Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hiyo ni problem ya mifumo iliyopo na umasikini wa nchi afu jobless ni tatizo la dunia nzima. Kuhusu graduate kufanya kazi sawa na wa kidato cha sita ina depend na utundu na ujanja wa mtu. Kama unashangaa hilo ungeanza kushangaa kwa nini kwenye list ya matajiri wa Tanzania mbona hamna maprofessa.Kwanini iwe kawaida kwa graduate kujiajiri kwa kazi sawa na mhitimu wa kidato cha sita? Kuna umuhimu gani wa yeye kusoma kwa ngazi mpaka ya huko juu?
Hapo ni swala la kijana mwenyewe sasa, mtu unafundishwa ili umanage biashara yako lazima ujue swotMkuu, kama hizo SWOT na strategic management hazimuwezeshi fresh graduate kujiajiri, it's nothing.
Kaka mkubwa hata kama ungenisaidia kunitajia hizo kozi, ni lazima nitahoji tena umuhimu wa hayo yote katika self employment ya fresh graduate.Dah Kaka ningekutajia vitu ambavyo mtu wa procurement anasoma utashangaa
Wahasibu wamepigwa vip embu tuelezee 😆Subiri majizi ya umma yaje yakufokee.
Hii kada ndio kada ya upigaji sasa hivi baada ya Magu kuwapiga wahasibu na kitu kizito kichwani
Hoja ya msingi sana.Mkuu mbona Kuna mkunga ambaye hajui kusoma Wala kuandika na anazalisha vizuri je taaluma ya ukunga ifutwe?
Samahani kabla sijakutajia Naomba unipe maana ya kujiajiri pengine kujiajiri nakokujua Mimi kunaweza kuwa tofauti na unavyojua wewe.Mkuu, ninaomba mfano wa vijana 3 waliojiajiri kupitia taaluma ya procurement kwa hapa Tanzania.
Mkuu, let's make a long story short ni kwamba, mitaala ya Tanzania ipo irrelevant kabisa na mazingira yetu.Hapo ni swala la kijana mwenyewe sasa, mtu unafundishwa ili umanage biashara yako lazima ujue swot
S-strength
W-weakness
O-opportunities
T-threats
Sasa yote hayo utayasoma ndani ya hiyo procurement, ukizitumia hizo skills mbona waweza kujiajiri bila shida
[emoji16] procurement ni zaidi ya kununua, yani hata mafuta ya gari lako mpaka yakufikie ni matokeo ya Procurement and supply chainAt least hiyo entrepreneurship mngeiondoka kutoka ndani ya procurement kisha ikawa bachelor degree ya kujitegemea hapo ingekuwa na mantiki kidogo. Kwa mfano bachelor degree in Agriculture and Entrepreneurship au Bachelor Degree in mobile device repair and Entrepreneurship.
Kulingana na uelewa wangu mdogo, kujiajiri ni mtu kumiliki shughuli yake binafsi ya kumuingizia kipato.Samahani kabla sijakutajia Naomba unipe maana ya kujiajiri pengine kujiajiri nakokujua Mimi kunaweza kuwa tofauti na unavyojua wewe.
SahihiMkuu, let's make a long story short ni kwamba, mitaala ya Tanzania ipo irrelevant kabisa na mazingira yetu.
Sawa mkuu. Ni lazima vyuo vijaze taaluma itakayomuwezesha kijana kujiajiri.[emoji16] procurement ni zaidi ya kununua, yani hata mafuta ya gari lako mpaka yakufikie ni matokeo ya Procurement and supply chain
Kwa kifupi ni kwamba wewe haujui umuhimu wa procurement ndio maana umeandika hoja zisizo na mashikoBaadhi ya vyuo Duniani vimekuwa vikifanya mabadiliko ya mitaala na kufuta ama kuachana na fani ambazo haziendani na wakati.
Bado najiuliza, kwa Dunia ya sasa fani ya Procurement inafundishwa vyuoni kwa sababu gani? Ni fani ambayo haina umuhimu wowote kwa karne hii ya 21.
Mtoto akisoma Procurement basi umuhimu wake ni aajiriwe Serikalini zaidi ya hapo fani haina umuhimu wowote,na haina msaada wowote kwa mhitimu. kwanini iendelee kufunishwa vyuoni?
Hii fani ilipaswa kuwa sehemu ya course za watu wanaosoma finance/accounts lakini sio kuwa independent course.
Wakati tunafanya mabadiliko ya mitaala ya elimu, tusisahau ya vyuo vikuu. Vyuo wao wanachotaka ni hela tu kwa kuanzisha fani sizizo na maana yoyote ambazo hazina msaada kwa wahitimu.
Fani ya Procurement inapaswa kufutwa. Mzee Kishimba aliwahi kuuliza, mtu anasoma fani ya manunuzi ananunua nini?
mwana haelewi uyu, moja ya fani nyeti sana ani ata sbule unayoona inajenvwa ni proceessing na procurement, mgavi akisema sikupi tenda ndo imeisha iyo. uyu PMU katika taasis hingne anaeza kuwa mtu wa marketing, avvountant kwamaana acounting analysis wanazisoma, awa ni.watu wa bandari pia😁, awa jamaa warespect aiseeHivi unajua hata mkandarasi wa SGR na Stigler gorge amepatikana kwa mchakato tuliofanya watu wa procurement?
Mkuu, watu wanahoji ugavi katika kujiajiri. How can a procurement officer employ himself?Hivi unajua hata mkandarasi wa SGR na Stigler gorge amepatikana kwa mchakato tuliofanya watu wa procurement?
Huyo mgavi "fresh graduate" anajiajiri vp?procurement anasoma vitu kama tender, strategic mnagment, store, logistics, warehouse mng, enterprenuership, marketing, financial mangement mambo ya economic order quantinty pia accounting and finance usisahau commerce pia wanasoma, kimsingi mradi wowote wa serikari haufanywi bira dhabuni ya watu procurement (PMU), HIZO barbra, madaraji, majengo vyote zpo processing na procurement. ani ni fanj pana sana braza
Inshort busness yeyote lazma iusishe negotian na contract mqnqgent, handling, issues, dispatchin, inspection na receiving and recept of material ndo.maana wagqvi na manunuzi wqnafanya kazi sehemu yeyote
Umeongea fact zamani hizo mambo ulizogusia hapo za procurement zilikuwa chini ya ofisi ya mhasibuInshort busness yeyote lazma iusishe negotian na contract mqnqgent, handling, issues, dispatchin, inspection na receiving and recept of material ndo.maana wagqvi na manunuzi wqnafanya kazi sehemu yeyote