Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

Uchaguzi 2020 Kwa uelewa wake, Lissu anaamini kabisa kuwa atakuwa Rais wa Tanzania

H
Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.

Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.

Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.

Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.

Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.

Haujasikia hataakiongelea "Katiba mpya"?Au jambo kama hilo sio muhimu?
Yule mwingine pia ana ndimi mbili mfano anaweza kusema " maendeleo hayana chama" halafu baada ya muda mfupu anawaambia watu hao hao "barabara hii sikuijenga kwa sababu mliniletea mbunge au diwani asiye wa CCM" hahahah...
Amka wewe "iko lala sana kichwani".
 
Nikiwa mdogo nilikuwa na akili hii. Niliamini baba anaweza kumpiga kila mtu dunia hii.
Ndugu mzalendo bado una akili hiyo hiyo, yani bado "udogo" huo unao, ukiamini CCM wanashinda kila uchaguzi.
 
Panic haishushi pressure utazidiwa ufe kwaniaba shauri yako. Ulimi nje na mnajua huyo TL kama hatoshinda sasa mnapanic nini ? Si mnyamaze kimya Kama sio upumbavu na ujinga nini kipya hapo
Ugumu wa maisha kwa wafuasi wa CHADEMA kuna wafanya kuwa na mbovu kuliko,sasa wewe umepanic kwa sababu ipi?dubwana lenu haliuziki ,mlikosea sana kulipa chansi ya kugombea cheo kikubwa kama hicho
 
Wewe Kalume kenge toka lini watu wakaa barabarani wakati msafara unapita?
Mkuu Hapa napo ambapo anakuna tak*** ni barabarani?
FB_IMG_1600451590441.jpg
 
Yule mzee wa kupiga kupiga kampeni huku akitoa somo la uraia,hayo mambo hamjayazoea nyinyi ndo maana mnashangaashangaa tu!!
 
Naona eti ana walinzi, wamevaa miwani myeusi, hawacheki kuonesha wanalinda mtu maarufu! Wanaamini atakuwa rais. Akishangiliwa anadhani ni nyongeza ya kura.
Aliporudi tu, alisimama Nairobi kusimulia COVID-19 inavyouwa watu TZ. Sasa hivi sijamuona hata siku moja akiwa na barakoa! Just a psychopathy!
Wewe ni mnufaika wa utawala wa udhalimu utawala wa uonevu uovu kuwabambikia kesi wapinzani huwezi kuwa na imani kuwa wapinzani wataingia ikulu lazima uwaze kuwa CCM ipo milele
 
Wewe ni mnufaika wa utawala wa udhalimu utawala wa uonevu uovu kuwabambikia kesi wapinzani huwezi kuwa na imani kuwa wapinzani wataingia ikulu lazima uwaze kuwa CCM ipo milele
Na wewe ni mnufaika wa utawala wa kibeberu na usioheshimu mawazo kinzani chini ya dubwana toka ubeligiji linalojiiita lizungu leusi
 
Mkuu hawa dawa yao ni kuwakutanisha kwenye mdahalo tu. Lazima Lissu atage mbele ya akili kubwa magufuli. Cdm tunataka mdahalo mleteni huyo Lissu kwenye mdahalo maguful amnyooshe
kweli magufuli akongee na huyu mbwiga?Katambi alisemma2 huyu fala saizi yetu sisi JPM hamfikii hata kwa ukucha"
 
Mkuu hawa dawa yao ni kuwakutanisha kwenye mdahalo tu. Lazima Lissu atage mbele ya akili kubwa magufuli. Cdm tunataka mdahalo mleteni huyo Lissu kwenye mdahalo maguful amnyooshe
Mdahalo akae na Katambi kajitolea,sio Magu anaweza hata kumpiga vichwa pale mdahaloni saizi yake Katambi.
 
Wakuu habari za Leo?, Nimatumaini yangu kuwa hamjambo.

