Kwa Ule Mjengo wa Boniface Jacobo: Hakuna Polisi Mwenye Uwezo wa Kujenga

Kwa Ule Mjengo wa Boniface Jacobo: Hakuna Polisi Mwenye Uwezo wa Kujenga

Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma
We jamaa acha kudharau Dola...
 
Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma.
Waandamaji wajinga wa Chadema wajifunze hapo

Mwenzao boni yai akianzisha vurugu pesa zinaingia toka kwa mabeberu wao wanaambulia virungu tu vya polisi hawapati hata tofali moja la kujenga banda la kuku
 
Waandamaji wajinga wa Chadema wajifunze hapo

Mwenzao boni yai akianzisha vurugu pesa zinaingia toka kwa mabeberu wao wanaambulia virungu tu vya polisi hawapati hata tofali moja la kujenga banda la kuku
Vipi wewe ambae sio muandamanaji unao kama huo MJENGO au ndio unasubiri kifo mkuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna mmoja alijipiga na selfie akatambie kwenye status whatsapp na fb 😃
 
Dah Mkuu Asubuhi asubuhi hii nimecheka sana ....yani utalii walioufanya jana kwenye hilo Hekalu daah
 
Jana nilivyoona stori za mmoja ya mwanaharakati wa chadema kakamatwa na polisi kwenda kukagua nyumbani kwa jamaa naamini kabisa wale polisi waliokua wanakagua Ile nyumba na polisi wengine Kwa ujumla hamna ambaye anamjengo kama ule wa huyu boni yai polisi ni masikini sana aisee Kuna anaebisha humu yaani mnazidiwa kipato na mpambanaji aliekataa kula Mali za dhulma.
Duh ngoja waje 😄
Ila wapo polisi wengine wako
Njema

Ova
 
Back
Top Bottom