Kwa ujio wa Tundu Lissu, CCM na Samia itafika mahali wajutie kushindwa kwao kutekeleza maridhiano na Mbowe

Kwa ujio wa Tundu Lissu, CCM na Samia itafika mahali wajutie kushindwa kwao kutekeleza maridhiano na Mbowe

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
529
Reaction score
1,150
Siasa ni mazungumzo kati ya pande mbili zenye mirengo inayokinzana, kwa lengo la kutafuta masuala kadhaa ya kuwaunganisha pamoja na hivyo kutatua migogoro.

Tanzania hakuna vikundi vya watu wanaobeba silaha (waasi) kukabiliana na serikali, bali kuna vyama vya kisiasa. Hii maana yake ni kwamba njia ya kutumia polisi wenye mitutu ya bunduki na vyombo vingine vya usalama kukabiliana na wapinzani, sio sahihi.

Kwa maneno ya Tundu Lissu hapo majuzi, kwenye ile hotuba yake ambayo mimi naiita ni funga kazi, iliyowafumba midomo mpaka wale vitatange, amesema kwamba Rais Samia aliwakatalia kutekeleza maridhiano.

Na mimi ndio hoja yangu kwamba, ikiwa kweli Rais Samia aliwakatalia CHADEMA baada ya kuwa nao kwenye mazungumzo marefu basi alifanya makosa makubwa sana ambayo yanaenda kuwa na madhara ya moja kwa moja kwenye yatayojiri kwenye majukwaa ya kisiasa mwaka 2025 na ambayo yameanza kujiri kwa kasi.

Ni kama sasa gari la CHADEMA limewaka kwa speed kali lakini wamekuja na Ajenda ya kuuzuia uchaguzi ambayo kwa aina ya uongozi mpya wa CHADEMA inaonekana wapo tayari kabisa kulala ulalo ulalo, kitu ambacho kinafanya huu mwaka kuwa wa kipekee sana.

Kwakuwa sasahivi huko duniani pamechafuka na wameingia madarakani viongozi waliochafukwa, CCM na Samia waondoe kabisa mawazo ya kutaka kupora uchaguzi na kutawala nchi kwa ujanja ujanja.

Samia na CCM wakubali kulamba matapishi yao ya kushindwa kukubaliana na Mbowe, mazungumzo na upinzani hayakwepeki kwa sasa kwa mustakabali wa amani ya hii nchi. Hoja za Tundu Lissu zina mashiko kwa kila mtu mwenye akili.

Na muwe makini CCM nawatahadharisha, msiende na masarumbesa ya fedha na vito vya thamani, anachukia rushwa huyoo!.

Zasubuhi
 
Mbowe alikuwa diplomatic akijua kuwa makubaliano ni Process na stages huwezi amka tu kesho kila kitu kikawa asilimia 100 tayari kama team Lisu wanavyojiaminisha

Kuchaguliwa Lisu kumeua mchakato wote na kuchaguliwa Trump Chadema wajue hakuna mjomba tena wa kuwatetea au kuwasimamia iwe kufedha au msaada wa NGo za nje

Sera zao zimebadlilika wanahangaika na mambo yao ya ndani tu

Hivyo uwanja wa siasa mwaka huu uchaguxi mkuu ni local hundred percent hakuna cha foreign interference kupitia CCM au vyama vya upinzani ikiwemo Chadema kifedha nk

Atakayejuta ni Lisu na Chadema yake aliyoishika ofisi

CCM tuko well prepared kila kona hata uchaguzi ungefanyika kesho

Team Lisu kwenye siasa wako empty vichwani
 
Siasa ni mazungumzo kati ya pande mbili zenye mirengo inayokinzana, kwa lengo la kutafuta masuala kadhaa ya kuwaunganisha pamoja na hivyo kutatua migogoro.

Tanzania hakuna vikundi vya watu wanaobeba silaha (waasi) kukabiliana na serikali, bali kuna vyama vya kisiasa. Hii maana yake ni kwamba njia ya kutumia polisi wenye mitutu ya bunduki na vyombo vingine vya usalama kukabiliana na wapinzani, sio sahihi.

Kwa maneno ya Tundu Lissu hapo majuzi, kwenye ile hotuba yake ambayo mimi naiita ni funga kazi, iliyowafumba midomo mpaka wale vitatange, amesema kwamba Rais Samia aliwakatalia kutekeleza maridhiano.

