Kwa Ule Mjengo wa Boniface Jacobo: Hakuna Polisi Mwenye Uwezo wa Kujenga

Ila nyumba ya mwisho ni kaburi,huwee na nyumbaa kubwa kama hiyo utapigia mswaki wa buku.tutengeneze nyumba zetu za milelee
 
Kuna watu wanaishi aisee .
 
Boni ni mjasiliamali hao unaowataja wanasubilia Hela za mafungu mafungu nazo azitoshi . Hadi vitabu vitakatifu vimewaonya kutosheka na vipato vyao unadhani mchezo.
 
Boni ni mjasiliamali hao unaowataja wanasubilia Hela za mafungu mafungu nazo azitoshi . Hadi vitabu vitakatifu vimewaonya kutosheka na vipato vyao unadhani mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…