Tukizungumzia uhalisia wa mambo hasa sekta ya taaluma, bado tunachanga moto kubwa mnoo. Course nyingi zinaanzishwa kwetu lakini hazitumiki ipasavyo.
Ukisoma vitabu vya accounting vya wenzetu wa magharibi, utaona katika idara ya fedha kuna finance director, chini wapo accountant and tax personnel. Hizo course zote tumeletewa kwetu, applicability yake ndo kizungumkuti, makampuni mengi hayana tax department, majukum ya kikodi hufanywa na mhasibu. Hawa maelfu wanaosoma kodi wanaishia kufanya related task au kujikuta nje ya mfumo. Japo ni nje ya mada, ina-reflect na mada tunayojadili hasa kwa kada hiyo.