Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,781
Inasikitisha sana na inathibitisha hili dili la DW World lina maslahi binafsi makubwa sana kwa rais Samia na hata kubali kwa vyovyote vile hayaachie.Namshangaa Samia anavyotoa zawadi za uwaziri kwa watu wanaofanya kazi za kijinga sana, ina maana yeye ndie anaona huo ujinga wao ni ujanja, huyu kiongozi wa aina hii ni balaa kwetu, badala arekebishe pale alipokosea, ajabu yeye ndie anawazawadia wale wanaopaka mafuta makosa yake!.
Unavyoelezea mwenyewe utadhani una uhakika na ushahidi wa unayoyasemaMama Samia ni mtu wa kushangaza sana lawama zote anabeba kifuani pake mama wa watu wakati mpangaji na mpanguaji wa mawaziri watanzania wote wanamjua,, ajabu hakuna hata mmoja anayethubutu kumsema,, kama kuna sehemu kahusika yeye kama yeye basi ni asilimia zisizozidi 20 tu,, lakini remote iko Msoga
Huyo ni mjinga flani tu hvHuna akili
Watanganyika Wote mnafanana kwa upigaji labda Kabudi tu!
Huyo wa msoga sisi hatumjui tunamjua ambaye picha yake ipo ukutaniMama Samia ni mtu wa kushangaza sana lawama zote anabeba kifuani pake mama wa watu wakati mpangaji na mpanguaji wa mawaziri watanzania wote wanamjua,, ajabu hakuna hata mmoja anayethubutu kumsema,, kama kuna sehemu kahusika yeye kama yeye basi ni asilimia zisizozidi 20 tu,, lakini remote iko Msoga
Huyu maza sijui hata anatumiaga akili za wapi aisee. Me huwa ananikata balaa.Namshangaa Samia anavyotoa zawadi za uwaziri kwa watu wanaofanya kazi za kijinga sana, ina maana yeye ndie anaona huo ujinga wao ni ujanja, huyu kiongozi wa aina hii ni balaa kwetu, badala arekebishe pale alipokosea, ajabu yeye ndie anawazawadia wale wanaopaka mafuta makosa yake!.
Sasa ukitaka tumlaumu mtu ambaye hahusiki na kiapo cha urais, nani aliyeapa kwani mkwere au Sa100?Mama Samia ni mtu wa kushangaza sana lawama zote anabeba kifuani pake mama wa watu wakati mpangaji na mpanguaji wa mawaziri watanzania wote wanamjua,, ajabu hakuna hata mmoja anayethubutu kumsema,, kama kuna sehemu kahusika yeye kama yeye basi ni asilimia zisizozidi 20 tu,, lakini remote iko Msoga
Ukisimama mbele ya kioo cha kujitazamia lazima utajiona mwenyewe! Nafikiri nimeeleweka hapa!!Namshangaa Samia anavyotoa zawadi za uwaziri kwa watu wanaofanya kazi za kijinga sana, ina maana yeye ndie anaona huo ujinga wao ni ujanja, huyu kiongozi wa aina hii ni balaa kwetu, badala arekebishe pale alipokosea, ajabu yeye ndie anawazawadia wale wanaopaka mafuta makosa yake!.
Wanoko wanadai kalitoaga ile kitu kama Ibrahim alitaka kutoa kwa Isaka Sirgodi akaingilia kati kwa mshua wake na Deo.Jana kumefanyika mabadiliko katika Baraza la Mawaziri. Katika mojawapo ya Wizara iliyoguswa ni Ardhi. Nipende kusema kwa ushahidi pale tumepigwa. Namfahamu vizuri ndugu Waziri tangu akiwa Meya hadi Mwenyekiti wa Kamati ya Uwekezaji Bungeni. Jamaa ni mtu wa dili sana. Uliza Wajumbe wa Kamati ya PIC watathibitisha hili. Uliza Watendaji wa Mashirika ya Umma watathibitisha pasi na shaka.
Sasa kapiga kampeni za DP World kazawadiwa Uwaziri wa Ardhi. Kwa changamoto zake za kimaadili zina hakka kama kuna open space ya Ardhi itakuwa salama hapa Nchini.
Sabaya akirudishwa natembea uchi hadharani siku tatu mfulululizo halafu najiua.Huu utawala umeshaanza kuanguka hizo ni ishara tu kabla ya anguko kuu kutamatika.
Kwakweli, dah!!Huyo ni mjinga flani tu hv
Mpiga Dili sana yule mzeeOpen space zilikiona cha moto DSM wakati RC akiwa mzee mmoja msema hovyo!
Hata king'amuzi kuna wakati kinagoma..awe kama king'amuzi cha azam.Mama Samia ni mtu wa kushangaza sana lawama zote anabeba kifuani pake mama wa watu wakati mpangaji na mpanguaji wa mawaziri watanzania wote wanamjua,, ajabu hakuna hata mmoja anayethubutu kumsema,, kama kuna sehemu kahusika yeye kama yeye basi ni asilimia zisizozidi 20 tu,, lakini remote iko Msoga
Maza anaangushiwa tu jumba bovu,, hatuwezi kujua kama ni kwa hiari yake ama kashikiwa mtutu nyuma ya kisogo,, nchi ina mengi sana hiiSasa ukitaka tumlaumu mtu ambaye hahusiki na kiapo cha urais, nani aliyeapa kwani mkwere au Sa100?
Mama ana mengi sana kifuani ipo siku atasema na tutashangaa,,Unavyoelezea mwenyewe utadhani una uhakika na ushahidi wa unayoyasema