Na mimi ndio hoja yangu kwamba, ikiwa kweli Rais Samia aliwakatalia CHADEMA baada ya kuwa nao kwenye mazungumzo marefu basi alifanya makosa makubwa sana ambayo yanaenda kuwa na madhara ya moja kwa moja kwenye yatayojiri kwenye majukwaa ya kisiasa mwaka 2025 na ambayo yameanza kujiri kwa kasi.

Ni kama sasa gari la CHADEMA limewaka kwa speed kali lakini wamekuja na Ajenda ya kuuzuia uchaguzi ambayo kwa aina ya uongozi mpya wa CHADEMA inaonekana wapo tayari kabisa kulala ulalo ulalo, kitu ambacho kinafanya huu mwaka kuwa wa kipekee sana.

Kwakuwa sasahivi huko duniani pamechafuka na wameingia madarakani viongozi waliochafukwa, CCM na Samia waondoe kabisa mawazo ya kutaka kupora uchaguzi na kutawala nchi kwa ujanja ujanja.

Samia na CCM wakubali kulamba matapishi yao ya kushindwa kukubaliana na Mbowe, mazungumzo na upinzani hayakwepeki kwa sasa kwa mustakabali wa amani ya hii nchi. Hoja za Tundu Lissu zina mashiko kwa kila mtu mwenye akili.

Na muwe makini CCM nawatahadharisha, msiende na masarumbesa ya fedha na vito vya thamani, anachukia rushwa huyoo!.

Zasubuhi
Hayo maridhiano unayoyasema naibu mwenyekiti bara mhe. Wasira hayatambui, yeye anaonekana hana uvumilivu wa kisiasa kwani muda wote ana hasira na upinzani hasa Chadema!
 
images (1).jpeg
 
Siasa ni mazungumzo kati ya pande mbili zenye mirengo inayokinzana, kwa lengo la kutafuta masuala kadhaa ya kuwaunganisha pamoja na hivyo kutatua migogoro.

Tanzania hakuna vikundi vya watu wanaobeba silaha (waasi) kukabiliana na serikali, bali kuna vyama vya kisiasa. Hii maana yake ni kwamba njia ya kutumia polisi wenye mitutu ya bunduki na vyombo vingine vya usalama kukabiliana na wapinzani, sio sahihi.

Kwa maneno ya Tundu Lissu hapo majuzi, kwenye ile hotuba yake ambayo mimi naiita ni funga kazi, iliyowafumba midomo mpaka wale vitatange, amesema kwamba Rais Samia aliwakatalia kutekeleza maridhiano.

Na mimi ndio hoja yangu kwamba, ikiwa kweli Rais Samia aliwakatalia CHADEMA baada ya kuwa nao kwenye mazungumzo marefu basi alifanya makosa makubwa sana ambayo yanaenda kuwa na madhara ya moja kwa moja kwenye yatayojiri kwenye majukwaa ya kisiasa mwaka 2025 na ambayo yameanza kujiri kwa kasi.

Ni kama sasa gari la CHADEMA limewaka kwa speed kali lakini wamekuja na Ajenda ya kuuzuia uchaguzi ambayo kwa aina ya uongozi mpya wa CHADEMA inaonekana wapo tayari kabisa kulala ulalo ulalo, kitu ambacho kinafanya huu mwaka kuwa wa kipekee sana.

Kwakuwa sasahivi huko duniani pamechafuka na wameingia madarakani viongozi waliochafukwa, CCM na Samia waondoe kabisa mawazo ya kutaka kupora uchaguzi na kutawala nchi kwa ujanja ujanja.

Samia na CCM wakubali kulamba matapishi yao ya kushindwa kukubaliana na Mbowe, mazungumzo na upinzani hayakwepeki kwa sasa kwa mustakabali wa amani ya hii nchi. Hoja za Tundu Lissu zina mashiko kwa kila mtu mwenye akili.

Na muwe makini CCM nawatahadharisha, msiende na masarumbesa ya fedha na vito vya thamani, anachukia rushwa huyoo!.

Zasubuhi
Una utoto mwingi au homa ya akili inakusumbua.
 
