Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
- Thread starter
- #21
Mbona umeandika Kwa uchungu sanaaaa🤣🤣🤣🤣🤣Hlafu unataka watu wamtetea , hiyo ndio ajira yake na risk zake ...Hatutaki huruma apambane mbona bodaboda wanakufa kila siku hawataki kutetewa.