Kwa ujio wa Jerry Silaa Wizara ya Ardhi, Open Spaces zitakiona cha Moto

Inasikitisha sana na inathibitisha hili dili la DW World lina maslahi binafsi makubwa sana kwa rais Samia na hata kubali kwa vyovyote vile hayaachie.

Inasikitisha nchi yetu inaongozwa kifalme kwa sababu ya katiba mbovu. Tunaona kabisa inchi inaingia kwenye matatizo lakini hatuna la kufanya
 
Unavyoelezea mwenyewe utadhani una uhakika na ushahidi wa unayoyasema
 
Huyo wa msoga sisi hatumjui tunamjua ambaye picha yake ipo ukutani
 
Tutamsubiria. Raia ni wakali sana na open spaces hizi tofauti na zamani.
 
Huyu maza sijui hata anatumiaga akili za wapi aisee. Me huwa ananikata balaa.
 
Sasa ukitaka tumlaumu mtu ambaye hahusiki na kiapo cha urais, nani aliyeapa kwani mkwere au Sa100?
 
Ukisimama mbele ya kioo cha kujitazamia lazima utajiona mwenyewe! Nafikiri nimeeleweka hapa!!
 
Wanoko wanadai kalitoaga ile kitu kama Ibrahim alitaka kutoa kwa Isaka Sirgodi akaingilia kati kwa mshua wake na Deo.
 
Nafasi ile inahitaji mtu mzima anayejitambua..kuweka watoto wanaotafuta ukwasi ni kuwatia majaribuni..tena hasa kwa nyakati za huyu bibi ambaye akisema leo kesho ameshasahau na hafatilii tena..yaani ye akishtuka ujue tayari kuna uharibifu.

Labda kama wamemuweka kukamilisha dili zao..maana yule ni kijana wa mzee wa msoga.
 
Hata king'amuzi kuna wakati kinagoma..awe kama king'amuzi cha azam.
 
Sasa ukitaka tumlaumu mtu ambaye hahusiki na kiapo cha urais, nani aliyeapa kwani mkwere au Sa100?
Maza anaangushiwa tu jumba bovu,, hatuwezi kujua kama ni kwa hiari yake ama kashikiwa mtutu nyuma ya kisogo,, nchi ina mengi sana hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…