Kwa ujio wa Jerry Silaa Wizara ya Ardhi, Open Spaces zitakiona cha Moto

Mh. Angelina Mabula aliimudu sana WIzara ya Ardhi lakini kilichomponza ni kutoisapoti DP World. Kaletwa mpigaji kwenye Wizara nyeti.
 
Huu ndo mama ambduli bana anaruka mkojo anakanyaga mavi
 
Alione hii kwenye faili, kitila aliipigia campaign dp world akaundiwa hadi wizara yake kwa gharam za kodi za watanzania, huyu ndo mama abduli
 
Uharibu = malizia uharibifi mkubwa
 
Dah kweli UNAMJUA NA KUMFAHAMA VYEMA KABISA
 
SAMAKI ana mengi ya kuongea lakini mdomoni ana MAJI.
 
JERRY SILAAA ,Atakuja kushika madaraka ya Urais , He is Competent man I know
 
MWALIMU NYEREREANAMALIZA KWA USHAIRI KWENYE KITABU CHAKE.

UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.

Ole wake Tanzania Tusipoisaidia
Niwezalo nimelifanya kushauri na kuonya nimeonya.

tahadhali nimetoa ushauri na kuonya nimeshatoka kitini zaidi nifanye nini.

Namlilia Jaalia atumulikie njia Tanzania ailinde WAOVU wasiishinde.


UONGOZI WETU NA HATMA YA TANZANIA.
MWALIMU JK NYERERE
 
Ardhi inaenda kudhulumiwa wasio na pesa kwa kasi sana
 
he tupe ushahidi wa dili zake za upigaji japo 2 tu
 
Naye atakuwa mjinga, kwann akubali kushikiwa rimoti na kuelekezwa chanel za kutazama hata kama yete mwenyewe hazipendi, UJINGA!!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…