expert Member Joined Jul 24, 2014 Posts 16,543 Reaction score 7,880 Jan 4, 2023 #161 Nyabukika said: Rais Samia Suluhu anakubalika kila kona mzee ingia mtaani utaona watu wanavyomkubali mama then sio mtaani tu hata mitandaoni ukifatilia utagungua watu wameanza kumuelewa mama hasa kwa hilo tamko la jana matumaini yameongezeka Click to expand... We unaongea kishabiki mkuu ila huko mtaani hawamuelewi Samia ni mwendo wa lawama tu.
Nyabukika said: Rais Samia Suluhu anakubalika kila kona mzee ingia mtaani utaona watu wanavyomkubali mama then sio mtaani tu hata mitandaoni ukifatilia utagungua watu wameanza kumuelewa mama hasa kwa hilo tamko la jana matumaini yameongezeka Click to expand... We unaongea kishabiki mkuu ila huko mtaani hawamuelewi Samia ni mwendo wa lawama tu.
kawombe JF-Expert Member Joined Mar 26, 2015 Posts 14,239 Reaction score 15,876 Jan 4, 2023 #162 Safi sana mama piga kazi tumecheleweshwa mnooo kama taifa zaidi ya miaka 7