Mbowe alikuwa diplomatic akijua kuwa makubaliano ni Process na stages huwezi amka tu kesho kila kitu kikawa asilimia 100 tayari kama team Lisu wanavyojiaminisha

Kuchaguliwa Lisu kumeua mchakato wote na kuchaguliwa Trump Chadema wajue hakuna mjomba tena wa kuwatetea au kuwasimamia iwe kufedha au msaada wa NGo za nje

Sera zao zimebadlilika wanahangaika na mambo yao ya ndani tu

Hivyo uwanja wa siasa mwaka huu uchaguxi mkuu ni local hundred percent hakuna cha foreign interference kupitia CCM au vyama vya upinzani ikiwemo Chadema kifedha nk

Atakayejuta ni Lisu na Chadema yake aliyoishika ofisi

CCM tuko well prepared kila kona hata uchaguzi ungefanyika kesho

Team Lisu kwenye siasa wako empty vichwani
Hatutaki tena ujanja ujanja kwenye kuhesabiwa kura zetu,mbona mnaogopa kama mko tayari kwa uchaguzi.
 
Mbowe alikuwa diplomatic akijua kuwa makubaliano ni Process na stages huwezi amka tu kesho kila kitu kikawa asilimia 100 tayari kama team Lisu wanavyojiaminisha

Kuchaguliwa Lisu kumeua mchakato wote na kuchaguliwa Trump Chadema wajue hakuna mjomba tena wa kuwatetea au kuwasimamia iwe kufedha au msaada wa NGo za nje

Sera zao zimebadlilika wanahangaika na mambo yao ya ndani tu

Hivyo uwanja wa siasa mwaka huu uchaguxi mkuu ni local hundred percent hakuna cha foreign interference kupitia CCM au vyama vya upinzani ikiwemo Chadema kifedha nk

Atakayejuta ni Lisu na Chadema yake aliyoishika ofisi

CCM tuko well prepared kila kona hata uchaguzi ungefanyika kesho

Team Lisu kwenye siasa wako empty vichwani
Nani kasema kila kitu kinatakiwa kiwe asilimia 100? inaonekana hujaelewa vema aya yangu ya kufungua mada nilivyosema siasa huwalate pamoja watu wenye mirengo tofauti, maana yake hakuna uwezekano wa kukubaliana kwa asilimia 100 ikiwa mna mirengo tofauti. Mazungumzo ni kutafuta maeneo kadhaa ambayo mnaweza kufanana i.e yaweza kuwa only 20% na hiyo ni mafanikio pia.

Kwa kuchaguliwa Lissu mazungumzo ndio yatakuja kwa karibu, CCM na Samia wanaenda kupokea mbinyo wa kuwalazimisha kuingia kwenye mazungumzo. Mbowe ametumika vibaya sana na CCM kumdanganya kila siku na mazungumzo hewa na kuishia kupiga naye picha za kwenye harusi za watoto wao jumamosi. Amekuja mwanaume asiyependa showoff na kujipendekeza.

Usijidanganye eti jumuiya ya kimataifa inaenda kufa. Kwa taarifa yako, ndio inaenda kuimarika maradufu. Trump anarejesha nguvu kubwa ya dola iliyowekwa hatarini na wale globalists. Angalia walichofanywa South Africa. Kwa hapa Tanzania, America akikata dollar funding na kuzuia zile intermediaries bank za US ku clear transactions zote za Tanzania, ni mwezi mmoja tu au miwili, nchi itakuwa inapumulia mashine. Kwahiyo nasisitiza, ondoa kabisa hayo mawazo ya CCM kuiba uchaguzi na kubaki salama kwenye rada za jumuiya ya kimataifa kwa kipindi hiki.
 
Hayo maridhiano unayoyasema naibu mwenyekiti bara mhe. Wasira hayatambui, yeye anaonekana hana uvumilivu wa kisiasa kwani muda wote ana hasira na upinzani hasa Chadema!
Lissu amesema tumpuuze Wasira, wa ku deal naye ni Samia ambaye atakuta na hoja mwendokasi kwenye majukwaa ya kisiasa na Mbinyo
 
Kwakuwa sasahivi huko duniani pamechafuka na wameingia madarakani viongozi waliochafukwa, CCM na Samia waondoe kabisa mawazo ya kutaka kupora uchaguzi na kutawala nchi kwa ujanja ujanja.
Huko Duniani kimenuka.....kila mtu adeal na mambo yake.

Sasa sijui itakuwaje
 
Huko Duniani kimenuka.....kila mtu adeal na mambo yake.

Sasa sijui itakuwaje
Umefuatilia alichofanywa South Africa? Tusibweteke kudhani ya kwamba eti wamelala.

Kumbukeni Foreign Policy ya Marekani ilikwisha andikwa. Anachofanya Trump ni manouvering lakini sio kubadili Foreign Policy ya America.

So usijipe hope kwamba Trump atafumbia macho Tanzania ya ukandamizaji.

