Naunga mkono hojaNiliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nfunga mkutno, shenzMkuu jana kulikuwa na kampeni za mgombea wao wa udiwani hapa ukonga yani hadi huruma.
Mkutano ulikuwa na watu wasiozidi 30,View attachment 1590869
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu ulkwepo nn?Kwa hiyo unawahi mahali wakati watu wanafunga vipaza sauti unapiga picha unatuma we fala kweli
Mwaka huu kampeni kwa wagombea ubunge ni za kutegeshea.Usidanganyike,huku mikoani pia wabunge wa CCM wanashindwa kupiga kampeni zao,hakuna hela hawapewi.so ngoma drop usijidanganye boss
CCM wana vyanzo vyingi sana vya mapatoCCM wao wanapata wapi pesa nyingi kiasi hicho? Mimi naamini SIASA ni sawa na IMANI kuna watakaokuwa tayari kufanya hiyo kazi kwa gharama zao
Chadema pumzi zimekaba.
Wanatamani uchaguzi uwe kesho ili kikombe kiwatue. Hali tete
Hoja kumbe siyo kwamba Lissu hatashinda??? Bali mawakala WATAHUJUMIWA???? What if wasipo hujumiwa???Niliwahi kuwapa hesabu hapa... Vituo vipo 80,000+++, hizo ++ tuzitoe. Kila kituo wakikaa mawakala wawili wa CHADEMA ni sawa na mawakala 160,000. Kila wakala ukimlipa 30,000 kwa siku ni sawa na 160,000x30,000 = 4,800,000,000(Bilioni 4.8), Maswali: Je, Chadema wanazo?, Je,zinawatosha mawakala wasirubuniwe na CCM?,. Ndo maana huwa nikimuona mtu anakomaa eti Lissu atashinda uraisi namuona punguani na hana akili.
Wewe ndiyo hujielewi umechagua kusapoti uonevu unyanyasaji wa CCM pasipo kumuogopa MunguKumbe anapunzika kwa ajili ya kubana matumizi?
Si manasema anaenda gereji means anaumwa?
Chadema hamjielewi.
Wakala anakula pesa ya CCM kisha anasimamia haki mtamfanya nini? Kama Rais wako mtukufu Magufuli anapendwa na watanzania iweje mjihangaishe kuihujumu CHADEMA si muache uchaguzi huru na haki ufanyike?Hakuna wakati mtamu kuwa wakala wa chadema kama sasa ni wakati wa kulipiza usaliti wao.washenzi ile ya kuunga juhudi za Magu mawakala msiwe wajinga tumieni fursa
Si mnasema mnapendwa na watanzania iweje mtake kuwanunua mawakala kuihujumu chadema kufanya uchakachuaji?Si huwa mnasema wametumwa na mabeberu? Subirini wawaonyeshe yaani mwakali mpaka Igusule wataweka