Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata mumeo aliuza hili swaliHivi msio na akili huwa mnayaona mambo kwa mtazamo gani?!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mumeo aliuza hili swaliHivi msio na akili huwa mnayaona mambo kwa mtazamo gani?!!!
Pengine anaelekezwa kwa shuruti,, nani anajua,,? Nchi ina mengi sana hiiNaye atakuwa mjinga, kwann akubali kushikiwa rimoti na kuelekezwa chanel za kutazama hata kama yete mwenyewe hazipendi, UJINGA!!.
Kapewa uwaziri wa Ardhi ili DP World wanyakuwe Ardhi waitakayo bila kikwazoJana kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika mojawapo ya Wizara iliyoguswa ni Ardhi ambayo Jerry Silaa ameteuliwa. Nipende kusema kwa ushahidi pale tumepigwa. Namfahamu vizuri ndugu Waziri tangu akiwa Meya hadi Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji Bungeni.
Jamaa ni mtu wa dili sana. Uliza Wajumbe wa Kamati ya PIC watathibitisha hili. Uliza Watendaji wa Mashirika ya Umma watathibitisha pasi na shaka.
Sasa kapiga kampeni za DP World kazawadiwa Uwaziri wa Ardhi. Kwa changamoto zake za kimaadili zina hakika kama kuna open space ya Ardhi itakuwa salama hapa Nchini.
Ona kenge hiiWatanganyika Wote mnafanana kwa upigaji labda Kabudi tu!
Sasa kama ni hivyo si aachie madaraka basiMaza anaangushiwa tu jumba bovu,, hatuwezi kujua kama ni kwa hiari yake ama kashikiwa mtutu nyuma ya kisogo,, nchi ina mengi sana hii
Aliwahi kuuza ile ya pale Samora ikamletea shida sanaJana kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika mojawapo ya Wizara iliyoguswa ni Ardhi ambayo Jerry Silaa ameteuliwa. Nipende kusema kwa ushahidi pale tumepigwa. Namfahamu vizuri ndugu Waziri tangu akiwa Meya hadi Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji Bungeni.
Jamaa ni mtu wa dili sana. Uliza Wajumbe wa Kamati ya PIC watathibitisha hili. Uliza Watendaji wa Mashirika ya Umma watathibitisha pasi na shaka.
Sasa kapiga kampeni za DP World kazawadiwa Uwaziri wa Ardhi. Kwa changamoto zake za kimaadili zina hakika kama kuna open space ya Ardhi itakuwa salama hapa Nchini.
Wakati naishi garden kule tulipambania sana kulinda maeneoAliwahi kuuza ile ya pale Samora ikamletea shida sana
Basi tanzania nzima hakuna mtu msafi maana hata magu aliitwa fisada na mlimuona mmbayaHuyu ni fisadi papaa haswa
Tuna la kufanya wananchi tukiamua! Tuwe kitu kimoja na tufanye kitu tutakuwa tumekomboa nchi yetu.Inasikitisha nchi yetu inaongozwa kifalme kwa sababu ya katiba mbovu. Tunaona kabisa inchi inaingia kwenye matatizo lakini hatuna la kufanya
UmeumbukaJana kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika mojawapo ya Wizara iliyoguswa ni Ardhi ambayo Jerry Silaa ameteuliwa.
Nipende kusema kwa ushahidi pale tumepigwa. Namfahamu vizuri ndugu Waziri tangu akiwa Meya hadi Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji Bungeni.
Jamaa ni mtu wa dili sana. Uliza Wajumbe wa Kamati ya PIC watathibitisha hili. Uliza Watendaji wa Mashirika ya Umma watathibitisha pasi na shaka.
Sasa kapiga kampeni za DP World kazawadiwa Uwaziri wa Ardhi. Kwa changamoto zake za kimaadili sina hakika kama kuna open space ya Ardhi itakuwa salama hapa Nchini.