Naomba kumzungumzia huyu Mgombea wa CHADEMA, mheshimiwa T.A.Lissu, nimejaribu kuhudhuria kampeni zake kama Mara nne hivi lakini hakuna nilichokiambulia tofauti na kusikia habari za risasi kumi na sita kiunoni na mbaya zaidi kampeni nzima unakuta imetawaliwa na neno CCM na Magufuli utadhani kuna vyama viwili tu vinavyoshindana kwenye uchaguzi huu.

Kinacho nifanya niamini kuwa Lissu anapoteza muda wake na itamuwia ngumu kwa chama chake kupata japo wabunge watano ni juu ya tabia yake ya kupinga na kudharau kila kitu kilichofanywa na serikali ya CCM ya awamu ya tano na hivyo kupelekea kukosa muda wa kuinadi ilani ya CHADEMA.

Ikumbukwe kuwa kudharau juhudi kubwa zilizofanywa na serikali ya awamu ya tano kumekuwa kukiwakera sana wapiga kura na wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa huyu bwana (Lissu ) ajikite kwenye kumwaga sela na ilani ya chama chake.

Mwisho lissu atambue kuwa watanzania wengi wameshamshitukia kuwa kuna nguvu nyuma yake ambayo haina nia njema na taifa la Tanzania pamoja na raslimali zake hivyo kumpa kura Lissu ni kuikabidhi Tanzania na raslimali zake mikononi kwa Mabeberu na baadae kupelekea machafuko katika nchi yetu.

Nilisikia sauti kutoka kwenye umati wa watu Sumbawanga na Kigoma wakati Lissu alipouliza kama nani watamchagua kuwa Rais, ikidai Magufuli sasa sielewi walikuwa wanamaanisha nini?
 
Hata mwenyewe anafahamu kuwa hatashinda ndio maana akaamua kuacha kunadi sera za kitapeli na kujikita kutajataja wagombea wenzake.

Mwenyekiti wake anafahamu kuwa jamaa ni mgonjwa na anatumia muda huu kupata tiba ya shambulio lake kisaikolojia.
 
Siku CCM ikiondoka madarakani Tanzania itakuwa nchi salama ya kuishi. Wamekuwa mamafia kwa muda mrefu sana hawa watu
 
Sasa ndugu yangu, Kwani mdahalo utamuongezea au kumpunguzia nini? Yeye ni Rais kwa miaka mitano sasa, afanye mdahalo ili apate nini? Huyo mgombea WENU mwambieni afanye mdahalo na Membe na Hashim Rungwe hao ndio size yake.
Mdahalo utatuthibitishia kuwa hatujawahi kuwa na rais kwa miaka 5
 
Mdahalo akae na Katambi kajitolea,sio Magu anaweza hata kumpiga vichwa pale mdahaloni saizi yake Katambi.
mkuu mtafanya magu agundulike kuwa ni mwoga wa mdahalo...mwacheni apambane na hali yake mdahaloni kama ni za uso na azipokee tu ijulikane moja kuliko kuonyesha uoga mkubwa hivo.
 
Hata mwenyewe anafahamu kuwa hatashinda ndio maana akaamua kuacha kunadi sera za kitapeli na kujikita kutajataja wagombea wenzake.

Mwenyekiti wake anafahamu kuwa jamaa ni mgonjwa na anatumia muda huu kupata tiba ya shambulio lake kisaikolojia.
tena amevurugwa kabisa kisaikolojia mkuu. tutumie mwanya huo tumpeleke magu mdahaloni akammalizie kabisa kwa maswali na hoja za ki phd.
 
kweli magufuli akongee na huyu mbwiga?Katambi alisemma2 huyu fala saizi yetu sisi JPM hamfikii hata kwa ukucha"
mkuu huyu jamaa ni fala sana, kichwani mi empty. dawa yake ni timpeleke magu mdahaloni akammalizie kabisa ili Tanzania ijjue hata mtu pale kwa Lissu
 
Back
Top Bottom