Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Kwa Tukio lililomtokea Mama yangu 2009, Nimetokea kuuheshimu sana Ukristo na Wakristo wote

Mungu wa mbinguni akubariki sana kwa ushuhuda huu, Yesu na damu yake iwafunike wewe na familia yako, mama yako ni ushuhuda unaoishi, Amen.
Amin
 
Sasa wewe kina kuuma nini mimi kutapeliwa? Pesa ni yako au ya mama yako? Haya nitumie namba ya Mazinge au Sharif Majini maana yeye sio tapeli. Pumbavu kabisa wewe maamuma.
Matapeli ,pinga utapeli na uongo ili wajinga kama nyie msije kuingia mkenge.


Sio ni script ni utapeli mtupu .!!🤣🤣
 
MWAKASEGE[emoji4]
Bado tunao watumishi ambao bwana anawatumia wao kutenda kazi yake na Bwana Mungu wa Majeshi anajivunia wao.
Pamoja na kwamba tunasemwa sana na kujisema wenyewe pia lkn bado ukristo ni sehem salama zaidi
na ndio yeye
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Mwenyewe siamini hizo mambo ila miaka ya 2000 kuna mama jirani yetu sauti yake ilipotea kimuujiza. Yaani alikua mtu anayeweza kuongea then sauti ikapotea Kwa miaka...siku moja kakobe akaja kwenye mkutano wa injili yule mama aliongea. Na tunajua alikua na Hilo tatizo kwa miaka mingi.... Hivi vitu vinachanganya sana
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Acha ujuaji wa kipuuzi wewe unazani ukiongea kingereza ndio utaonanekana umetoa point? ingekuwa hivo hao madaktari wasingekuwa na imani sasa
 
Mwenyewe siamini hizo mambo ila miaka ya 2000 kuna mama jirani yetu sauti yake ilipotea kimuujiza. Yaani alikua mtu anayeweza kuongea then sauti ikapotea Kwa miaka...siku moja kakobe akaja kwenye mkutano wa injili yule mama aliongea. Na tunajua alikua na Hilo tatizo kwa miaka mingi.... Hivi vitu vinachanganya sana
Sauti imepotea kimiujiza?🤣🤣🤣ni script kabisa .

Tulipanga na mdada alikuwa ni mkristo kipind tunasoma chuo na alikuwa anatoka asubuhi anarudi jioni na kazi zake za kawaida tu ,na alikuwa mvaa wigi .


Na alihama ,miaka miwili mbele nilimuona tena kweny clip nilitumiwa na msela nisaminishe kwamba ndie anayetoa ushuhuda.

Basi alikuwa anadai alikuwa muislamu na hapo kanisani kavaa ushungi kabisa na tunamjua anavaa vimini na suruali 🤣🤣tulicheka sana ,na anatoa ushuhuda alikuwa hazai akaombewa akazaa ..
 
Mwenyewe siamini hizo mambo ila miaka ya 2000 kuna mama jirani yetu sauti yake ilipotea kimuujiza. Yaani alikua mtu anayeweza kuongea then sauti ikapotea Kwa miaka...siku moja kakobe akaja kwenye mkutano wa injili yule mama aliongea. Na tunajua alikua na Hilo tatizo kwa miaka mingi.... Hivi vitu vinachanganya sana
Havichanganyi, ukiacha watu kupinga na kuponda ila Mungu wa wakristo ni kweli na ana nguvu ya kutenda achana na lile jiwe jeusi ndio wanaoponda humu wakiamini ni utapeli.
 
Ni meishia kusoma pale nilivo ona kwamba ulipeleke maombini, ni ka kuona kijana mpuuzi, ingekua hivo hata kwenye theater za hospitali kungekua na maombezi tu,........mtoto wakiume anae amini maombezi ya walokole ana vyashilia vya jinsia ya kike. "Soul diseases are treated spiritually and physical diseases are treated biologically" don't mixup things plz nyie walokole mna kua na wrong absolute belief kitu ambacho ni hatari katika jamii zetu za kiafrica
Hivi wewe na huyu jamaa mleta uzi nani ni mpuuzi asee.

Watu mnajifanyaga machinoo Ila mbulula tu.
 
Humu Kuna wagonjwa wa akili wengi,yaan humjui mtu kaja na mkasa wake afu unaanza kubisha,mnacho bisha nn Sasa?Wachawi hebu punguzen hasira mkisikia Mambo ya Mungu mbona mnaungua ivyo?.🔥🔥🔥🔥 mshindwe na mteketee
Siku hizi kuna vijana hasa wa kiume wana makasiriko na wivu wa ajabu kabisa.

Mtu akipata mafanikio kifedha au kupona ugonjwa wanaumia sana mioyoni mwao.

Ila angekuwa mtu kaja hapa analia matatizo, huwezi ona mtu anasema ni uongo.

Ila ndio hao wanakuwa wa kwanza kumwambia tafuta hela huku wao wanalala kwenye sebule za shemeji zao.

Roho za kichawi kabisa.
 
Aisee bora uache kukashifu watu hayajakukuta matatizo wewe siku yakikupata utatafuta njia zote duniani bila kujali dini,kabila,kipato n.k
Nikipata tatizo kubwa, mfano changamoto ya magonjwa yaliyoshindikana hospital mtu wa dini akaniponya, nitaamini anachoamini.

Jumapili iliyopita ni kiwa kwenye gari moja, nilisikia shuhuda mbalimbali toka kwenye radio ya gati, sijui ilikua radio gani, ila kuna mchungaji ana kikombe kipya, kupitia kikombe kipya, watu hupata uzazi, kuona magonjwa, biashara yako kama huuzi unauza.

Ila kilichoniacha hoi simulizi ya Dada mmoja, aliejitambulisha kwa majina mawili ambayo waislamu hutumia, Yeye ni Dada lishe alikua hauzi ila tangu apate kikombe kipya, maji yake akaenda kumwagia sehemu ya biashara, wateja wote wanakula kwake tu, kwa wengine mpaka amalize yeye.
Nikatafari nikajiuliza inayofanya kazi ni nguvu ya Yesu au nguvu ya ulozi.
 
Back
Top Bottom