Na kwanza hatakuwa Trump directly, hiyo kazi itafanya kupitia World Bank ambao ndo hao wanammwagia Samia mabilioni ananunua mitungi anabandika picha zake.

Fuatilia kwa makini Tanzania imekopa karibu 1 Trillioni kwenye program ya Clean Cooking kutoka World Bank na nina uhakika kwamba ndio hii mitungi yenye picha ya Samia.
 
Hadi dakika hizi,bado nguvu yeyote ya CHADEMA haijaanza kuonekana,imekuwa tofauti na mategemeo,labda tusubiri kuona mabadiliko makubwa CHADEMA kwa kipindi kinachokuja,ila kwa sasa hakuna tishio lolote kutoka CHADEMA linaloweza kuinyima CCM usingizi
 
Hadi dakika hizi,bado nguvu yeyote ya CHADEMA haijaanza kuonekana,imekuwa tofauti na mategemeo,labda tusubiri kuona mabadiliko makubwa CHADEMA kwa kipindi kinachokuja,ila kwa sasa hakuna tishio lolote kutoka CHADEMA linaloweza kuinyima CCM usingizi
Ni kweli kwa sababu ccm haishindi kwa kura. Ila nje na hapo tishio lipo
 
Siasa ni mazungumzo kati ya pande mbili zenye mirengo inayokinzana, kwa lengo la kutafuta masuala kadhaa ya kuwaunganisha pamoja na hivyo kutatua migogoro.

Tanzania hakuna vikundi vya watu wanaobeba silaha (waasi) kukabiliana na serikali, bali kuna vyama vya kisiasa. Hii maana yake ni kwamba njia ya kutumia polisi wenye mitutu ya bunduki na vyombo vingine vya usalama kukabiliana na wapinzani, sio sahihi.

Kwa maneno ya Tundu Lissu hapo majuzi, kwenye ile hotuba yake ambayo mimi naiita ni funga kazi, iliyowafumba midomo mpaka wale vitatange, amesema kwamba Rais Samia aliwakatalia kutekeleza maridhiano.

Na mimi ndio hoja yangu kwamba, ikiwa kweli Rais Samia aliwakatalia CHADEMA baada ya kuwa nao kwenye mazungumzo marefu basi alifanya makosa makubwa sana ambayo yanaenda kuwa na madhara ya moja kwa moja kwenye yatayojiri kwenye majukwaa ya kisiasa mwaka 2025 na ambayo yameanza kujiri kwa kasi.

Ni kama sasa gari la CHADEMA limewaka kwa speed kali lakini wamekuja na Ajenda ya kuuzuia uchaguzi ambayo kwa aina ya uongozi mpya wa CHADEMA inaonekana wapo tayari kabisa kulala ulalo ulalo, kitu ambacho kinafanya huu mwaka kuwa wa kipekee sana.

Kwakuwa sasahivi huko duniani pamechafuka na wameingia madarakani viongozi waliochafukwa, CCM na Samia waondoe kabisa mawazo ya kutaka kupora uchaguzi na kutawala nchi kwa ujanja ujanja.

Samia na CCM wakubali kulamba matapishi yao ya kushindwa kukubaliana na Mbowe, mazungumzo na upinzani hayakwepeki kwa sasa kwa mustakabali wa amani ya hii nchi. Hoja za Tundu Lissu zina mashiko kwa kila mtu mwenye akili.

Na muwe makini CCM nawatahadharisha, msiende na masarumbesa ya fedha na vito vya thamani, anachukia rushwa huyoo!.

Zasubuhi
Tayari washaanza kujuta
 
Hadi dakika hizi,bado nguvu yeyote ya CHADEMA haijaanza kuonekana,imekuwa tofauti na mategemeo,labda tusubiri kuona mabadiliko makubwa CHADEMA kwa kipindi kinachokuja,ila kwa sasa hakuna tishio lolote kutoka CHADEMA linaloweza kuinyima CCM usingizi
Kusema nguvu ya Chadema haijaonekana au imeonekana ni mitizamo binafsi ambayo kila mtu ana ruhusiwa kuwa nayo.

Ila ukienda kwa facts, tangu CCM wamalizane kupora uchaguzi wa mitaa 2024, ni Chadema iliyoteka majukwaa ya kisiasa Tanzania kuanzia December 2024 mpaka sasa tupo February 2025, sasa wewe labda utakuwa ni mgeni wa siasa kama utashindwa ku observe hilo kwamba ni nguvu.
 
Back
Top Bottom