Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
huu mbona ni utoto wa kiwango cha juu kwenye utu uzima gentleman, dah 🐒Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati chadema kakamatwa na polisi kwenda kusearch nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma
Hata Wewe huwezi kujenga ule MJENGO na uchawa wako mpaka unakufahuu mbona ni utoto wa kiwango cha juu kwenye utu uzima gentleman, dah 🐒
hata yeye hana shati kama nililovaa mimi 🤣Hata Wewe huwezi kujenga ule MJENGO na uchawa wako mpaka unakufa
Hata Wewe huwezi kujenga ule MJENGO pamoja na kuwa chawa mpaka unakufa hujengi endelea kusingizia utoto kumbe unaumiahata yeye hana shati kama nililovaa mimi 🤣
utoto bana dah 🤣
NailetaPicha ya mjengo tafadhali
Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma
😅😅😅😅Wao wenyewe walifika pale lakini kimoyomoyo wanasema dah,huyu msenge kajenga..kwani hujawahi kuona unaendabmsibani halafu watu wanashangaa mjengo..? Tutafuteni hela.
Chief una buku ya karibu hapo nina ubao sielewi hapa!hata yeye hana shati kama nililovaa mimi 🤣
utoto bana dah 🤣
kuna mchongo nauskilizia baadae kidogo ntakutoa 🤣
Unamuonea wivu kisa huna uwezo wa kujenga ule MJENGO hahaha🤣🤣🤣Waweze kujenga wasiweze cha muhimu wasimamie sheria muhalifu yoyote akamatwe hata kama anaishi juu ya bahari
Hahahaha Hatari sanaWao wenyewe walifika pale lakini kimoyomoyo wanasema dah,huyu msenge kajenga..kwani hujawahi kuona unaendabmsibani halafu watu wanashangaa mjengo..? Tutafuteni hela.