mantiki yako ilikuwa kama kijana wa form four anaweza kufanya manunuzi basi hakuna aja ya kuwepo kozi ya procurement. Mimi nikakupa mfano Kuna wakunga ambao hawajui kusoma Wala kuandika wanaweza kusimamia zoezi la mjamzito kujifungua swali langu likawa je kozi za ukunga zifutwe.?
Back to your reply ni kuwa swala kujiajiri yoyote yule anaweza kujiajiri tena Kwa alisomea procurement ana advantage sababu kasomea negotiation skills, Tender, stores handling kwa hiyo ni maamuzi ya mhitimu kuchagua nini cha kufanya maana alichosomea ni applicable kwenye business nyingi.