Until_The_End
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 1,456
- 2,202
Picha tafadhali. Sio wote tumeona huo ukaguzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana aiseeUkiwa Mtumishi wa Umma Kwa cheo cha hao Maaskari wanaotumwa kukamata, huwezi kumiliki mjengo wenye ile level
Hata Maaskari wenyewe vyeo, labda wafikie level ya RPC ndiyo pengine wakaweza, tena hapo ni baada ya kukopa sana kwenye Mishahara yao pamoja na Saccos za Jeshi
Vzr.Yah nimejipanga
Ipo kwenye comment za watuPicha tafadhali. Sio wote tumeona huo ukaguzi
Unanifananisha na mwanamke au umeamua kunitukana
Hakuna wanachodhulm MkuuPolisi ndio wanadhulumu mali za raia ila mbona ni masikini sana
Acha utotoJana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma
Lamomy ni NDUME.Unanifananisha na mwanamke au umeamua kunitukana
Kwakua huwezi kujenga mpaka unakufa ndio maana unaumia hahaha endelea kupanga mzee sisi watoto tujenge🤣🤣🤣Acha utoto
Ni hatari mkuuMimi sijauzoom vizuri ila getini pale tu palitosha kujua kuwa ule mjengo si wa kitoto
Hata IGP anaishi kwenye makotazi ya ajabu, asipozinduka haraka akistaafu kijijini kwake hawezi kujenga hii
Nyumba ninayo nijenge nini tenaKwakua huwezi kujenga mpaka unakufa ndio maana unaumia hahaha🤣🤣🤣🤣
Hahahaha Hatari sana aiseeHata IGP anaishi kwenye makotazi ya ajabu, asipozinduka haraka akistaafu kijijini kwake hawezi kujenga hii
Huna nyumba wewe unakibanda🤣🤣🤣Nyumba ninayo nijenge nini tena
Picha ya mjengo tafadhali![]()
Hatari 🙌Hatari sana aisee
🙏Huna nyumba wewe unakibanda🤣🤣🤣
Jenga yakupangisha!Nyumba ninayo nijenge nini tena
Wewe kama ni muhalifu utakamatwa tuu! Hatuwezi kukuogopa eti ya mjengo! Tii sheria za nchi ambazo kwa hizo zimekupa utajiri!Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma