Kwa ujio wa Jerry Silaa Wizara ya Ardhi, Open Spaces zitakiona cha Moto

Kwa ujio wa Jerry Silaa Wizara ya Ardhi, Open Spaces zitakiona cha Moto

Namshangaa Samia anavyotoa zawadi za uwaziri kwa watu wanaofanya kazi za kijinga sana, ina maana yeye ndie anaona huo ujinga wao ni ujanja, huyu kiongozi wa aina hii ni balaa kwetu, badala arekebishe pale alipokosea, ajabu yeye ndie anawazawadia wale wanaopaka mafuta makosa yake!.
Inasikitisha sana na inathibitisha hili dili la DW World lina maslahi binafsi makubwa sana kwa rais Samia na hata kubali kwa vyovyote vile hayaachie.

Inasikitisha nchi yetu inaongozwa kifalme kwa sababu ya katiba mbovu. Tunaona kabisa inchi inaingia kwenye matatizo lakini hatuna la kufanya
 
Mama Samia ni mtu wa kushangaza sana lawama zote anabeba kifuani pake mama wa watu wakati mpangaji na mpanguaji wa mawaziri watanzania wote wanamjua,, ajabu hakuna hata mmoja anayethubutu kumsema,, kama kuna sehemu kahusika yeye kama yeye basi ni asilimia zisizozidi 20 tu,, lakini remote iko Msoga
Unavyoelezea mwenyewe utadhani una uhakika na ushahidi wa unayoyasema
 
Mama Samia ni mtu wa kushangaza sana lawama zote anabeba kifuani pake mama wa watu wakati mpangaji na mpanguaji wa mawaziri watanzania wote wanamjua,, ajabu hakuna hata mmoja anayethubutu kumsema,, kama kuna sehemu kahusika yeye kama yeye basi ni asilimia zisizozidi 20 tu,, lakini remote iko Msoga
Huyo wa msoga sisi hatumjui tunamjua ambaye picha yake ipo ukutani
 
Namshangaa Samia anavyotoa zawadi za uwaziri kwa watu wanaofanya kazi za kijinga sana, ina maana yeye ndie anaona huo ujinga wao ni ujanja, huyu kiongozi wa aina hii ni balaa kwetu, badala arekebishe pale alipokosea, ajabu yeye ndie anawazawadia wale wanaopaka mafuta makosa yake!.
Huyu maza sijui hata anatumiaga akili za wapi aisee. Me huwa ananikata balaa.
 
Mama Samia ni mtu wa kushangaza sana lawama zote anabeba kifuani pake mama wa watu wakati mpangaji na mpanguaji wa mawaziri watanzania wote wanamjua,, ajabu hakuna hata mmoja anayethubutu kumsema,, kama kuna sehemu kahusika yeye kama yeye basi ni asilimia zisizozidi 20 tu,, lakini remote iko Msoga
Sasa ukitaka tumlaumu mtu ambaye hahusiki na kiapo cha urais, nani aliyeapa kwani mkwere au Sa100?
 
Namshangaa Samia anavyotoa zawadi za uwaziri kwa watu wanaofanya kazi za kijinga sana, ina maana yeye ndie anaona huo ujinga wao ni ujanja, huyu kiongozi wa aina hii ni balaa kwetu, badala arekebishe pale alipokosea, ajabu yeye ndie anawazawadia wale wanaopaka mafuta makosa yake!.
Ukisimama mbele ya kioo cha kujitazamia lazima utajiona mwenyewe! Nafikiri nimeeleweka hapa!!
 
Jana kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika mojawapo ya Wizara iliyoguswa ni Ardhi. Nipende kusema kwa ushahidi pale tumepigwa. Namfahamu vizuri ndugu Waziri tangu akiwa Meya hadi Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji Bungeni. Jamaa ni mtu wa dili sana. Uliza Wajumbe wa Kamati ya PIC watathibitisha hili. Uliza Watendaji wa Mashirika ya Umma watathibitisha pasi na shaka.

Sasa kapiga kampeni za DP World kazawadiwa Uwaziri wa Ardhi. Kwa changamoto zake za kimaadili zina hakka kama kuna open space ya Ardhi itakuwa salama hapa Nchini.
Wanoko wanadai kalitoaga ile kitu kama Ibrahim alitaka kutoa kwa Isaka Sirgodi akaingilia kati kwa mshua wake na Deo.
 
Nafasi ile inahitaji mtu mzima anayejitambua..kuweka watoto wanaotafuta ukwasi ni kuwatia majaribuni..tena hasa kwa nyakati za huyu bibi ambaye akisema leo kesho ameshasahau na hafatilii tena..yaani ye akishtuka ujue tayari kuna uharibifu.

Labda kama wamemuweka kukamilisha dili zao..maana yule ni kijana wa mzee wa msoga.
 
Mama Samia ni mtu wa kushangaza sana lawama zote anabeba kifuani pake mama wa watu wakati mpangaji na mpanguaji wa mawaziri watanzania wote wanamjua,, ajabu hakuna hata mmoja anayethubutu kumsema,, kama kuna sehemu kahusika yeye kama yeye basi ni asilimia zisizozidi 20 tu,, lakini remote iko Msoga
Hata king'amuzi kuna wakati kinagoma..awe kama king'amuzi cha azam.
 
Sasa ukitaka tumlaumu mtu ambaye hahusiki na kiapo cha urais, nani aliyeapa kwani mkwere au Sa100?
Maza anaangushiwa tu jumba bovu,, hatuwezi kujua kama ni kwa hiari yake ama kashikiwa mtutu nyuma ya kisogo,, nchi ina mengi sana hii
 
Back
Top Bottom